mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Njoo uchukue bot kaka lina view huo upumbavu wao hata kama uko offline mixer kila status inachapwa like watachanganyikiwa wao wenyewe wataanza kusema huna kazi zakufanya kazi yako ni kuview statusHabarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa sababu usipo view, ama uki mute, more of them go angry with you. Au la, wanalalamika sana hali ambayo si nzuri.
Yaani una contacts 30 active zinazo post status, kila moja ina post wastani wa 50 kwa masaa 2 au 3, imagine how much time you'll use to view them all?
Halafu, wanaume wengi wanao post post status nyingi zisizohusiana na BIASHARA, ndiyo wanaolalamika na kuwaona wote wasiotazama status zao ni 'snitches'. Huu ni ushamba. People got lots of things to do!
Iweke hapaNjoo uchukue bot kaka lina view huo upumbavu wao hata kama uko offline mixer kila status inachapwa like watachanganyikiwa wao wenyewe wataanza kusema huna kazi zakufanya kazi yako ni kuview status
Kama post hazihusiani na biashara basi uyo mwanaume ana vidalili vya uchoko.Habarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa sababu usipo view, ama uki mute, more of them go angry with you. Au la, wanalalamika sana hali ambayo si nzuri.
Yaani una contacts 30 active zinazo post status, kila moja ina post wastani wa 50 kwa masaa 2 au 3, imagine how much time you'll use to view them all?
Halafu, wanaume wengi wanao post post status nyingi zisizohusiana na BIASHARA, ndiyo wanaolalamika na kuwaona wote wasiotazama status zao ni 'snitches'. Huu ni ushamba. People got lots of things to do!
Duh tumefika kubaya yaan usipo view status mtu anamindHabarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa sababu usipo view, ama uki mute, more of them go angry with you. Au la, wanalalamika sana hali ambayo si nzuri.
Yaani una contacts 30 active zinazo post status, kila moja ina post wastani wa 50 kwa masaa 2 au 3, imagine how much time you'll use to view them all?
Halafu, wanaume wengi wanao post post status nyingi zisizohusiana na BIASHARA, ndiyo wanaolalamika na kuwaona wote wasiotazama status zao ni 'snitches'. Huu ni ushamba. People got lots of things to do!
Kama ni KE ana element za umalayaSema mimi nachukia tu mtu yoyote anae penda kujipost post kwa siku anaweza akajipost picha zake kama tano awe me au ke sipendi mtu wa kujipost post
Ase kuna jamaa mpka ni mute status zake kwa siku anaweza jipost picha kumi anapost na kufutaKama ni KE ana element za umalaya
Kama ni ME ana element za ushoga
halafu gentleman,Habarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa sababu usipo view, ama uki mute, more of them go angry with you. Au la, wanalalamika sana hali ambayo si nzuri.
Yaani una contacts 30 active zinazo post status, kila moja ina post wastani wa 50 kwa masaa 2 au 3, imagine how much time you'll use to view them all?
Halafu, wanaume wengi wanao post post status nyingi zisizohusiana na BIASHARA, ndiyo wanaolalamika na kuwaona wote wasiotazama status zao ni 'snitches'. Huu ni ushamba. People got lots of things to do!
Huu ni uchawi. Simu anunue yeye,bando aweke yeye halafu umpangie Cha kupost?Habarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa sababu usipo view, ama uki mute, more of them go angry with you. Au la, wanalalamika sana hali ambayo si nzuri.
Yaani una contacts 30 active zinazo post status, kila moja ina post wastani wa 50 kwa masaa 2 au 3, imagine how much time you'll use to view them all?
Halafu, wanaume wengi wanao post post status nyingi zisizohusiana na BIASHARA, ndiyo wanaolalamika na kuwaona wote wasiotazama status zao ni 'snitches'. Huu ni ushamba. People got lots of things to do!