Huyu jinga sana achana nayeAcha ujinga wewe! Kwani unadhani Maxence melo alikuwa mpumbavu kuruhusu watu watumie FAKE ID? Mbona wewe hutumii jina lako la kweli!!! Acha kudharau akina mama wewe! Bila mama yako leo hii usingekuwepo hapa duniani.
Wewe na huyo mmakonde mtakuwa hamna tofauti kwenye akiliHuo ndio UKWERII.
NAOMBA LINK BASI KIONGOZI
Wewe na huyo mmakonde mtakuwa hamna tofauti kwenye akili
Hao wanaharakati wana matatizo ya kisaikolojia!
Wanajiona wao ndiyo wanahaki ya kuegemea upande moja ila siyo wana muziki! Tena wa upande mwingine! Nina uhakika angekuwa Roma wangekesha kumpigia kampeni.
Diamond apigiwe kura sababu ya muziki wake mzuri, hayo mambo ya anashabikia chama kipi wamuachie mwenyewe. Kama maovu huko upinzani hamna maovu?
Chadema kina wajinga wajinga wengi kweli yani. Keyboard warriors mlifanya nini kipindi cha Magufuli?
Nimekuwa lagos pia, na zaidi niko na wana wa Nigeria huku, kunapokuwa kwenye party basi Diamond anapigwa sana....anajulikana, Konde Boy pia ila siyo kama Diamond, Kiba ndiyo zero kabisa. Sorry nampenda Kiba ila huo ndiyo ukweliAcheni kumpaisha huyo mpuuzi wenu ,eti mwanamuziki mkubwa dunia wtf?? Hamonaiz alienda naija alishangaa kwamba jamaa yenu hapigwi kabisa tofauti na wanavyojitapa.
Kama yeye alihamasisha kwenye majukwaa wasiwapigie kura wanaharakati basi na yeye zamu yake wacha wanaharakati wahamasishe na yeye asipigiw kura..UBAYA UBAYA TU.
Me ni shabiki wake na yeye kumuunga mkono Magufuli hakunifanyi na mimi nimuunge mkono ni vilaza kama wewe ndio darasa la saba Diamond anaweza kubadili mawazo yako ya kisiasa.Umesikia mwenyekiti au kiongozi yeyote katoa tamko?
Tumikia akili
Kama unamtetea diamond..... weka hoja zako hapa
Nimekuwa lagos pia, na zaidi niko na wana wa Nigeria huku, kunapokuwa kwenye party basi Diamond anapigwa sana....anajulikana, Konde Boy pia ila siyo kama Diamond, Kiba ndiyo zero kabisa. Sorry nampenda Kiba ila huo ndiyo ukweli
Me ni shabiki wake na yeye kumuunga mkono Magufuli hakunifanyi na mimi nimuunge mkono.
Mwenyekiti wako anaunga mkono angekuwa haungi viongozi wa chini yake wasingesapoti yanayoendelea.
Nani kasema Diamond hayuko kwa 'Raia'? Kama ni hivyo kwa nini mnakesha mitandao ya kijamii kupiga kampeni ya kumpinga? Si mngekaa kimya sababu hayuko kwa 'raia'.Sababu Roma yupo kwa raia, anatetea utu, haki na heshima ya wanadamu
Kwa sababu wewe kilaza.Umeongea nini? Hebu rudia kusoma uone kama umeelewa mwenyewe
Nani kasema Diamond hayuko kwa 'Raia'? Kama ni hivyo kwa nini mnakesha mitandao ya kijamii kupiga kampeni ya kumpinga? Si mngekaa kimya sababu hayuko kwa 'raia'.
Kwa sababu wewe kilaza.
Mkuu sipo huko, nisaidie tu kaka.. Leo kwenye hili ngoja tukubaliane kutokukubaliana.. SIYO DHAMBI KIONGOZI.. Nisaide hiyo linkWatu wa Twitter Republic watakusaidia kule Twitter Mkuu.
Tutampigia sana tuuAcheni kumpaisha huyo mpuuzi wenu ,eti mwanamuziki mkubwa dunia wtf?? Hamonaiz alienda naija alishangaa kwamba jamaa yenu hapigwi kabisa tofauti na wanavyojitapa.
Kama yeye alihamasisha kwenye majukwaa wasiwapigie kura wanaharakati basi na yeye zamu yake wacha wanaharakati wahamasishe na yeye asipigiw kura..UBAYA UBAYA TU.
Mkuu sipo huko, nisaidie tu kaka.. Leo kwenye hili ngoja tukubaliane kutokukubaliana.. SIYO DHAMBI KIONGOZI.. Nisaide hiyo link