Siipendi CCM, lakini nawakumbusha wanaharakati wa Twitter kuwa huwezi kuua muziki mzuri, kujaribu kumshusha Diamond Platnumz ni uzuzu

2020
Diamond- mpigieni kura Magufuli na CCM
- msiwapigie kura upinzani ni vibaraka wa mabeberu

Wanaharakati - mpigieni kura Lissu na chadema
- msiwapigie kura ccm ni wauwaji


2021
Diamond- nipigieni kura mimi na wasafi
- mimi ni msanii wa tz,kuweni wazalendo

Wanaharakati - wapigieni kura wasanii wa nigeria na watetezi wa haki za waandamanaji
- msiwapigie kura dimondi na wasafi, hawakutetea haki za binadamu

KILA MTU ATACHAGUA MLANGO WA KUTOKEA

CASE CLOSED
 
Uyo kijana aungwe mkono na CCM wenzake
 
Acha ujinga wewe! Kwani unadhani Maxence melo alikuwa mpumbavu kuruhusu watu watumie FAKE ID? Mbona wewe hutumii jina lako la kweli!!! Acha kudharau akina mama wewe! Bila mama yako leo hii usingekuwepo hapa duniani.
Kwani melo alilazimisha members kutumia fake I'd? We kama umeamus kujilipua jilipue tuone.
 
Acha ujinga! Hata kusoma hujui! Wapi nilipoandika kwamba Maxence kalazimisha chochote humu! Soma kwa kituo acha KUKURUPUKA!
Kwani melo alilazimisha members kutumia fake I'd? We kama umeamus kujilipua jilipue tuone.
 
Kwakuendeshwa na chuki mpaka mnadhani yakwamba diamond akikosa hiyo tuzo ndio utakuwa mwisho wake kimuziki na atafilisika ...Ama kweli chuki ni ulemavu wa fikra.
 
Sisi konde gengi tunapita naye hivyo hivyo na upepo wa kisiasa ili ashuke, tunagomea na nyimbo za zuchu[emoji205][emoji1732][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwahiyo waungane na mkandamizaji wa demokrasia?
 
Mjinga siyo sisi tunaompinga, mjinga mkubwa ni wewe ambaye unataka tuwaze kama wewe wakati we wenyewe huna akili
 
Ataungwa mkono na wale anaowaunga mkono.
 
Umemaliza kila kitu.
 
Kwakuendeshwa na chuki mpaka mnadhani yakwamba diamond akikosa hiyo tuzo ndio utakuwa mwisho wake kimuziki na atafilisika ...Ama kweli chuki ni ulemavu wa fikra.

Na yeye alivyokuwa anasema watu wasichague chadema alifikiri ndio itakuwa mwisho wa CHADEMA? Yeye mwenyewe hajawahi hata siku moja kuwa mzalendo zaidi ya mchumia tumbo...Ashinde asisishinde atajijua mwenyewe ila nachojua tarehe 7 june kura kwa Bunaboi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…