Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Unadhani wataiacha, wanaweza kusingizia hata imeliwa na mamba 😂😂😂 kama ile engine ya Scania pale mto Wami.
Sasa kwa yaliyotokea kuhusu Precision hii ni doa tosha kwenye Royal Tour. Naamini watalii wakija nchini wengine wanaenda sehemu mbalimbali za Tz, na Precision wana mchango mkubwa kwenye usafiri wa anga na utalii nchini😭
 
Hivi hizo ndege za kampuni ya Prescion Air hazina kisanduku cheusi. Black box? Inaonyesha Kila mtu anatoa maoni yake chanzo Cha ajali. Tuziachie mamlaka zitupe taarifa rasmi badala ya kutulisha matango pori.

Mamlaka hizi hizi ambazo sehemu yake imeshindwa kwenda kutoa msaada kwa wakati lilipotokea tukio?
Taarifa Rasmi Ni nini/ipi kwa mtazamo wako?
 
Hapo no 2 labda waliwajumhisha marubani na wahudumu wa ndani ya ndege
 
Ndege imetoka dar, inatua mwanza na bukoba, so inategemea na abiria wa mwanza bukoba au bukoba mwanza ndio wataamua ndege ianzie kutua wapi? The route can either be dar bukiba mwanza dar au dar mwanza bukoba dar
 
Anasema eti alitumia kasia kuvunja mlango wa ndege seriously mlango wa ndege sio kitu rahisi kuvunja hata vioo vilivyowekwa sio vya kawaida vyuma vigumu mchanganyiko wa madini,tena anasema alifunga mlango kwa kamba kwa nature ya milango ya ndege inafungwa kwa ndani yeye kamba alifunga kwa wapi hakuna hata sehemu ya kufunga kamba,tena anasema alionana na rubani ukichunguza ndege ilianguka kwenye kina kifupi abiria waliokufa ilisababishwa na mshtuko mkubwa ndio maana ukiangalia kwa mbele ndege imepondeka sana kama ingekuwa imeanguka kwenye kina kirefu hoja ingekuwa na mashiko mshtuko usingekuwa mkubwa waliopona niwale waliokuwa nyuma ya ndege, This is bull shitt msitengeneze stori kushika akili za watu kuficha uzembe na upumbavu uliofanyika.
 
Ndege imetoka dar, inatua mwanza na bukoba, so inategemea na abiria wa mwanza bukoba au bukoba mwanza ndio wataamua ndege ianzie kutua wapi? The route can either be dar bukiba mwanza dar au dar mwanza bukoba dar
No inafuata taratibu Zote ,ndege haijawai anzia Bukoba ikaenda mwanza Mara zoote zinaanza Mwanza then bukoba, pili ndege ikianzia Bukoba Jua mwanza hali ya hewa mbaya sana na haijatikea siku za karibu
 
Pengine swali la msingi hapa ni je why haipiti miaka mitano lazima ziwa victoria liondoke na watu?kuna Siri gani?...kuna matambiko ya damu tunafanya? Sisi si ndo nchi ambayo albino wanauwawa kutafuta Utajiri?..
Nimeona leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…