Unataka upostiwe wewe picha?
Kumbe ishu siyo "uwingi wa watu" tena ila ni wewe uone picha zinazopostiwa na viongozi wa CHADEMA, au siyo?
Nimekuambia una tatizo wewe....!!
Jibu lako ni hili;
Kote Shinyanga, Tabora na sasa huko Dodoma, maelfu ya watu kwa hiari yao wanahudhuria mikutano ya ufunguzi wa kampeni za mgombea Urais CHADEMA ya kikanda...
Sasa kama wewe unasubiri picha, kana kwamba picha ndo zinasikiliza sera za mgombea na baadae kupiga kura, basi kalaghabhaho...
Kama wanawake wenye mimba hivi. Hah hah!Ccm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
Dodoma ambako ndiyo makao makuu ya CCM na Serikali wananchi wake ni mazezeta. Dodoma ndiyo wanakotoka omba omba wote nchini, wanaishi nyumba za mgongo wa tembo (yaani sakafu udongo na paa udono) lakini bado wanachagua CCM.
WAGOGO HAWAJITAMBUI
Unataka upostiwe wewe picha?
Kumbe ishu siyo "uwingi wa watu" tena ila ni wewe uone picha zinazopostiwa na viongozi wa CHADEMA, au siyo?
Nimekuambia una tatizo wewe....!!
Jibu lako ni hili;
Kote Shinyanga, Tabora na sasa huko Dodoma, maelfu ya watu kwa hiari yao wanahudhuria mikutano ya ufunguzi wa kampeni za mgombea Urais CHADEMA ya kikanda...
Sasa kama wewe unasubiri picha, kana kwamba picha ndo zinasikiliza sera za mgombea na baadae kupiga kura, basi kalaghabhaho...
Wewe ni lumumba, haya maigizo yako hayamsumbui mwerevu, endelea kudanganya wajinga wenzio.
mataga huyo anatumia style ya kujifanya kamanda ili asikilizweWewe ni mnafiki upo kutafta negativity tu za chadema. Wewe post zako zinaongeleaga tu chadema negatively.View attachment 1558341
Threads zako zote ni kujadili matatizo ya chadema,umetumwa wewe ,ushauri wako hatuutaki ni wa hovyo na unamfaa mkeo usilete public, nonsenseKamanda achana na hao ccm, watu ni muhimu kwenye kampeni. Leo dodoma hakuna watu kabisa, kuna tatizo chadema
Kwani umekosa madanga hadi uje kuyatafuta chademaMimi ni Chadema lakini kwa hali hii hapana wakuu
Wewe huyu??Mimi ni Chadema lakini kwa hali hii hapana wakuu
Wakazi na wapiga kura halisi wa eneo husika fullstop.Hao wameenda kwa usafiri wao, hawajepelekwa na malori
Suala sio kupelekwa suala ni idadi ya watu kwenye kampeni kwa chama kikubwa kama hikiHao wameenda kwa usafiri wao, hawajepelekwa na malori
Mm sio ccm, mimi tofauti na nyie ni kuwa mimi sifuati upepo
Tabora na shinyanga hali haikuwa nzuri na ndio maana hukuona picha ya juu hata moja.
Mwanza na arusha mambo yalikuwa vizuri na ndio maana kila kiongozi alipost videos na picha za huko.
Ila hii ya leo dom, ninakiomba chama kifanye namna maana kuna hatihati hali ikawa mbaya zaidi kwenye mikutano yetu
jamaa kapiga picha muda was SAA sita mchana wakati watu hawajawa wengi,lissu kaja SAA kumi na nusu watu walifurika sana baada ya lissu kujaHao wameenda kwa usafiri wao, hawajepelekwa na malori
hapo lisu akiingiajamaa kapiga picha muda was SAA sita mchana wakati watu hawajawa wengi,lissu kaja SAA kumi na nusu watu walifurika sana baada ya lissu kuja