Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Unataka upostiwe wewe picha?

Kumbe ishu siyo "uwingi wa watu" tena ila ni wewe uone picha zinazopostiwa na viongozi wa CHADEMA, au siyo?

Nimekuambia una tatizo wewe....!!

Jibu lako ni hili;

Kote Shinyanga, Tabora na sasa huko Dodoma, maelfu ya watu kwa hiari yao wanahudhuria mikutano ya ufunguzi wa kampeni za mgombea Urais CHADEMA ya kikanda...

Sasa kama wewe unasubiri picha, kana kwamba picha ndo zinasikiliza sera za mgombea na baadae kupiga kura, basi kalaghabhaho...

..kwenye mikutano ya ccm, wangapi ni wafuasi wa chama, na wangapi ni mashabiki wa wanamuziki?
 
Ccm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
Kama wanawake wenye mimba hivi. Hah hah!
 
Tusimdharau mtu yoyote, cha muhimu tupigiwe kura na kila mtu
Dodoma ambako ndiyo makao makuu ya CCM na Serikali wananchi wake ni mazezeta. Dodoma ndiyo wanakotoka omba omba wote nchini, wanaishi nyumba za mgongo wa tembo (yaani sakafu udongo na paa udono) lakini bado wanachagua CCM.

WAGOGO HAWAJITAMBUI
 
Mbona zingine tunapostiwa?
Unataka upostiwe wewe picha?

Kumbe ishu siyo "uwingi wa watu" tena ila ni wewe uone picha zinazopostiwa na viongozi wa CHADEMA, au siyo?

Nimekuambia una tatizo wewe....!!

Jibu lako ni hili;

Kote Shinyanga, Tabora na sasa huko Dodoma, maelfu ya watu kwa hiari yao wanahudhuria mikutano ya ufunguzi wa kampeni za mgombea Urais CHADEMA ya kikanda...

Sasa kama wewe unasubiri picha, kana kwamba picha ndo zinasikiliza sera za mgombea na baadae kupiga kura, basi kalaghabhaho...
 
Kamanda achana na hao ccm, watu ni muhimu kwenye kampeni. Leo dodoma hakuna watu kabisa, kuna tatizo chadema
Threads zako zote ni kujadili matatizo ya chadema,umetumwa wewe ,ushauri wako hatuutaki ni wa hovyo na unamfaa mkeo usilete public, nonsense
 
Mimi siendi kwenye kampeni hata moja Ila napambana kusoma habari humu Jf ,fb,Twitter Basi . Kwa kuwa Ni mzoefu wa mambo yanavyoenda nchini ,sihitaji kujua sijui Nani atafanya hivi na huyu atafanya vile. Swala nalo jua ni CCM wamefeli kuboresha maisha ya kila mtanzania basi. Hafu Niko neutral Sina chama wala sishabikii chama flani. Mimi ni bendera inayojielewa.
 
Mm sio ccm, mimi tofauti na nyie ni kuwa mimi sifuati upepo
Tabora na shinyanga hali haikuwa nzuri na ndio maana hukuona picha ya juu hata moja.
Mwanza na arusha mambo yalikuwa vizuri na ndio maana kila kiongozi alipost videos na picha za huko.
Ila hii ya leo dom, ninakiomba chama kifanye namna maana kuna hatihati hali ikawa mbaya zaidi kwenye mikutano yetu

Sasa kama Wenye drones zao hawajachukua picha za juu hii haimaanishi kuwa hakukuwa na watu wengi Tabora, nenda Youtube kuna video lukuki za Shinyanga na Tabora


Tabora kulikuwa na Nyomi tazama hizi hapa: huhitaji picha ya juu ili kuprove nyomi

118840568_706693790060252_243885207802421760_n.jpg



Dodoma Picha hizi:

IMG-20200904-WA0141.jpg



IMG-20200904-WA0146.jpg
 
Back
Top Bottom