Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

More Chances

Senior Member
Joined
Jun 24, 2022
Posts
151
Reaction score
344
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

210C344F-87DC-4F99-ACE7-5E9E58194DF8.png
 
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.

Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.

Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na ni hatari sana kwa vizazi vijavyo

View attachment 2284738
Hili si vazi la ufukweni mkuu?
Na alipo naona mandhani ya ufukweni/ baharini?
 
Back
Top Bottom