"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

Ununuz wa ndege, ukamataji wa makinikia, kihamia Dododoma, ujenzi wa reli vote hivyo vilipingwa na wapinzani wachache tena walidai serikali inakurupuka
Tena wakipinga kwa kutoa sababu za kipumbavu, eti ni maendeleo ya vitu si watu. Sijui hivyo vitu vilikusudiwa kutumiwa na wanyama!

Fikra huru ni muhimu sana kuufikia ukombozi.
 
Uchaguzi wa TLS polisi walizuiliwa kuingiza vurugu zozote!
Ukitaka Upinzani ushinde wazuieni kulete vurugu kwenye vituo vya kuhesabia kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…