Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Kumbe bado kuna maeneo mengi tu ya kufanya uwekezaji hapa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ajili ya nini? Acha woga dogo.Kumbe ndiyo sura yako? Ngoja kikosi cha cha ZCO tukulie rada
Ukifa hii pisi wasukuma tunaioa we Nikifa MkeWangu Asiolewe 😀😀😀
Nitakutafuta Ng'wanangwa ni muhimu sana nikipata namba yako. TuwasilianeTupo pamoja wang'wise
Upo we Kolo a.k.a Ngungu Boy?😀😀😀😀Habari nyeti nipendazo sana kuzisikia, kuziona na kuzitumia kiuwekezaji.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ulikuwa unachezea Mtibwa Sugar, kiwango kizuri hicho professionally.Hingera kwa kuamua kuoambana na kushare na wana JF fursa sio kila saa wawaze ngono tu.
Binafsi nimelima sana na kufanya biashara ya Mahindi Tunguli miaka 2005. Nimefika hadi huko Idibo na askari wake wale sungusungu walikuwa maarufu sana kipindi cha nyuma na tuliwatumia kutishia masai wakati wa mapigano ya wamasai na wakulima miaka hiyo.
Kwa upande wa Mvomero japo we umekosea ukaandika Mvumero nimelima sana huko na hata sasa nalima mpunga kwenye skimu ya umwagiliaji Dakawa chini ya UWAWAKUDA.
Nimefurahi kuona umefika hadi Maskati. Huko nilikuwaga na mchepuko wakati nahangaika kwenye biashara. Hapo Hembeti nikipataga mtoto mmoja mzuri sana miaka hiyo. Sasa ameolewa yule binti Tillya.
Niliishi sana Turiani maeneo ya Kilimanjaro nikichezea Mtibwa Sugar kipindi hiko tukiwa na akina Mkangwa na Zuberi Katwila.
Huko fursa nje nje bro. Njoo tulime mpunga hapa Dakawa au tulime miwa tuuze Mkulazi au tulime nyanya mateteni, Mbigili na Dumila.
Habari mkuu,hivi taratibu za kupata shamba hapo dakawa zipoje?natamani sana kupata nilishakuja nikakosaHingera kwa kuamua kuoambana na kushare na wana JF fursa sio kila saa wawaze ngono tu.
Binafsi nimelima sana na kufanya biashara ya Mahindi Tunguli miaka 2005. Nimefika hadi huko Idibo na askari wake wale sungusungu walikuwa maarufu sana kipindi cha nyuma na tuliwatumia kutishia masai wakati wa mapigano ya wamasai na wakulima miaka hiyo.
Kwa upande wa Mvomero japo we umekosea ukaandika Mvumero nimelima sana huko na hata sasa nalima mpunga kwenye skimu ya umwagiliaji Dakawa chini ya UWAWAKUDA.
Nimefurahi kuona umefika hadi Maskati. Huko nilikuwaga na mchepuko wakati nahangaika kwenye biashara. Hapo Hembeti nikipataga mtoto mmoja mzuri sana miaka hiyo. Sasa ameolewa yule binti Tillya.
Niliishi sana Turiani maeneo ya Kilimanjaro nikichezea Mtibwa Sugar kipindi hiko tukiwa na akina Mkangwa na Zuberi Katwila.
Huko fursa nje nje bro. Njoo tulime mpunga hapa Dakawa au tulime miwa tuuze Mkulazi au tulime nyanya mateteni, Mbigili na Dumila.
Nchi inahitaji vijana na hata wazee wapambaji, ambao wanazisaka fursa popote nchini.Mkuu Nchi yetu kusema umasikini au upungufu wa chakula(njaa) ni kufuru na ni dhambi Kwa Mungu! Ina ardhi nzuri mno!
Ulifika Dihombo na Mkindo?
Naomba tuyajenge inbox.Mkuu yanauzwa heka1 3000-500k haya ni masafi Tyr yaani hayana vichaka na ni kando kando mwa barabara. Bei ya 500k alisema kama Hana Nia anaweza kukuzia bei hiyo lkn mara zote Huwa 300k.Barabara kuu huko kwingine ni chini ya hapo.
Huyu ndo mkeo?Barabara ya kutoka turianiView attachment 3155129
Wenzako unawaonyesha sura Ila wewe sura yako hutaki ionekane,ndio nn Sasa?Safari ni safari wazee View attachment 3155011
Halafu za wengine anazionesha,mtu mbaya kabisa huyuNa ni kwanini ufiche sura kijana
Muda wa supu ulifika na hii supu inauzwa buku yote hii😋😋😋View attachment 3155028