Sijajutia kabisa safari yangu ya Morogoro kuangalia maeneo (ardhi) ya uwekezaji

Sijajutia kabisa safari yangu ya Morogoro kuangalia maeneo (ardhi) ya uwekezaji

Nina heka 200 handeni ndugu, ardhi safi, maji ya kuchimba, nina tractor na nimesafisha 40 hela 20 sasa, nilichezeshwa mno, nikatafuta wambulu 3 ( nao si haba kishirikina ) nikawanunulia na mifugo, siwalipi, wanajiendesha kwa tractor, mifugo na vibarua, na nimewapa target wasafishe angalau hela 150

Mimi Kule sitarudi mpaka Wageni wewe wengi!
Pole sana mkuu. Changamoto ya Nchi yetu ndo hii kurogana hata bila sababu. Lkn usikubali kizembe mkuu
 
Mkuu nakushauri nmezaliwa morogoro na kukulia morogoro wilaya ambayo sikushauri uwekeze kilimo ni gairo kilimo nenda kilombero mlimba malinyi na mvomero na kilosa baadhi gairo n ufugaji basi
Nakubaliana nawewe Mimi nilipenda mvomero asee. Gairo nimenunua kidogo sana kama kumbukumbu ya safari hii. Na ni barabarani.
 
Ina maana mkoa wa Morogoro na tanga haujaunganishw na barabara ya lami 🤔

God have mercy upon us. 🤣
Tanga ni kipande tu sio Tanga ninayoijua ila hakuna lami asee vumbi tu kutoka Gairo unaingia kushoto na Kuna ubao umeandikwa barabara ya IYOGWE lami Hadi Turiani huko.

Mji mzuri sana asee
 
Katika Maisha yangu natamani niishi Morogoro Vijijini, kazi ninayotamani ni Kilimo na Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji tu.

Naamini nitatoboa, ni vile mambo bado hayajakaa sawa.

Kwa kifupi umenipa ramani halisi ya Kile natamani
Kwa kifupi nakuomba hima hima tuwepo pale ndoto zako na zangu ni zile zile. Gunia la pumba za mahindi niliuliza sehemu nikaambiwa 10k sikutanii. Na Kwa pembeni niliona baadhi ya pumba zimeoza kabisaa nahisi pale ilikuwa Tunguli Tanga.
 
Back
Top Bottom