Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Nanivigumu sana kujua wengi wameona Nini,maana hii nchi ni kubwa sana Kuna mikutano inaendelea kwenye baadhi ya mitaa,Kata,vitongoji,vijiji mpaka majimboni.hata iweje huwezi kuiona yote.kuna mambo general wakiona wengi ndio yalivyo usitafute kichaka walichojificha wenzako .
Mkuu we huoni faida kabisa? Mbona mama ntilie wamefurahia sana mana wanapika vyakula na watu wanavimaliza vyote wakiwa mkuta oni au kwenye mkutano watu Huwa hawali. Mahoteli yanatengeneza pesa pia mana watu wanaotoka mbali lazima wale na in most cases wanalala. Pia ni ajira kwa vijana wengine ambao hawakuwa na ajira mf pambalu na wengine wengi. Faida nyingine watu wanapata pa kupumulia baada ya kukandamiza na jiwe kubwa. Kwa mfano marekani wamejenga jengo kubwa hivi kwamba ukiwa na hasira dhidi ya yeyote, rais au yeyote basi unaenda hapo unatukana kwa sauti mpaka matusi ya nguoni ukitoka hapo uko relieved na ni tiba kwa magonjwa ya moyo na pressure.Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
Hiyo bk7 unayolipwa hapo lumumba ndio kutafuta hela?Acha sisi tutatfute pesa . Wewe tuliza makalio
Unadhalilika san humu bora ubadili avatar yako tu!!Naomba ujiheshimu
Dont be stupid. Mimi ni kulipwa buku 7Hiyo bk7 unayolipwa hapo lumumba ndio kutafuta hela?
Sukuma gang katika strategies uchwara.Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
[emoji817][emoji3581]Wewe hutoboi kwa ubize huu. Dunia ya leo wanaotoboa ni "Smartworkers" siyo "Hardworkers" Kama wewe.
Nguvu hazijawahi kuwa mtaji labda kwa wapumbavu, watu smart kichwani ndiyo huwa wanafanikiwa.Kutoboa nini mkuu pua au ulimi? Mtaji wa masikini no nguvu zake sio u-smart wake
Mikutano mingapi imefanyika? Positive Impact Is too broad! Ulitarajia impact Gani? Mikutano ya hadhara ikulipie Ada? Ikuletee chakula mezani? Wewe ni MPUMBAVU kama Wapumbavu wengineNimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
Bora umemwambia huyo kamanda uchwara.Mikutano mingapi imefanyika? Positive Impact Is too broad! Ulitarajia impact Gani? Mikutano ya hadhara ikulipie Ada? Ikuletee chakula mezani? Wewe ni MPUMBAVU kama Wapumbavu wengine
Umetisha mkuu wewe ni Moja Kati ya watanzania wanaojielewaAfajiri nauza kahawa, mchana nauza matunda, usiku naenda kufanya kazi ya ulinzi yaani boli linatembea kinoma muda wa kwenda kudanganywa ili niwatengenezee watu maisha natoa wapi
🤣🤣🤣🤣 Au unaambiwa uzungushe mikono kama vile umeuzulia show ya msanii wa bongo 🤣Watu washawachoka , unaenda kwenye mkutano unaambiwa Kaz yako ya laana
Jibu zuri Sana Hili 🙏Utajua mwenyewe wanasaka Pesa na sisi tunasaka Pesa, majibu unayo no sleep ukilala utakula ulichokiota
🤣🤣🤣🤣
ndiyo maisha....wewe deal na yako. na hao wanasiasa ndiyo maisha yao. hata usipoenda watakodi watu wa kuwasikilizaNimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
Imbecile, kwa upuuzi unaondika humu hata hiyo bk7 hustahili.Dont be stupid. Mimi ni kulipwa buku 7
Sasa wewe unaishi kwa shemeji yako diwani wa ccm utajuwaje impact ya mikutano wakati kutoka tu kwenda kwenye mikutano hadi uombe ruhusa kwa shemeji yako.Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano.
Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na CCM inayowaharibia maisha?
Tumebakiza propaganda uchwara Twita kwa kuedit picha ili kuonyesha nyomi la uongo.
Tukubali tulishawakwaza na kuwavunja moyo Watanzania.
Kwa mwenye akili huwezi andika mashudu kama haya.Halafu mnawadhihaki wananchi kuhusu bodaboda, vikoba, ugali n.k., mtaendelea kuvuna mnachopanda.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Pole sana lkn hayo ndiyo maisha maana hata vidole vya mikono na miguu havilinganiNapiga kazi kuanzia asubuhi saa 1 mpaka saa 11 Jioni naingia tena kazini saa 12 na nusu Jioni mpaka kunakucha majogoo 12 Asubuhi, mda wa mkutano wa hadhara nautoa wapi kimfano?