Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Nanivigumu sana kujua wengi wameona Nini,maana hii nchi ni kubwa sana Kuna mikutano inaendelea kwenye baadhi ya mitaa,Kata,vitongoji,vijiji mpaka majimboni.hata iweje huwezi kuiona yote.kuna mambo general wakiona wengi ndio yalivyo usitafute kichaka walichojificha wenzako .