Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wewe huna tofauti na mtumwa.
Afajiri nauza kahawa, mchana nauza matunda, usiku naenda kufanya kazi ya ulinzi yaani boli linatembea kinoma muda wa kwenda kudanganywa ili niwatengenezee watu maisha natoa wapi