Sijasafiri Nje ya Nchi kwa muda sasa, naombeni Utaratibu wa kupata Pasi Mpya ya Kielektroniki Nisafiri

Sijasafiri Nje ya Nchi kwa muda sasa, naombeni Utaratibu wa kupata Pasi Mpya ya Kielektroniki Nisafiri

Daah kuandika kote huku hujui Passport yako unapata wapi na unahitaji nini na nini daah baadae utakuja kuuliza leseni udereva utakuja kumalizia na kadi ya yellow fever...
 
Na je, ukiwa bado unayo ile Pasi ya zamani ukienda kuhitaji hii mpya ya Kielektroniki mchakato ni mkubwa au details zilizoko katika Pasi ya zamani ndiyo hizo hizo zitatumika kwa hii ya Kielektroniki na kuipata Kiuharaka?

Na je, muda wa kupata Pasi Mpya ya Kielektroniki ni upi? Je, huko kwa Wahusika hakuna Utoaji wa lazima wa Asante ya Kiulaghai / Rushwa?
Kama upo serious una hitaji nipm
 
Na je, ukiwa bado unayo ile Pasi ya zamani ukienda kuhitaji hii mpya ya Kielektroniki mchakato ni mkubwa au details zilizoko katika Pasi ya zamani ndiyo hizo hizo zitatumika kwa hii ya Kielektroniki na kuipata Kiuharaka?

Na je, muda wa kupata Pasi Mpya ya Kielektroniki ni upi? Je, huko kwa Wahusika hakuna Utoaji wa lazima wa Asante ya Kiulaghai / Rushwa?
popoma unovyojifanya mjanja hapa jf nilidhani tayari utakuwa na gamba lako la kidijitali standby kwa michongo ya safari. kumbe mpaka leo huna.

kanuni moja wapo ya sisi watoto wa mjini ni kuwa na passport bila kujari upo ktk michongo ya kusafiri au lah.
 
popoma unovyojifanya mjanja hapa jf nilidhani tayari utakuwa na gamba lako la kidijitali lstandby kwa michongo ya safari. kumbe mpaka leo huna.

kananu moja wapo ya sisi watoto wa mjini ni kuwa na passport bila kujari upo ktk michongo ya kusafiri au lah.
Kwani ni lazima Kusafiri au kuwa na hiyo Pasi ( ya Kielektroniki ) kama labda sina mpango wowote wa Kusafiri?

Je, nilipokuwa na Pasi hiyo ya Kusafiria ( siyo hii ya Kielektroniki ) tokea mwaka 1990 hadi mwaka 2015 ulikuja hapa Kunipongeza kuwa ninayo?

Hoja yako ni ya Kipumbavu sana tu.
 
Na je, ukiwa bado unayo ile Pasi ya zamani ukienda kuhitaji hii mpya ya Kielektroniki mchakato ni mkubwa au details zilizoko katika Pasi ya zamani ndiyo hizo hizo zitatumika kwa hii ya Kielektroniki na kuipata Kiuharaka?

Na je, muda wa kupata Pasi Mpya ya Kielektroniki ni upi? Je, huko kwa Wahusika hakuna Utoaji wa lazima wa Asante ya Kiulaghai / Rushwa?
Njoo huku Morroco ni free tena kwa miguu kutoka kawe kuja hapa kinondoni morroco.
 
Kwani ni lazima Kusafiri au kuwa na hiyo Pasi ( ya Kielektroniki ) kama labda sina mpango wowote wa Kusafiri?

Je, nilipokuwa na Pasi hiyo ya Kusafiria ( siyo hii ya Kielektroniki ) tokea mwaka 1990 hadi mwaka 2015 ulikuja hapa Kunipongeza kuwa ninayo?

Hoja yako ni ya Kipumbavu sana tu.
Vipi Puerto Rico Huwa unaendaje?
 
Kwani ni lazima Kusafiri au kuwa na hiyo Pasi ( ya Kielektroniki ) kama labda sina mpango wowote wa Kusafiri?

Je, nilipokuwa na Pasi hiyo ya Kusafiria ( siyo hii ya Kielektroniki ) tokea mwaka 1990 hadi mwaka 2015 ulikuja hapa Kunipongeza kuwa ninayo?

Hoja yako ni ya Kipumbavu sana tu.
hata ile ya kianalogia hukuwahi kuwa nayo na hujawahi kutoka nje ya tz. acha kutupiga chai popoma.

NB:
raha yangu ni kuona una kula ban. najua utakuja wangu-wangu kama gari bovu kuni attack. na vile you can't control your emotions, it's very easy to put you into trouble.[emoji1787][emoji1787]
 
Sisi tulioitikia wito wa kwenda Burundi tunazo tayari.
 
Back
Top Bottom