Sijashangaa RC Chalamila na DC Kihongosi kuwachapa bakora wananchi, Wahehe hawatakagi ujinga!

Sijashangaa RC Chalamila na DC Kihongosi kuwachapa bakora wananchi, Wahehe hawatakagi ujinga!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ikumbukwe kuwa RC Chalamila na DC Kihongosi ni wazaliwa wa Iringa na makada waliotukuka wa CCM.

Awali RC Chalamila alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa kabla ya uteuzi na DC Kihongosi alikuwa mwenyekiti wa UVCCM.

Kwa kawaida siasa za Iringa bila bakora, utemi, mikwara na vitisho huwa hazinogi kwa sababu Wanyalu siyo watu wa maneno mengi wao wako kivitendo zaidi. Hivyo sikushangazwa na Chalamila wala Kihongosi kuwachapa bakora hao waliochapwa.

Kwa kifupi, Wahehe hawatakagi Ujinga.

RC Chalamila na DC Kihongosi endeleeni kuchapa kazi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mjinga akishauri jambo la kijinga na mtu timamu ukalipokea unakuwa mjinga zaidi!
 
Dc anaonekana ni mshamba na waliochapwa ni washamba tu
 
Jiwe ameinajisi nchi. Nuksi hii tumuombe muumba aiondoe.
 
Ikumbukwe kuwa RC Chalamila na DC Kihongosi ni wazaliwa wa Iringa na makada waliotukuka wa CCM.

Awali RC Chalamila alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa kabla ya uteuzi na DC Kihongosi alikuwa mwenyekiti wa UVCCM.

Kwa kawaida siasa za Iringa bila bakora, utemi, mikwara na vitisho huwa hazinogi kwa sababu Wanyalu siyo watu wa maneno mengi wao wako kivitendo zaidi. Hivyo sikushangazwa na Chalamila wala Kihongosi kuwachapa bakora hao waliochapwa.

Kwa kifupi, Wahehe hawatakagi Ujinga.

RC Chalamila na DC Kihongosi endeleeni kuchapa kazi.

Maendeleo hayana vyama!
Siku wakikushika tako pia hautashangaa.
Utawapigia Makofi
 
Ikumbukwe kuwa RC Chalamila na DC Kihongosi ni wazaliwa wa Iringa na makada waliotukuka wa CCM.

Awali RC Chalamila alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa kabla ya uteuzi na DC Kihongosi alikuwa mwenyekiti wa UVCCM.

Kwa kawaida siasa za Iringa bila bakora, utemi, mikwara na vitisho huwa hazinogi kwa sababu Wanyalu siyo watu wa maneno mengi wao wako kivitendo zaidi. Hivyo sikushangazwa na Chalamila wala Kihongosi kuwachapa bakora hao waliochapwa.

Kwa kifupi, Wahehe hawatakagi Ujinga.

RC Chalamila na DC Kihongosi endeleeni kuchapa kazi.

Maendeleo hayana vyama!
Ni kweli wahehe hawatakagi ujinga lakini sidhani kama Chalamila ana akili za kutosha.
 
Back
Top Bottom