Sijasikia Waandishi wa habari wakiwahoji upande wa NEC na Bunge kuhusu Wabunge Viti Maalum wa CHADEMA

Sijasikia Waandishi wa habari wakiwahoji upande wa NEC na Bunge kuhusu Wabunge Viti Maalum wa CHADEMA

MGOGOHALISI

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
3,294
Reaction score
4,920
Wakuu salamu kwenu. Siku nyingi sijaandika ila leo nitauliza swali dogo tu.

CHADEMA wanasema hawajapeleka majina NEC lakini wabunge wameapishwa juzi. Baada ya uapisho na CHADEMA kupitia kwa Katibu Mkuu kuwakana wabunge wale sijasikia kituo cha redio, televisheni au gazeti zikiwahoji wahusika upande wa NEC na Bunge.

Hivi kweli tuna vyombo ya habari?

cc Mshana Jr Mwanahabari Huru Pascal Mayalla na wengine nisaidieni mawazo
 
Wakuu salamu kwenu. Siku nyingi sijaandika ila leo nitauliza swali dogo tu.

CHADEMA wanasema hawajapeleka majina NEC lakini wabunge wameapishwa juzi. Baada ya uapisho na CHADEMA kupitia kwa katibu mkuu kuwakana wabunge wale sijasikia kituo cha redio, televisheni au gazeti zikiwahoji wahusika upande wa NEC na Bunge!!!

Hiivi kweli tuna vyombo ya habari?

cc Mshana Jr Mwanahabari Huru Pascal Mayalla na wengine nisaidieni mawazo
Hatuna. Tuna wasaka tonge, waoga, na wanafiki. Mayalla atakupotosha, muache mbali.
 
Jana watu wa Azam walimhoji Spika Ndugai - kama kawaida yake kuporomosha maneno yasiyo na staha kwamba kina Mnyika na viongozi wenzake wanawaonea gere wenzao sababu wao hawakupata Ubunge na kwamba Viti Maalum ni takwa la kikatiba kwa nini CHADEMA wanawabania wanawake? Akahitimisha kusema hao ni Wabunge wafanye vikao vyao vya majungu ila haitabadilisha kitu chochote as long as yeye ndiye Spika na ndiye aliyewaapisha basi hao ni Wabunge...haya ndiyo yalikuwa majibu ya Spika wetu wa Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.
 
Wakuu salamu kwenu. Siku nyingi sijaandika ila leo nitauliza swali dogo tu.

CHADEMA wanasema hawajapeleka majina NEC lakini wabunge wameapishwa juzi. Baada ya uapisho na CHADEMA kupitia kwa katibu mkuu kuwakana wabunge wale sijasikia kituo cha redio, televisheni au gazeti zikiwahoji wahusika upande wa NEC na Bunge!!!

Hiivi kweli tuna vyombo ya habari?

cc Mshana Jr Mwanahabari Huru Pascal Mayalla na wengine nisaidieni mawazo
Mkuu wanaogopa kufail mtihani maana majibu mpaka upewe na aliyeko juu bla hivyo wanakuwa hawako tayari kujibu nje ya mapenzi ya aliyeko juu.
 
Wanaweza kuwa wanatamani kwenda kuwahoji ila wanaogopa "kupotea njia" wakiwa wanaenda huko NEC, Hivi ipo Dar au Dodoma ?
 
Wakuu salamu kwenu. Siku nyingi sijaandika ila leo nitauliza swali dogo tu.

CHADEMA wanasema hawajapeleka majina NEC lakini wabunge wameapishwa juzi. Baada ya uapisho na CHADEMA kupitia kwa katibu mkuu kuwakana wabunge wale sijasikia kituo cha redio, televisheni au gazeti zikiwahoji wahusika upande wa NEC na Bunge!!!

Hiivi kweli tuna vyombo ya habari?

cc Mshana Jr Mwanahabari Huru Pascal Mayalla na wengine nisaidieni mawazo
Huo ndio uhuru wa habari, ambao siku alipohutubia Bunge, Jiwe alijisifu kuwa ameuimarisha na (hasa) wasomi wa CCM wakashangilia sana kila mmoja akijitahidi Jiwe amwone ana 'FURAHA'.
China wakati wa Mao Dze Dung, 'habari' ilikuwa ni kumsifu Mwenyekiti Mao tu. Nadhani ndo tumeshafika sasa.
 
Kiongozi,unataka waandishi wa habari waanze kutekwa tena?
 
Jana watu wa Azam walimhoji Spika Ndugai - kama kawaida yake kuporomosha maneno yasiyo na staha kwamba kina Mnyika na viongozi wenzake wanawaonea gere wenzao sababu wao hawakupata Ubunge na kwamba Viti Maalum ni takwa la kikatiba kwa nini CHADEMA wanawabania wanawake? Akahitimisha kusema hao ni Wabunge wafanye vikao vyao vya majungu ila haitabadilisha kitu chochote as long as yeye ndiye Spika na ndiye aliyewaapisha basi hao ni Wabunge...haya ndiyo yalikuwa majibu ya Spika wetu wa Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.
Mkuu kwa hiyo aliyemhoji hata hajauliza majina yamemfikia vipi yeye spika na utaratibu hadi majina yamfikie ni upi?
 
Kama hadi leo huna habari kuwa vyombo vya habari vimewekwa mfukoni na mtu mmoja basi wewe ni punguani!
1098090.jpg
 
Back
Top Bottom