100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Huko mbali, mrushie corolla altis tu ina top speed 240km/h na comfo yake ataenda kusimulia... halafu bei kitonga kwa mjeru huo utamu kuupata inabidi ujipange..Uongo uliotukuka! Tafta Lexus hata GS tu ya 2013, kisha rudi usome hiki ulichoandika.
Pisi kali huwa zinaamini SUV zina kila kitu hadi mbio mpaka pale mwamba ninapoinyosha Prado 150 au V8 bwege ndio heshima inarudiSure yule jamaa ni mbishi aisee sio poa kwa namna alivyonikata ni kama alikua ananivimbia mie niko na SUV yeye Sedan ila hiyo speed aisee hatari kubwa
V8 bwege mnazionea sana, lakini lc 300 moto wake ni wa gesi.Pisi kali huwa zinaamini SUV zina kila kitu hadi mbio mpaka pale mwamba ninapoinyosha Prado 150 au V8 bwege ndio heshima inarudi
Sasa ukiwa na akili timamu utaanzisha ugomvi usiouweza?V8 bwege mnazionea sana, lakini lc 300 moto wake ni wa gesi.
Kuna ile kujaribuSasa ukiwa na akili timamu utaanzisha ugomvi usiouweza?
Hahahaha V8 bwege labda 100 series zile au 200 series zenye limit ya 180kph 🤣🤣🤣! Moto wa 300 series usiugusePisi kali huwa zinaamini SUV zina kila kitu hadi mbio mpaka pale mwamba ninapoinyosha Prado 150 au V8 bwege ndio heshima inarudi
Halafu iwe diesel..Hahahaha V8 bwege labda 100 series zile au 200 series inayoishia 180kph 🤣🤣🤣
Hata iwe petrol kama limit 180 haina ujanja. Hp to weight ratio ndio mchawi.Halafu iwe diesel..
Ha ha haKuna ile kujaribu
Mkuu usimuamshe alie lala acha tuone ushamba wao uko wapi we tulia usiwaonyeshe kabisa vitu kama hivi ni adimu mshamba haambiwi kaka anaongea hivo hata linkall hana kaka nakusihi usiwaonyeshe ushamba wao ulipoRav 4 unayoita ya mchongo ndio SUV maarudu zaidi Duniani zaidi ya LC.
Imevunja rekodi ya mauzo ya SUV zote Amerika na Ulaya.
Sasa sijui huo umchongo unaousema unatoka wapi.
View attachment 2453944United States: best-selling SUV/crossover models 2023 | Statista
Out of all the SUV/Crossover models purchased by American consumers, the greatest number of sales was generated by the Toyota RAV4, with 434,900 sport-utility vehicles sold.www.statista.com
Tatizo humu ndani watu mnaongozwa na hisia na matamanio yenu kuliko uhalisia.
V8 ni aina ya injini ambapo zipo gari kibao zenye injini hizo sasa kua specific ni gari zipi ila injini tushajua na zipo hadi v12 kwahyo hyo v8 yako ikasomeGari ni v8 tu ,hizi zingine ni umasikin tu unatusumbua
Bwana mkubwa,usitukane au kudharau usiowajua. Hapa tunajadili magari tangu mwanzo mpaka ulipokuja wewe hakuna mtu kamtukana au kamdharau mwingine.Mkuu usimuamshe alie lala acha tuone ushamba wao uko wapi we tulia usiwaonyeshe kabisa vitu kama hivi ni adimu mshamba haambiwi kaka anaongea hivo hata linkall hana kaka nakusihi usiwaonyeshe ushamba wao ulipo
It's all about power. Kuna wababe wa LC300 na wanamnyoosha kwelikweli.V8 bwege mnazionea sana, lakini lc 300 moto wake ni wa gesi.
Gari za chini shida kubwa ni miundombinu yetu tu.Pisi kali huwa zinaamini SUV zina kila kitu hadi mbio mpaka pale mwamba ninapoinyosha Prado 150 au V8 bwege ndio heshima inarudi
Engine size haimaanishi gari inatoa output kubwa.V8 ni aina ya injini ambapo zipo gari kibao zenye injini hizo sasa kua specific ni gari zipi ila injini tushajua na zipo hadi v12 kwahyo hyo v8 yako ikasome
Huko mbali, mrushie corolla altis tu ina top speed 240km/h na comfo yake ataenda kusimulia... halafu bei kitonga kwa mjeru huo utamu kuupata inabidi ujipange..
Hahahaaaa mnyama Buga!!! Hivi haya madude kuna mtu anamiliki bongo hapa?
SawaEngine size haimaanishi gari inatoa output kubwa.
V8 inaweza zidiwa output na 4 cylinders au V6 au inline 6. V12 inaweza zidiwa output na V6.