JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Huyu ni mjapani ila mwenye standard ya wazungu.Huko mbali, mrushie corolla altis tu ina top speed 240km/h na comfo yake ataenda kusimulia... halafu bei kitonga kwa mjeru huo utamu kuupata inabidi ujipange..
Mbabe gani yupo bongo wa kumkalisha huyo jamaa?It's all about power. Kuna wababe wa LC300 na wanamnyoosha kwelikweli.
Niliwahi kuanzisha uzi wa 4 cylinder ya mercedes tens cc2000 tu ambayo inatoa 444hp.Engine size haimaanishi gari inatoa output kubwa.
V8 inaweza zidiwa output na 4 cylinders au V6 au inline 6. V12 inaweza zidiwa output na V6.
Wanyonya damu hawatutakii mema..Gari ya 2012 ushuru wake ukoje mkuu?
Sijawahi kuiona bongo hii
Naona ina jiko dogo tu 1.6L
Nazani mrithi bora wa premio kwa vijana[emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ukiwa na akili timamu utaanzisha ugomvi usiouweza?
Kwani V8 ni nini?Usipende kulinganisha V8 na takataka mkuu.
Gari zote ambazo zipo bongo zenye 450hp na kuendelea.Mbabe gani yupo bongo wa kumkalisha huyo jamaa?
Kuna Grand Cherokeee SRT nimeshakutana nayo sana mikocheni. Huyu anamchapa LC300 vizuri tu.Mbabe gani yupo bongo wa kumkalisha huyo jamaa?
Huyu ni mjapani ila mwenye standard ya wazungu.
Mostly ikizingua gearbox kuna chance ya kuvisha gearbox ya kijapani...
Mfano, kuna RX330 nyingi sana humu road ambazo zilizingua gearbox mtu akaamua kuvua engine na gearbox(1mz engine na u151 gearbox) akavisha vya harrier(2az engine na u141e gearbox).
Kuna Grand Cherokeee SRT nimeshakutana nayo sana mikocheni. Huyu anamchapa LC300 vizuri tu.
Mbio za nini hapa bongo nyoso...barabara zenyewe ziko wapi za speed[emoji848]Gari nyingi za juu siyo gari za mbio. Unless iwe gari nzito.
km unataka mbio chukua gari ya chini.
Aisee sijui labda wadau watujulishe ila atakayekimaliza hicho kisahani ni mwamba... kufika nusu yake tu ni changamoto kubwa sanaHahahaaaa mnyama Buga!!! Hivi haya madude kuna mtu anamiliki bongo hapa?
Unamuonea LCKuna Grand Cherokeee SRT nimeshakutana nayo sana mikocheni. Huyu anamchapa LC300 vizuri tu.
Mafundi wa BMW ni kichefuchefu hapa bongoBadala ya kununua harrier na ukiwa speed ikakumaliza tafuta discover 3 kwa bei hiyohiyo unapata na pia Kuna bmw X5 na X5 zote Zina ubora kuzidi harrier
Hilo mkuu inabidi sasa uongozane kabisa na msafara ule unaosema kuna abnormal wide load inapita maana unaweza kuparamia baby walker ya mtu ukajua umevuka tuta
Mkuu bila shaka hio ni chiron, hio utawanyanyasa autobhan lakini kwa Tanzania ukitaka watu wakuonee mwezini chukua mnyama RAM Hennessy Mammoth 1000, chuma ina HP 1000, halafu lilivyo juu sasa utakubali, hili bumps linafukia tu.
Ni bonge moja ya chuma imekwenda hewani lakini ligi zake Lamborghini ikiwa ya kizembe haina nafasi hapo.
Chuma lina vurugu sana.... Yani hili kupanda bumps na 140 ni kawaida...
Kuna hao jamaa wanaitwa heneessy wanazi mod hizi gari, balaa tupu.
V8 bwege ndio zipi hizoPisi kali huwa zinaamini SUV zina kila kitu hadi mbio mpaka pale mwamba ninapoinyosha Prado 150 au V8 bwege ndio heshima inarudi
Umenipa msemo mpya[emoji2957][emoji2][emoji1787][emoji1787]Unalinganisha gari ambayo mtu anapanda na gari ambayo mtu anatumbukia.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji38]haa ha ha hua naona kama kuingia nadumbukia kwenye ka shimo. Alafu magoti na mgongo vinajikunja nadhani kwa watu warefu gari ndogo ni adhabu.
Yanh nakua kama nimejificha chini ya meza
Wanatumia kwa short distanceLabda corolla na wenzie. Zipo gari za chini nyingi tu zina legroom ya kutosha. Kama alivyosema mdau hapo zingekuwa mateso diplomats na vips duniani wasingetumia.