Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Na mimi nakuambia hili.
Mnaweza kuwa kwenye speed kubwa halafu sawa, madereva wawili, mmoja akakwepa shimo akala mzinga, mwingine akakwepa shimo na akaendelea na safari.
Uzito wa gari, ground clearance, Suspension na mengine mengi yanachangia. Usikariri.
Asante sana nimeelewa maana ya hybrid.Lexus RX300 RX350 etc
Hybrid means, it's powered by petrol and electric motor.
Low speed electric (0-60ish)
High speed(60+)petrol engine kicks in
Ni kama mie nilivyokuwa addicted na Hatchbackkote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Hii Range Sports kuna tajiri mmoja hapa mjini anazo 6. Kuacha hizo V8 na Ma Nissan. Dah haya maisha noma sanaAiseee moja ya dream car yangu.
Nikiokota hela nataka nivute hawa wanyama.
View attachment 2456847
View attachment 2456849
View attachment 2456850
View attachment 2456851
😀😀😀Gari karibia zote za Japan ni nyepesi kwenye high speed.
Sasa hapa unalalamika ama unasikitika!!??Hii Range Sports kuna tajiri mmoja hapa mjini anazo 6. Kuacha hizo V8 na Ma Nissan. Dah haya maisha noma sana
Hizo gari zote ni kali except hyo harrier 😅Aiseee moja ya dream car yangu.
Nikiokota hela nataka nivute hawa wanyama.
View attachment 2456847
View attachment 2456849
View attachment 2456850
View attachment 2456851
Kama mark x, unaweza kufika 180km/hr bila ya kufahamu kuwa upo speed hiyo. Gari ikiwa na stability kubwa ndivyo umakini wa dereva unabweteka.Kuna video nilikuwa naangalia siku si nyingi youtube. Siku si nyingi.
Bahati mbaya sana ninesahau ni gari gani.
Ilikuwa ni Autobahn na jamaa alikuwa anaswitch lanes barabarani au 300+ Km/h.
Kwenye comment watu walikuwa wanamshangaa. Unadhani ni kwanini?
Kuna gari at 120 tena ukiwa umefunga vioo unafeel kama gari haiendi. Unafeel kama upo 50.
Gari hazifanani kabisa.
Disco 3 ..runing cost yake lazma uwe fit chiefBadala ya kununua harrier na ukiwa speed ikakumaliza tafuta discover 3 kwa bei hiyohiyo unapata na pia Kuna bmw X5 na X5 zote Zina ubora kuzidi harrier
Engine ya petrol ikizungusha inachaji ya umeme.Asante sana nimeelewa maana ya hybrid.
Sasa kwahiyo ni ya kuchaji kama EV's nyingine au inachajiwa na dynamo inayozungushwa na engine ya gari?
Hiyo USV ndo ulitaka kumaanisha SUV?😅😅 au kuna gari aina ya USVkote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Hutaki kuburuza makalio mkuukote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Kibongo bongo crossover tunaita SUV halafu tunaiweka kwenye class sawa na proper SUVsSuv ina advantage gani zaidi ya ground clearance? Hizi suv za mchongo harrier,rav4 msiziweke kwenye proper suv akina lc. Hizi kwenye barabarani korofi kidogo tu hazitoboi kama sedan tu.
Hapo kwenye SUV / Crossover, RAV4 ni crossoverRav 4 unayoita ya mchongo ndio SUV maarudu zaidi Duniani zaidi ya LC.
Imevunja rekodi ya mauzo ya SUV zote Amerika na Ulaya.
Sasa sijui huo umchongo unaousema unatoka wapi.
View attachment 2453944United States: best-selling SUV/crossover models 2023 | Statista
Out of all the SUV/Crossover models purchased by American consumers, the greatest number of sales was generated by the Toyota RAV4, with 434,900 sport-utility vehicles sold.www.statista.com
Tatizo humu ndani watu mnaongozwa na hisia na matamanio yenu kuliko uhalisia.
Mkuu unatumia usafiri wa aina gani wewe?kote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti