Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

Mbona mnamshambulia mtoa mada? Hoja yake ipo very clear, kwamba hawa omdulmani inakuwaje wapo miongoni mwa timu zenye rank ya juu caf wakati uchezaji wake haueleweki??
 
Walikua na Timu nzuri Zama zile wanaitoa yanga ya nani Ile Al hilal yenye Mohamed Abdelrahman Makabi Lilepo Vidinho Ibram Imoro ISSA Fofana Abagua David na wengineo ilikua Bora ila baada ya vita wachezaji wameikimbia timu imebomoka hapa ibenge anahangaika kuisuka upya na hawa wachezaji wake wapya kina Serge pokou Adam Coulibaly ila sio timu mbovu hiii nakuhakikishia sio mbovu katazame msimamo wa ligi kuu Mauritania ndio utakuja kuamini
 
Walikua na Timu nzuri Zama zile wanaitoa yanga ya nani Ile Al hilal yenye Mohamed Abdelrahman Makabi Lilepo Vidinho Ibram Imoro ISSA Fofana Abagua David na wengineo ilikua Bora ila baada ya vita wachezaji wameikimbia timu imebomoka hapa ibenge anahangaika kuisuka upya na hawa wachezaji wake wapya kina Serge pokou Adam Coulibaly ila sio timu mbovu hiii nakuhakikishia sio mbovu katazame msimamo wa ligi kuu Mauritania ndio utakuja kuamini
Ni timu nzuri sijakataa, ninachosema ni style ya uchezaji wake ndiyo sijaielewa na wamekuwa hivyo walau misimu hii mitatu ya hivi karibuni. Ni wagumu kufungika ila nao pia hawachezi kama wanaweza kupata goli 2 ndani ya dakika 90.

Labda kama unavyosema, kiwango cha wachezaji walionao kimeshuka ila style haijabadilika kwa kuwa kocha ni yule yule.
 
Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema.

Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu...
Kwani simba sc wanaeleweka..uchezaji wao ni kama wa al hilal
 
Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema.

Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan...
Ni kweli ni timu fulani ngumu hivi. Inacheza objective football.
 
Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema.

Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu wa Afrika Mashariki unaweza kusema ni moja ya timu kubwa ila sijawahi kuwaelewa kabisa, hasa katika miaka ya hivi karibuni.

Ni timu ambayo ukiwa unaitazama inapocheza hauoni ni jinsi gani watapata goli wakati huo huo nao hawafungiki kirahisi sana ingawa siyo kwamba wana defense nzuri kihiiivyo. Unaweza kuwalinganisha na uchezaji wa Taifa Stars kwa sasa.

Wangapi wanakubaliana na mimi katika hili?

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Halafu tukishakubaliana, nini kitatokea!
 
Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema.

Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu wa Afrika Mashariki unaweza kusema ni moja ya timu kubwa ila sijawahi kuwaelewa kabisa, hasa katika miaka ya hivi karibuni.

Ni timu ambayo ukiwa unaitazama inapocheza hauoni ni jinsi gani watapata goli wakati huo huo nao hawafungiki kirahisi sana ingawa siyo kwamba wana defense nzuri kihiiivyo. Unaweza kuwalinganisha na uchezaji wa Taifa Stars kwa sasa.

Wangapi wanakubaliana na mimi katika hili?

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Acha kuwatisha Utopolo....

joseph1989 Tate Mkuu
 
Kwani nao wanacheza michuano ya loosers kama alivosema ahmed ally msemaji wa simba?
 
Nimewaona mara mbili tu walivyowatoa yanga. Sehemu kubwa ya dakika zote 180 walipaki basi, kuna dakika chache pale taifa baada ya kupata goli la kusawazisha waligundua yanga wametoka mchezoni nao walijaribu kufunguka wapate goli la pili hii ilipelekea kusababisha misukosuko kidogo kwenye goli la yanga.

Kama mpira wao wanaoucheza siku zote ndio ule ule walioucheza dhidi ya yanga basi mtoa mada upo sahihi.

Nafikiri round hii wakijichanganya wanaweza kupigwa nje ndani maana yanga imeimalika zaidi na imejua technical know-how ya kukabiliana na mpinzani kwenye hii michuano.
 
Kama nilivyosema katika bandiko langu, nimewaza hivi muda mrefu sana, sikuwahi tu kupata msukumo wala nafasi ya kulisema hili. Hata misimu miwili iliyopita walipoitoa Yanga sikuwa nawaelewa.
Umeongea ki-professional ambao ni mashabiki wachache sana wa simba wanaweza ongea

Tukiondoa al hilal siwaelewagi mfano wameshiriki mara nyingi sana group stage ila imekua ni ngumu kwao kufika robo fainal na hii inatokana na aina ya mpira wao
 
Back
Top Bottom