Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

Naungana na wewe, Tena imekuwa kama umeniwahi mkuu.
Ni timu isiyoeleweka kama ni nzuri au mbaya. Wanacheza mpira mgumu kuwaelewa.

Ni wagumu sana kuwafunga magoli mengi, wanakaba kwa wingi na kwa ushirikiano wa Hali ya juu, wanashambulia kwa Kasi kwa kujikata makundi ya mfumo wa 4-2-3-1 au 4-2-2-2 yaani wanajibalansi kulinda na kukushambulia.

Jiulize pamoja na misuko suko wanayopitia nchini kwao wamefanya pre-season ya kuungaunga ila bado ni timu ngumu isiyoeleweka kama ni kibonde au giant😂

Ibenge ni masterpiece sana!
 
Naungana na wewe, Tena imekuwa kama umeniwahi mkuu.
Ni timu isiyoeleweka kama ni nzuri au mbaya. Wanacheza mpira mgumu kuwaelewa.

Ni wagumu sana kuwafunga magoli mengi, wanakaba kwa wingi na kwa ushirikiano wa Hali ya juu, wanashambulia kwa Kasi kwa kujikata makundi ya mfumo wa 4-2-3-1 au 4-2-2-2 yaani wanajibalansi kulinda na kukushambulia.

Jiulize pamoja na misuko suko wanayopitia nchini kwao wamefanya pre-season ya kuungaunga ila bado ni timu ngumu isiyoeleweka kama ni kibonde au giant😂

Ibenge ni masterpiece sana!
Ibenge robo fainal ya CAF championship ni kama imemshinda tokea akiwa AS VITA kidogo confederation anafikaga mbali

CAF championship inahitaji hesabu kali sana
 
Ibenge robo fainal ya CAF championship ni kama imemshinda tokea akiwa AS VITA kidogo confederation anafikaga mbali

CAF championship inahitaji hesabu kali sana
Ligi dhaifu haiwezi kutoa semi finalists kirahisi. Hata sisi Tanzania bado ushindani wa league yetu ni mdogo ukilinganisha na nchi zenye ushindani mkubwa kama Morocco, Egypt, Tunisia, Algeria, south Africa na Congo DR ( miaka ya kadhaa nyuma).

Tanzania timu za kiushindani ni mbili tu za kariakoo.

Angola nao wanajitahidi ingawa level bado kama ya Tanzania tu.
 
Simba mashindano anayoshiriki ya akina mama hampendi hata kuyajadili
Makolo mmejaa kwenye nyuzi za mijadala ya CAFCL
 
Mashindano ambayo Mama mkuu ana medali ya mshindi wa pili 😅😅
Simba ya mashindano ya akina mama

Mbona Leo hamtaki kuiongelea

Au Simba Leo hajapewa group

Makolo wote marufuku kuongelea CAFCL
 
Simba ashinde shirikisho na Yanga ashinde champions.
 
Ni kiongozi mkubwa pale Simba
Vip hayo mashinda ya akina mama ambayo Simba anashiriki yanaanza lini
viongozi wakubwa wa simba ni wawili tu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi "MO" na mwenyekiti wa simba sc mangungu je kaduguda ni nani? kama shirikisho ni kombe la kina mama maana yake wakina kibu watacheza na mama ako?
 
Ndiyo tuongelee Simba wanaocheza kombe la akina mama

Leo umeichambua sana Yanga
Sasa Chambua Chama lako la makolo
kama shirikisho ni kombe la kina mama maana yake ateba atacheza na mama ako? Je ateba akibaki na mama ako tu unadhani itakuwaje?
 
viongozi wakubwa wa simba ni wawili tu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi "MO" na mwenyekiti wa simba sc mangungu je kaduguda ni nani? kama shirikisho ni kombe la kina mama maana yake wakina kibu watacheza na mama ako?
Nenda CAF msuse kama hamtaki mashindano ya akina mama
 
Kama nilivyosema katika bandiko langu, nimewaza hivi muda mrefu sana, sikuwahi tu kupata msukumo wala nafasi ya kulisema hili. Hata misimu miwili iliyopita walipoitoa Yanga sikuwa nawaelewa.
Uzuri mwaka huu ni wa kulipa visasi tu, tulianza na yule tutamaliza na huyu, wala uspate tabu, yanga haifungwi mara mbili, na uzuri mwingine wapo wawili pia kundini
 
ndio maana na mimi nikakuuliza je kibu atacheza na mama ako? Kama wale walibya walifanywa vile je mama atafanywaje?
Akina mama wanacheza na akina mama wenzao
Kaduguda ashasema shirikisho ni kombe la akina mama kwaiyo wamama wa Simba watacheza na wamama qenzao
 
Back
Top Bottom