Wangapi wanakubaliana na mimi katika hili?
2022
Mohamed Abdelrahman goal vs Young Africans CAF CHAMPIONS LEAGUE 08 /10/2022
View: https://m.youtube.com/watch?v=e4fLQfHe0RA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangapi wanakubaliana na mimi katika hili?
Huko kwao kuna ligi kweli na machafuko yale? Wanapataje nafasi ya kushiriki mashindano ya caf?Kwa hii miaka miwili ambayo sudan haikaliki sijui wakoje. Juzi walicheza na simba wakatoa sare. Sikuona timu ya kuogofya. Ile waliyoitoa yanga mwaka juzi ilikuwa nzuri
Mwaka gani walifika nusu fainal hii mipira mnaongea mkiwa wapi yaani wafike nusu fainal kwa kupita makundi tu au ushazichukua na hizo Raja na ndugu zake kuwa watafungwa na Al Hilal.Kiwango na uchezaji wao wa sasa hatuna tofauti sana na ule waliokuwa nao walipoitoa Yanga mwaka juzi. Ni timu fulani ya ajabu, usije shangaa wakafika hata nusu fainali.
Mkuu kuna watu watawaelewa tu..muda sio mrefu.Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema.
Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu wa Afrika Mashariki unaweza kusema ni moja ya timu kubwa ila sijawahi kuwaelewa kabisa, hasa katika miaka ya hivi karibuni.
Ni timu ambayo ukiwa unaitazama inapocheza hauoni ni jinsi gani watapata goli wakati huo huo nao hawafungiki kirahisi sana ingawa siyo kwamba wana defense nzuri kihiiivyo. Unaweza kuwalinganisha na uchezaji wa Taifa Stars kwa sasa.
Wangapi wanakubaliana na mimi katika hili?
Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Yametokea leoUpo sahii... Unapigwa goli haujui lilipotokea, ndio limelala hivyo.