Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Mtu unaweza ukawa unapigania maisha kitandani, ila huku JF wanakunanga kisa muendelezo wa story.

Dharura haina hodi mkuu, kuna siku wewe muweza wa yote utaelewa. πŸ™πŸ™
Mkuu malengo ulojiwekea baada ya kukutana na mzee kesho yetu, pete ulopewa,mafuta na matumaini uliyo kuwa nayo ukisubiria dili litiki ndo namm nilikuwa nayo na ninayo mpaka leo kupitia story yako....

Kitendo cha kutopost siku ile pamoja na uhakika ulotupa dakika chache kabla kilinivua matumaini kama wewe ulivyo poteza tumaini baada ya mzee ky kukwambia hakupi kitu labda zile laki 2 tu japo dili alipiga...... So twende pole pole hisia zetu kwenye mategemeo zinafanana.
 
Nimesoma sasa...mkuu Analyse huyo mzee KY ni katili anaweza kumtoa mtu roho..daah una majambo mengi mnoo unatufundisha kwamba maisha si mepesi hata kidogo..
Huyo Mzee alishawahi kuniambia "Hutakiwi kumuonea mtu huruma ikiwa na ww unahitaji kuhurumiwa"

Alafu siku hizi ni MC πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ndugu apostle mwisho wa simulizi hii ningekuomba uwe Mchungaji kabisa uachane na kutafuta mambo haya ya ulimwengu yalisha kuchosha hakuna jambo jipya kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…