Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Ila all in all Analyse una akili nyingi sana na ni mwandishi mzuri

Pili, una uwezo mkubwa wa kuhimili hisia maana masimango ya watu humu na bado unajibu kwa utulivu, no panic
Kuna some comments nilikuwa nikisoma mwenyewe nakasirika

Tatu, kupitia story hii walau nimepanua uelewa wangu wa namna ya kumuomba Mungu, kama mtu anafikia extent ya kwenda kwa mganga kupikwa, hizo ishu za kutapeliwa hutoboi bila msaada Mungu
 
Beautiful story
 
Huyo Mzee alishawahi kuniambia "Hutakiwi kumuonea mtu huruma ikiwa na ww unahitaji kuhurumiwa"

Alafu siku hizi ni MC πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Aweeee hahahahahaa kawa mc tena..
Maisha haya jamani
 
Waoooohhh ww ni msimuliaji mzuri sana ..
Unamaliza nakutuacha na viulizo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…