Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

[emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hatar sn

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Familia nzima Washakuona una uraibu wa mishangazi[emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mzee wako ni comedian ni vile hajui tu [emoji23]
 
Unaingizwa kwny utapeli mkuu[emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Baada mjadala huo kuisha, ukaibuka mjadala wa hospital gani aende. Nikashauri twende Bugando Mwanza, kwanza ni karibu lakini pia pale Mama atakuwa chini ya uangalizi mzuri wa Dada. Mshua akashauri twende Dar, kule huduma ni nzuri na kuhusu sehemu ya kufikia atafikia kwangu.

Analyse: "Kule Mama hawezi kuwa comfortable tofauti na kwa Dada"

Mshua: "Kwanini asiwe comfortable?"

Analyse: "Sasa unadhani Mimi na wewe tutaweza kumpa uangalizi mzuri kuliko Dada?"

Mshua: "Kwani mpaka tumuangalie Mimi na wewe?"

Analyse: "Sasa nani mwingine atamuangalia?"

Mshua: "Mkeo"

Analyse: "Mke yupi Mzee?. Sina mke mjini Mimi"

Mshua: "Huna mke, au huwa anakuja na kuondoka?"

Mama: "Nyie mkishaanza kubishana hapo, mpaka apatikane mshindi Mimi ntakuwa nishajifia hapa"
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…