Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Najitahidi nianze kusoma leo...yaani hii account yangu sijui ina mapepo maana mtu aki ni mention hata sipati notification...kumbe ulinimention kitambo hata sikuona mkuu naona uzi umetembea sana

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Uzi na kuisha ushaisha!
Jf notifications zinazingua kinoumaaa sikuhizi mi mwenyewe kuna muda sipati notifications!
 
Sorry guys portion ya leo imekuwa fupi, kutokana na mazingira niliyopo. Nimejitahidi tu walau kuandika ili nisipitishe siku bila kupost, kama nilivyoahidi. Next portion nitafidia.

Nipo mazingira tight. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Analyse wewe ni nomaa sana. Big up
 
Mkuu, ya kuandika ni mengi sana. Vuta picha tokea story ya kwanza kuweka hapa JF, mpaka hii ya sasa. Zote zingekuwa ndani ya Uzi mmoja ingekuwaje? [emoji28][emoji28][emoji28]

Nilichagua kuwa nasimulia kwa vipande, ili nisiwachoshe wasomaji, lakini pia na Mimi niwe napata time ya kufanya mambo mengine kwa Uhuru. Siunajua story ikianza humu JF, msimuliaji hutakiwi kuwa na excuses.

Worry out, next time nitakuja na kipande kingine cha kushare nanyi. [emoji109]
Kwa kweli mkuu Asante sana kushare nasi hapa story zako za maisha. Niko kusoma ya lile lishangazi ulilozaa nalo mtoto. Nimecheka hatari mshua alivyokuvaice.
Halafu mishangazi inakupatia mdogoangu...![emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!.
Lakini yote kwa yote Asante sana. Japo sijapitia story zako zote hiyo ninaendelea nayo huko ya lishangazi lenye mtoto ni ya pili toka hii.
Najua zipo zingine,kwa hisani yako naomba link ya story yako nyingine hapa Legend
 
Kwa kweli mkuu Asante sana kushare nasi hapa story zako za maisha. Niko kusoma ya lile lishangazi ulilozaa nalo mtoto. Nimecheka hatari mshua alivyokuvaice.
Halafu mishangazi inakupatia mdogoangu...![emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!.
Lakini yote kwa yote Asante sana. Japo sijapitia story zako zote hiyo ninaendelea nayo huko ya lishangazi lenye mtoto ni ya pili toka hii.
Najua zipo zingine,kwa hisani yako naomba link ya story yako nyingine hapa Legend
Naomba link mkuu
 
Kwa kweli mkuu Asante sana kushare nasi hapa story zako za maisha. Niko kusoma ya lile lishangazi ulilozaa nalo mtoto. Nimecheka hatari mshua alivyokuvaice.
Halafu mishangazi inakupatia mdogoangu...![emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!.
Lakini yote kwa yote Asante sana. Japo sijapitia story zako zote hiyo ninaendelea nayo huko ya lishangazi lenye mtoto ni ya pili toka hii.
Najua zipo zingine,kwa hisani yako naomba link ya story yako nyingine hapa Legend

Naomba link mkuu




Pitieni hizo
 
Mzee Dingi na mstaafu sijawahi kabisa kuonana nao tena. Nilishawahi kukutana mara moja na Mzee Kidevu, sikutaka hata story nae, nikamkimbia tu.

Mzee Kesho Yetu nilikutana nae mara mbili, mara ya kwanza hatukuongea chochote, mara ya pili nilikuwa kwenye kikao cha harusi, akaja ili wajumbe wamuone, yeye ni MC
Sipati picha mlivyokuwa mnachorana ... silent sms between u,wee ... imekuaje upo hapa ......nilishakwambia tukikutana hatujuani dogo zingatia hilo tusiharibiane biashara 🤣🤣
 




Pitieni hizo
Ulivorudi town uliendelea kuishi kma digidigi?

Na yule mstaafu hukuwahi kuonana nae tena mpaka leo hii?
 




Pitieni hizo
Asante sana mkuu
 
Analyse hongera Sana kwa kutumia muda wako mwingi kutusimulia sehemu ya maisha yako.Hakika story yako inavutia Sana na Kuna mengi ya kujifunza ndani Yake.

May God bless you a great deal [emoji120]
 
Back
Top Bottom