Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

5th Portion:

.... Akili yangu faster ikaniambia, hapa nitakuwa nimeleta mchepuko wa Mshua home, ndio maana Mama kazimia alipouona. Nikajisemea, nishaharibu hapa, tena siku ya kwanza tu kuja.

Nikamkimbilia Mama pale chini. Yule bi mkubwa akawa anakuja taratibu, Mshua nae akawa ametoka ndani. Tukawa tunampa huduma ya kwanza, huku Mshua ananiuliza "Imekuwaje akawa hivi?. Nikamjibu kuwa sielewi, na kiukweli sikuwa naelewa. Baada ya kumpepea pepea huku Mshua akimnawisha kwa maji ya baridi kichwani, Mama fahamu zikawa zinarudi taratibu.

Kipindi hayo yanaendelea, Mshua alikuwa anaongea na yule bi mkubwa niliyekuja kuja nae. Maongezi yao yalikuwa ya kawaida tu, lakini kila nikijaribu kumsoma Mshua kuona kama ana wasiwasi, ila namuona yuko neutral tu. Mama nae fahamu zilivyorudi kabisa, akapewa na maji akanywa. Alivyoona Mshua na yule bi mkubwa wanaongea kama watu wanaofahamiana, nikaona na yeye kazidi kupata ahueni. Ikabidi viletwe viti hapo hapo nje, ili bi mkubwa aendelee kupata hewa safi. Mshua akatoa utambulisho pale, nikaona Mama kumbukumbu juu ya yule bi mkubwa zikawa zimemrudia, kumbe na yeye alikuwa anamfahamu.

Baada ya chakula cha pamoja, yule bi mkubwa akaomba kuondoka maana anaratiba zingine. Mzee akamsindikiza. Huku nyuma nilivyobaki na Mama, nikajaribu kumuuliza alikutwa na nini mpaka kuzimia? Akanijibu "Acha tu, cha muhimu niko sawa sasa". Jitihada zangu za kumbembeleza aniambie, zikagonga mwamba, ikabidi nisalimu Amri.

***** ****** ******** ******* *******

Maisha yaliendelea vizuri pale nyumbani, likizo ilivyo karibia kuisha, nikaondoka.

Siku zikaenda, hatimae masomo yakafikia tamati. Nilipofanikisha kumaliza chuo, kabla ya graduation, Mzee akawa ameniita home. Siku niliyofika, hatukuongea mambo mengi, ila baada ya siku 3 ndio akaniweka kikao. Tukaongea mengi sana kuhusu maisha. Mwisho wa siku akaniambia "Ukirudi tena mjini, kuna mtu nataka ukaonane nae". Nikamuuliza ni nani? Akajibu "usijali, nitakupa namba yake, na namna ya kumpata. Anaweza kukusaidia maisha yako baada ya chuo". Nikamuitikia sawa. Lakini kimoyo moyo sometime nilikuwa namind, maana kama kunipa namba yake ya simu na hizo taarifa zake, angeweza kunipa hata kwa njia ya simu nikiwa Dar.

Nilivyotaka kurudi Dar, alinipa ile namba ya huyo mtu, Kisha akaniambia mengine nitayapata nikishaongea nae, maana anatarajia simu yangu. Nikarudi zangu mjini.

Baada ya kama siku tatu tokea nifike mjini, nikampigia yule mtu. Akanitambua vizuri, Kisha baada ya mazungumzo machache, akasema atanitafuta, akitulia. Nilikaa wiki nzima, hakunicheki. Mshua kuna siku akaniuliza kama nilimtafuta yule mtu, nikamjibu "Ndio, ila alisema atanitafuta akitulia, ila amekuwa kimya". Mzee akaniambia mtafute tena.

Nikampigia tena, hakupokea. Kesho yake nikampigia tena, alivyopokea akaniuliza "Nani mwenzangu?", Ikabidi nijitambulishe upya, alivyonikumbuka, akasema alibanwa na shughuli alafu pia namba yangu hakuwa ameisave, ndio maana alishindwa kunitafuta. Nikamjibu aina shida Mzee. Akaniuliza "Siku gani unakuwa na muda?", Nikamjibu "Kila siku". Akacheka kidogo, alafu akasema atanipigia mwishoni mwa wiki, ili ikiwezekana tuonane.

Ilivyofika mwisho wa wiki, nikasahau makubaliano na yule Mzee, nikajikuta nimemualika mpenzi wangu gheto. Wakati tupo pale, Mzee akapiga simu. Ugomvi wangu mkubwa na huyu binti ilikuwaga simu, alikuwa hataki kabisa tutumie simu tukiwa pamoja, labda mpaka aondoke. Kwahiyo akijaga, simu tunaziweka silent, alaf zinakaa juu ya meza. Yule Mzee alipiga mara 3, zote sikuweza kuzisikia. Nilikuja kuziona zile missed calls jioni sana. Nilipojaribu kumpigia hakupokea. Nikatulia. Baada ya wiki, Mshua akanipigia simu kuuliza kama niliongea na yule mtu, ikabidi nimuelezee hali halisi ilivyo. Baada ya kunisikiliza mpaka mwisho, akaniambia "Tukimaliza kuongea na simu, jaribu kumtafuta tena". Ikabidi nimuulize Mshua, yule Mzee ni nani haswa? Na kwanini natakiwa kumcheki?

Mshua: "Huyo ni mtu wa huku kijijini kwetu, ni kama ndugu yetu. Anafahamiana na watu wengi huko mjini, anaweza kukusaidia"

Analyse: "Ila hapokei simu, alaf ni kama vile hataki huu ukaribu unaojaribu kuuweka"

Mshua: "Ila ni mtu anayeweza kukusaidia, ngoja nikuelekeze kwake, ili umfate kule"

Mshua akanielekeza, lakini sikuwa comfortable kabisa kwenda. Mtu kama simu hapokei, ukienda kwake siutaishia getini?. Nikaamua kumpigia simu siku hiyo hiyo, ili kama kesho nitaenda, basi awe anautarajia ujio wangu. Nilivyopiga, simu ikaita kidogo, alaf ikakatwa. Akanitumia msg "Nipo kwenye kikao, nitakupigia nikitoka. Nani mwenzangu?"

Ile msg ilinifanya nijisikie vibaya na huu undugu wa kufosi. Mzee kila siku ananiuliza Mimi nani?. Sikuijibu ile msg, nikajisemea, kama akinipigia baada ya hicho kikao, sawa. Asisipopiga, simtafuti tena. Yule Mzee hakupiga. Nikampotezea.

Nikaendelea na harakati zingine za utafutaji. Siku, wiki, miezi ikapita. Mshua hakuwahi niuliza tena kuhusu yule Mzee, na hata ilipokuwa tukiongea, hakuingizia ilo swala. Baada ya miaka kama miwili au mitatu kasoro, nikawa nimedhamiria swala la kwenda kumtambulisha mwanamke nyumbani, ili mambo yakienda sawa, siku zijazo nioe.

Na wazo ilo lilitokana na msukumo niliokuwa nao ndani yangu, maana nilikuwa nishaanza kuingiwa na uvivu usio wa kawaida. Kupika, kufua, usafi nk. Yani kiufupi kazi zote za ndani kwangu zilikuwa mzigo. Tatizo pekee nililokuwa nalo, mwanamke ambae nilikuwa nae kwenye hayo mahusiano kwa wakati huo, kila nikimwambia issue ya kumtambulisha nyumbani, anasita sita. Kwamba tusubirie kidogo, mara tuzae kwanza ajifunze malezi. Binafsi sikuwa na mpango wa kuzaa nae bila kuwa tumeoana, maana kama tukishindwana, sitaki nitakae kuja kumuoa nimpe lundo la watoto wasio wake. Baada ya kujadiliana nae kwa kina, mwisho wa siku tukawa tumekubaliana kuanza hizo process.

Nilivyofikisha hiyo taarifa nyumbani, kila mtu aliipokea neutral, hakuna aliyekuwa na shauku au furaha nayo. Mama akaniambia niendelee kujipanga kwanza kimaisha.

Analyse: "Ila Mama, maisha ndio haya haya, hakuna jipya, mambo mengine yatakaa sawa mbeleni"
Mama: "Ni sawa mwangu, pia nakuombea sana heri, ila huoni kama ungesubiria kidogo?"
Analyse: "Nisubirie nini tena Mama? Hutaki kuitwa mkwe?"
Mama: "Nataka sana mwanangu, tena kati ya wanangu ambao natamani kushuhudia harusi yao ni wewe mwanangu"
Analyse: "Basi niruhusuni nimlete mumfahamu Mama"
Mama: "Kusema ukweli naogopa mwanangu. Naogopa sana sijui utaniletea mwanamke wa aina gani, maana kuna muda akili zako unazijua mwenyewe. Hata ile siku niliyopatwa na mshtuko, akili yangu iliniambia yule mwanamke uliyeongozana nae ndio umekuja kumtambulisha"

Nilichoka. Nikajikuta nimekaa kimya kwa muda, nisijue cha kusema. Kumbe ile ndio sababu ya Mama kupata mshtuko?. Yani familia zingine wakisikia watoto wao wanataka kuoa inakuwa furaha, kwa upande wangu naleta wasi wasi? Vijana wenzangu wakiongozana na wamama, wakawasaidia mizigo, wanaonekana vijana wa heshima, Mimi Mama yangu kuniona nimeongozana na mmama, kapatwa hadi namshtuko? 🤦🤦🤦🤦....

Endelea hapa Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu. Mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
 
5th Portion:

.... Akili yangu faster ikaniambia, hapa nitakuwa nimeleta mchepuko wa Mshua home, ndio maana Mama kazimia alipouona. Nikajisemea, nishaharibu hapa, tena siku ya kwanza tu kuja.

Nikamkimbilia Mama pale chini. Yule bi mkubwa akawa anakuja taratibu, Mshua nae akawa ametoka ndani. Tukawa tunampa huduma ya kwanza, huku Mshua ananiuliza "Imekuwaje akawa hivi?. Nikamjibu kuwa sielewi, na kiukweli sikuwa naelewa. Baada ya kumpepea pepea huku Mshua akimnawisha kwa maji ya baridi kichwani, Mama fahamu zikawa zinarudi taratibu.

Kipindi hayo yanaendelea, Mshua alikuwa anaongea na yule bi mkubwa niliyekuja kuja nae. Maongezi yao yalikuwa ya kawaida tu, lakini kila nikijaribu kumsoma Mshua kuona kama ana wasiwasi, ila namuona yuko neutral tu. Mama nae fahamu zilivyorudi kabisa, akapewa na maji akanywa. Alivyoona Mshua na yule bi mkubwa wanaongea kama watu wanaofahamiana, nikaona na yeye kazidi kupata ahueni. Ikabidi viletwe viti hapo hapo nje, ili bi mkubwa aendelee kupata hewa safi. Mshua akatoa utambulisho pale, nikaona Mama kumbukumbu juu ya yule bi mkubwa zikawa zimemrudia, kumbe na yeye alikuwa anamfahamu.

Baada ya chakula cha pamoja, yule bi mkubwa akaomba kuondoka maana anaratiba zingine. Mzee akamsindikiza. Huku nyuma nilivyobaki na Mama, nikajaribu kumuuliza alikutwa na nini mpaka kuzimia? Akanijibu "Acha tu, cha muhimu niko sawa sasa". Jitihada zangu za kumbembeleza aniambie, zikagonga mwamba, ikabidi nisalimu Amri.

***** ****** ******** ******* *******

Maisha yaliendelea vizuri pale nyumbani, likizo ilivyo karibia kuisha, nikaondoka.

Siku zikaenda, hatimae masomo yakafikia tamati. Nilipofanikisha kumaliza chuo, kabla ya graduation, Mzee akawa ameniita home. Siku niliyofika, hatukuongea mambo mengi, ila baada ya siku 3 ndio akaniweka kikao. Tukaongea mengi sana kuhusu maisha. Mwisho wa siku akaniambia "Ukirudi tena mjini, kuna mtu nataka ukaonane nae". Nikamuuliza ni nani? Akajibu "usijali, nitakupa namba yake, na namna ya kumpata. Anaweza kukusaidia maisha yako baada ya chuo". Nikamuitikia sawa. Lakini kimoyo moyo sometime nilikuwa namind, maana kama kunipa namba yake ya simu na hizo taarifa zake, angeweza kunipa hata kwa njia ya simu nikiwa Dar.

Nilivyotaka kurudi Dar, alinipa ile namba ya huyo mtu, Kisha akaniambia mengine nitayapata nikishaongea nae, maana anatarajia simu yangu. Nikarudi zangu mjini.

Baada ya kama siku tatu tokea nifike mjini, nikampigia yule mtu. Akanitambua vizuri, Kisha baada ya mazungumzo machache, akasema atanitafuta, akitulia. Nilikaa wiki nzima, hakunicheki. Mshua kuna siku akaniuliza kama nilimtafuta yule mtu, nikamjibu "Ndio, ila alisema atanitafuta akitulia, ila amekuwa kimya". Mzee akaniambia mtafute tena.

Nikampigia tena, hakupokea. Kesho yake nikampigia tena, alivyopokea akaniuliza "Nani mwenzangu?", Ikabidi nijitambulishe upya, alivyonikumbuka, akasema alibanwa na shughuli alafu pia namba yangu hakuwa ameisave, ndio maana alishindwa kunitafuta. Nikamjibu aina shida Mzee. Akaniuliza "Siku gani unakuwa na muda?", Nikamjibu "Kila siku". Akacheka kidogo, alafu akasema atanipigia mwishoni mwa wiki, ili ikiwezekana tuonane.

Ilivyofika mwisho wa wiki, nikasahau makubaliano na yule Mzee, nikajikuta nimemualika mpenzi wangu gheto. Wakati tupo pale, Mzee akapiga simu. Ugomvi wangu mkubwa na huyu binti ilikuwaga simu, alikuwa hataki kabisa tutumie simu tukiwa pamoja, labda mpaka aondoke. Kwahiyo akijaga, simu tunaziweka silent, alaf zinakaa juu ya meza. Yule Mzee alipiga mara 3, zote sikuweza kuzisikia. Nilikuja kuziona zile missed calls jioni sana. Nilipojaribu kumpigia hakupokea. Nikatulia. Baada ya wiki, Mshua akanipigia simu kuuliza kama niliongea na yule mtu, ikabidi nimuelezee hali halisi ilivyo. Baada ya kunisikiliza mpaka mwisho, akaniambia "Tukimaliza kuongea na simu, jaribu kumtafuta tena". Ikabidi nimuulize Mshua, yule Mzee ni nani haswa? Na kwanini natakiwa kumcheki?

Mshua: "Huyo ni mtu wa huku kijijini kwetu, ni kama ndugu yetu. Anafahamiana na watu wengi huko mjini, anaweza kukusaidia"

Analyse: "Ila hapokei simu, alaf ni kama vile hataki huu ukaribu unaojaribu kuuweka"

Mshua: "Ila ni mtu anayeweza kukusaidia, ngoja nikuelekeze kwake, ili umfate kule"

Mshua akanielekeza, lakini sikuwa comfortable kabisa kwenda. Mtu kama simu hapokei, ukienda kwake siutaishia getini?. Nikaamua kumpigia simu siku hiyo hiyo, ili kama kesho nitaenda, basi awe anautarajia ujio wangu. Nilivyopiga, simu ikaita kidogo, alaf ikakatwa. Akanitumia msg "Nipo kwenye kikao, nitakupigia nikitoka. Nani mwenzangu?"

Ile msg ilinifanya nijisikie vibaya na huu undugu wa kufosi. Mzee kila siku ananiuliza Mimi nani?. Sikuijibu ile msg, nikajisemea, kama akinipigia baada ya hicho kikao, sawa. Asisipopiga, simtafuti tena. Yule Mzee hakupiga. Nikampotezea.

Nikaendelea na harakati zingine za utafutaji. Siku, wiki, miezi ikapita. Mshua hakuwahi niuliza tena kuhusu yule Mzee, na hata ilipokuwa tukiongea, hakuingizia ilo swala. Baada ya miaka kama miwili au mitatu kasoro, nikawa nimedhamiria swala la kwenda kumtambulisha mwanamke nyumbani, ili mambo yakienda sawa, siku zijazo nioe.

Na wazo ilo lilitokana na msukumo niliokuwa nao ndani yangu, maana nilikuwa nishaanza kuingiwa na uvivu usio wa kawaida. Kupika, kufua, usafi nk. Yani kiufupi kazi zote za ndani kwangu zilikuwa mzigo. Tatizo pekee nililokuwa nalo, mwanamke ambae nilikuwa nae kwenye hayo mahusiano kwa wakati huo, kila nikimwambia issue ya kumtambulisha nyumbani, anasita sita. Kwamba tusubirie kidogo, mara tuzae kwanza ajifunze malezi. Binafsi sikuwa na mpango wa kuzaa nae bila kuwa tumeoana, maana kama tukishindwana, sitaki nitakae kuja kumuoa nimpe lundo la watoto wasio wake. Baada ya kujadiliana nae kwa kina, mwisho wa siku tukawa tumekubaliana kuanza hizo process.

Nilivyofikisha hiyo taarifa nyumbani, kila mtu aliipokea neutral, hakuna aliyekuwa na shauku au furaha nayo. Mama akaniambia niendelee kujipanga kwanza kimaisha.

Analyse: "Ila Mama, maisha ndio haya haya, hakuna jipya, mambo mengine yatakaa sawa mbeleni"
Mama: "Ni sawa mwangu, pia nakuombea sana heri, ila huoni kama ungesubiria kidogo?"
Analyse: "Nisubirie nini tena Mama? Hutaki kuitwa mkwe?"
Mama: "Nataka sana mwanangu, tena kati ya wanangu ambao natamani kushuhudia harusi yao ni wewe mwanangu"
Analyse: "Basi niruhusuni nimlete mumfahamu Mama"
Mama: "Kusema ukweli naogopa mwanangu. Naogopa sana sijui utaniletea mwanamke wa aina gani, maana kuna muda akili zako unazijua mwenyewe. Hata ile siku niliyopatwa na mshtuko, akili yangu iliniambia yule mwanamke uliyeongozana nae ndio umekuja kumtambulisha"

Nilichoka. Nikajikuta nimekaa kimya kwa muda, nisijue cha kusema. Kumbe ile ndio sababu ya Mama kupata mshtuko?. Yani familia zingine wakisikia watoto wao wanataka kuoa inakuwa furaha, kwa upande wangu naleta wasi wasi? Vijana wenzangu wakiongozana na wamama, wakawasaidia mizigo, wanaonekana vijana wa heshima, Mimi Mama yangu kuniona nimeongozana na mmama, kapatwa hadi namshtuko? 🤦🤦🤦🤦....
Kumbe mama alijua umemletea li shangazi hahahahahahaha
 
5th Portion:

.... Akili yangu faster ikaniambia, hapa nitakuwa nimeleta mchepuko wa Mshua home, ndio maana Mama kazimia alipouona. Nikajisemea, nishaharibu hapa, tena siku ya kwanza tu kuja.

Nikamkimbilia Mama pale chini. Yule bi mkubwa akawa anakuja taratibu, Mshua nae akawa ametoka ndani. Tukawa tunampa huduma ya kwanza, huku Mshua ananiuliza "Imekuwaje akawa hivi?. Nikamjibu kuwa sielewi, na kiukweli sikuwa naelewa. Baada ya kumpepea pepea huku Mshua akimnawisha kwa maji ya baridi kichwani, Mama fahamu zikawa zinarudi taratibu.

Kipindi hayo yanaendelea, Mshua alikuwa anaongea na yule bi mkubwa niliyekuja kuja nae. Maongezi yao yalikuwa ya kawaida tu, lakini kila nikijaribu kumsoma Mshua kuona kama ana wasiwasi, ila namuona yuko neutral tu. Mama nae fahamu zilivyorudi kabisa, akapewa na maji akanywa. Alivyoona Mshua na yule bi mkubwa wanaongea kama watu wanaofahamiana, nikaona na yeye kazidi kupata ahueni. Ikabidi viletwe viti hapo hapo nje, ili bi mkubwa aendelee kupata hewa safi. Mshua akatoa utambulisho pale, nikaona Mama kumbukumbu juu ya yule bi mkubwa zikawa zimemrudia, kumbe na yeye alikuwa anamfahamu.

Baada ya chakula cha pamoja, yule bi mkubwa akaomba kuondoka maana anaratiba zingine. Mzee akamsindikiza. Huku nyuma nilivyobaki na Mama, nikajaribu kumuuliza alikutwa na nini mpaka kuzimia? Akanijibu "Acha tu, cha muhimu niko sawa sasa". Jitihada zangu za kumbembeleza aniambie, zikagonga mwamba, ikabidi nisalimu Amri.

***** ****** ******** ******* *******

Maisha yaliendelea vizuri pale nyumbani, likizo ilivyo karibia kuisha, nikaondoka.

Siku zikaenda, hatimae masomo yakafikia tamati. Nilipofanikisha kumaliza chuo, kabla ya graduation, Mzee akawa ameniita home. Siku niliyofika, hatukuongea mambo mengi, ila baada ya siku 3 ndio akaniweka kikao. Tukaongea mengi sana kuhusu maisha. Mwisho wa siku akaniambia "Ukirudi tena mjini, kuna mtu nataka ukaonane nae". Nikamuuliza ni nani? Akajibu "usijali, nitakupa namba yake, na namna ya kumpata. Anaweza kukusaidia maisha yako baada ya chuo". Nikamuitikia sawa. Lakini kimoyo moyo sometime nilikuwa namind, maana kama kunipa namba yake ya simu na hizo taarifa zake, angeweza kunipa hata kwa njia ya simu nikiwa Dar.

Nilivyotaka kurudi Dar, alinipa ile namba ya huyo mtu, Kisha akaniambia mengine nitayapata nikishaongea nae, maana anatarajia simu yangu. Nikarudi zangu mjini.

Baada ya kama siku tatu tokea nifike mjini, nikampigia yule mtu. Akanitambua vizuri, Kisha baada ya mazungumzo machache, akasema atanitafuta, akitulia. Nilikaa wiki nzima, hakunicheki. Mshua kuna siku akaniuliza kama nilimtafuta yule mtu, nikamjibu "Ndio, ila alisema atanitafuta akitulia, ila amekuwa kimya". Mzee akaniambia mtafute tena.

Nikampigia tena, hakupokea. Kesho yake nikampigia tena, alivyopokea akaniuliza "Nani mwenzangu?", Ikabidi nijitambulishe upya, alivyonikumbuka, akasema alibanwa na shughuli alafu pia namba yangu hakuwa ameisave, ndio maana alishindwa kunitafuta. Nikamjibu aina shida Mzee. Akaniuliza "Siku gani unakuwa na muda?", Nikamjibu "Kila siku". Akacheka kidogo, alafu akasema atanipigia mwishoni mwa wiki, ili ikiwezekana tuonane.

Ilivyofika mwisho wa wiki, nikasahau makubaliano na yule Mzee, nikajikuta nimemualika mpenzi wangu gheto. Wakati tupo pale, Mzee akapiga simu. Ugomvi wangu mkubwa na huyu binti ilikuwaga simu, alikuwa hataki kabisa tutumie simu tukiwa pamoja, labda mpaka aondoke. Kwahiyo akijaga, simu tunaziweka silent, alaf zinakaa juu ya meza. Yule Mzee alipiga mara 3, zote sikuweza kuzisikia. Nilikuja kuziona zile missed calls jioni sana. Nilipojaribu kumpigia hakupokea. Nikatulia. Baada ya wiki, Mshua akanipigia simu kuuliza kama niliongea na yule mtu, ikabidi nimuelezee hali halisi ilivyo. Baada ya kunisikiliza mpaka mwisho, akaniambia "Tukimaliza kuongea na simu, jaribu kumtafuta tena". Ikabidi nimuulize Mshua, yule Mzee ni nani haswa? Na kwanini natakiwa kumcheki?

Mshua: "Huyo ni mtu wa huku kijijini kwetu, ni kama ndugu yetu. Anafahamiana na watu wengi huko mjini, anaweza kukusaidia"

Analyse: "Ila hapokei simu, alaf ni kama vile hataki huu ukaribu unaojaribu kuuweka"

Mshua: "Ila ni mtu anayeweza kukusaidia, ngoja nikuelekeze kwake, ili umfate kule"

Mshua akanielekeza, lakini sikuwa comfortable kabisa kwenda. Mtu kama simu hapokei, ukienda kwake siutaishia getini?. Nikaamua kumpigia simu siku hiyo hiyo, ili kama kesho nitaenda, basi awe anautarajia ujio wangu. Nilivyopiga, simu ikaita kidogo, alaf ikakatwa. Akanitumia msg "Nipo kwenye kikao, nitakupigia nikitoka. Nani mwenzangu?"

Ile msg ilinifanya nijisikie vibaya na huu undugu wa kufosi. Mzee kila siku ananiuliza Mimi nani?. Sikuijibu ile msg, nikajisemea, kama akinipigia baada ya hicho kikao, sawa. Asisipopiga, simtafuti tena. Yule Mzee hakupiga. Nikampotezea.

Nikaendelea na harakati zingine za utafutaji. Siku, wiki, miezi ikapita. Mshua hakuwahi niuliza tena kuhusu yule Mzee, na hata ilipokuwa tukiongea, hakuingizia ilo swala. Baada ya miaka kama miwili au mitatu kasoro, nikawa nimedhamiria swala la kwenda kumtambulisha mwanamke nyumbani, ili mambo yakienda sawa, siku zijazo nioe.

Na wazo ilo lilitokana na msukumo niliokuwa nao ndani yangu, maana nilikuwa nishaanza kuingiwa na uvivu usio wa kawaida. Kupika, kufua, usafi nk. Yani kiufupi kazi zote za ndani kwangu zilikuwa mzigo. Tatizo pekee nililokuwa nalo, mwanamke ambae nilikuwa nae kwenye hayo mahusiano kwa wakati huo, kila nikimwambia issue ya kumtambulisha nyumbani, anasita sita. Kwamba tusubirie kidogo, mara tuzae kwanza ajifunze malezi. Binafsi sikuwa na mpango wa kuzaa nae bila kuwa tumeoana, maana kama tukishindwana, sitaki nitakae kuja kumuoa nimpe lundo la watoto wasio wake. Baada ya kujadiliana nae kwa kina, mwisho wa siku tukawa tumekubaliana kuanza hizo process.

Nilivyofikisha hiyo taarifa nyumbani, kila mtu aliipokea neutral, hakuna aliyekuwa na shauku au furaha nayo. Mama akaniambia niendelee kujipanga kwanza kimaisha.

Analyse: "Ila Mama, maisha ndio haya haya, hakuna jipya, mambo mengine yatakaa sawa mbeleni"
Mama: "Ni sawa mwangu, pia nakuombea sana heri, ila huoni kama ungesubiria kidogo?"
Analyse: "Nisubirie nini tena Mama? Hutaki kuitwa mkwe?"
Mama: "Nataka sana mwanangu, tena kati ya wanangu ambao natamani kushuhudia harusi yao ni wewe mwanangu"
Analyse: "Basi niruhusuni nimlete mumfahamu Mama"
Mama: "Kusema ukweli naogopa mwanangu. Naogopa sana sijui utaniletea mwanamke wa aina gani, maana kuna muda akili zako unazijua mwenyewe. Hata ile siku niliyopatwa na mshtuko, akili yangu iliniambia yule mwanamke uliyeongozana nae ndio umekuja kumtambulisha"

Nilichoka. Nikajikuta nimekaa kimya kwa muda, nisijue cha kusema. Kumbe ile ndio sababu ya Mama kupata mshtuko?. Yani familia zingine wakisikia watoto wao wanataka kuoa inakuwa furaha, kwa upande wangu naleta wasi wasi? Vijana wenzangu wakiongozana na wamama, wakawasaidia mizigo, wanaonekana vijana wa heshima, Mimi Mama yangu kuniona nimeongozana na mmama, kapatwa hadi namshtuko? [emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]....
Hii ni comedy tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom