Jamaa Ni miyeyusho SanaNasoma stori nacheka sana mzee dingi noma, eti matatizo hata hiyo hela haitoshi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we kijana bado una nguvu hahahahaa
Mweh Kamera tu zile wa vipaji hata usiziami sana mule filter kama zoutreeee!!!Swaum kali madam, ngoja tumalizane na hii...tukiona yale mashep hali zinachange fasta🤣🤣
Yaani ntaanza kuingia dm za watu, hamna hata mmoja ameniita khaaaUsijareee apostooo ushasema mi ninani hata nipinge [emoji3526]
Naona wengine washatia maguu humuuu!!
Wapii Tayukwa Gily Half american Nakadori leadermoe kitalembwa baby zu Lovelovie Kalpana Elissante ERoni cocastic Unforgettable mtzmweusi Lastmost Tyrone Kaijage Doctor G Mafian cartel Mbobo Advicer huku kwetu iPhone 6 moneytalk etc mkuje Aposto keshatupia tangu usikuu hukuuu
Usijali mkuu tutakua tunakutagYaani ntaanza kuingia dm za watu, hamna hata mmoja ameniita khaaa
Aliamua kwenda kisheria kabisa[emoji2][emoji2]Baada ya ule msala, Mchaga alikuwa anataka hela ya ziada, vinginevyo atanifanya kitu mbaya. Makubaliano ilikuwa akanitetee shuleni, na sio kwenda kupigana[emoji28][emoji28]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Itakua mshua alishayavagaaga huko nyuma na maza atakua anamjua vizuri huyo mgeni !!
Mzee atakukata miguu kwa kumchanganyia mafaiki walahi!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mchaga nilimkimbiaga, japo tulikuja kuonana nilivyofataga cheti. Hakuwa na hasira tena, ila aling'ang'ania begi langu hadi nikamnunulia kitimoto na bia 3 [emoji28][emoji28][emoji28]
Hiyo ID picha kama mtu anapelekeqa moto😀Chai ya moto
Ila yule mzee alipatia sana alivyokuambia kuwa una nyota ya kuaminika. Kiukweli mie nikiona ID yako tu huwa akili yangu inanituma kuwa wewe ni mtu mwaminifu, unaejielewa na usie na papara.
Pia nami nina nyota hiyo ya kuaminika, huwezi kuamini nishawahi kununua gari kama 3 hivi bila ya kuwa hata na 100 mfukoni.
unataka kufanyaje kwan [emoji23]Hii nzuri ebu niambie ilikuwaje kuwaje mkuu
Apostoo ni mdedili , kasauti kafanya manyanga [emoji23]Usijareee apostooo ushasema mi ninani hata nipinge [emoji3526]
Naona wengine washatia maguu humuuu!!
Wapii Tayukwa Gily Half american Nakadori leadermoe kitalembwa baby zu Lovelovie Kalpana Elissante ERoni cocastic Unforgettable mtzmweusi Lastmost Tyrone Kaijage Doctor G Mafian cartel Mbobo Advicer huku kwetu iPhone 6 moneytalk etc mkuje Aposto keshatupia tangu usikuu hukuuu