Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Leo sitoweza kuweka portion mbili. Mazingira niliyopo hayako supportive. Kesho nitaendelea
Mkuu wewe mkali sana kwa riwaya.
Kule mwanzo na "baba " yako mchaga nimecheka hadharani hadi bas, tena niko pale airport Mwanza.
Dah...story made my day!
 
Sitoweza kuandika kitu cha kueleweka, maana utulivu hakuna hapa. Kesho uhakika
Mwana uko vizuri., maana nimecheka kwa sauti ni vile umenikumbusha Olevel kuna mwamba alikodi mshua, yule mshua alimpiga vibaya sana mshikaji tukiwa Pared., mpaka waalimu wakamshikilia yule mshua akiwa anawaka sana..,
 
Mwana uko vizuri., maana nimecheka kwa sauti ni vile umenikumbusha Olevel kuna mwamba alikodi mshua, yule mshua alimpiga vibaya sana mshikaji tukiwa Pared., mpaka waalimu wakamshikilia yule mshua akiwa anawaka sana..,
Kishule shule hiyo kawaida sana. Wazazi wa kukodi wanakuwaga na uchungu plus hasira kuliko hata wazazi halisi πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…