Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Ni kama hawana kitu kingine cha kufanya..simamia hapa .binafsi hua nashangaa pia inakua kama deni1😌
 
Mie Mbona ndio kiongozi hukoo 🤣😂
Vice atakua aposto na timu yake ikiongozwa na dingi😂!
Wakati unasoma shule nasikia ulikuw unaulizwa unatokea wapi unajibu shinyanga mjini as if shinyanga ni mjini😀😃😄

Nina uhakika Dar hupajui, Dar ina wilaya ngap hivi😀😂
 
kumbe nilisoma vibaya ushangazi huu Walai nazeeka vibaya. nilisoma Antonnia bado una samora hapo? Kweli nazeeka vibaya ☺️
🤣🤣🤣una samora hapo manake ni nini? haha ukaelew kuwa unasosomora hapo nadhani inamanisha kula au kuvua nguo😀
mh kuvua sio unasosomola🤣kweli kiswahili kigumu
 
Hivi Dar ndio mnaita bongo eeh??😂😂😂Nipajulie wapi mshamba mie hata Sijawahi fika huko fanya wepesi shangazi enu nije kutoa huu ushamba aseeh!!😊
Kuna dogo wa kichaga tunapiga story kuhusu daraja la manzese akadakia "pale mansese Pana mamba wengi" (in Chaga lafudhi😀) akilini anadhani tunazungumzia daraja la wami🤣🤣

Uje Dar utapeliw na akina Analyse
 
🤣🤣🤣una samora hapo manake ni nini? haha ukaelew kuwa unasosomora hapo nadhani inamanisha kula au kuvua nguo😀
mh kuvua sio unasosomola🤣kweli kiswahili kigumu
Si ndo hata mie na ukilaza wangu wote nikashindwa kuelewaa mie kiswahili nilifeliiigii mwenzio ☺️
 
Kuna dogo wa kichaga tunapiga story kuhusu daraja la manzese akadakia "pale mansese Pana mamba wengi" (in Chaga lafudhi😀) akilini anadhani tunazungumzia daraja la wami🤣🤣

Uje Dar utapeliw na akina Analyse
Cha kutapeliwa kikwapi sasa labda maparachichi🤣 kwanza hao wanatapeli vyenye pesa ndefuuuu!!
Mi mwenyewe tapeli hahaha wee Jichanganye🙃🤭
 
Women can destroy your dreams bro kama haupo makini

Wanakuharibu wanapoteza dira na kila kitu

Mimi ni Mfano halisi ilinichukua nguvu nyingi mno kurudi kwenye mstari sahihi
 
[emoji847]
 
@analyse , uko serious ulipitia haya au unatupiga kamba?
mpaka chale, hirizi, kuoga sehemu ya wazi....[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44],

kumbe akina UMUGHAKA mko wengi aiseee...... yeye alipiga miti jini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…