Duh mhuni alipass away kumbe?so sadMungu amlaze pepa huyu mwamba.
Anyway, huko mbele hakuna kureveal anything more [emoji28][emoji28]
Mwisho wa story anaaga, wasalaam: Mentor!Mentor, namuelewa pia sana huyo mtu. Yuko busy kiasi siku hizi, hayupo active sana humu
Usikute mchaga alihisi umemchoma makusudiMchaga alikuwa serious sana na kazi yake. Muda wote kakomaa na script tu [emoji28][emoji28]
Mchaga akasema hatokusahau [emoji23][emoji23][emoji23]..
Nilisahau kuwa lishangazi lilikuwa linammiliki kana smart kitochi😀Mkuu hii Stori ni baada au kabla ya kumilikiwa na Lile lishangaziii.. ambalo ulizaa nalo
nasubili muendelezoPoa poa mkuu. Twende pamoja