Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Hapo kwenyewe kumejaa dhuruma Wajanja wa Mjini wamekutana
 
KY sio fala narudia Tena[emoji23]
 
Aise dogo[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Nilichojifunza,
1. Kuna mifumo ndani ya mifumo ya serikali
2. Mjini lazima ungangamae na usimwamini yeyote,watu hawana huruma
 
Hapo kwa bi mkubwa nimecheka mpaka machozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na wahusika mkuu ukitaka mastaa Bei huwa juu Sana maana malipo yao nayo yapo juu lakin ukichukua wale wa Hali ya Kati na ukataka kila tukio liwe Kama hivi ilivyosimuliwa ni zaidi ya 100m
Lakini lazima hela italipa aisee na movie kuchukua tuzo kadhaa. Kama ile movie ya VIVA RIVA ya Djo Tunda wa Munga, au movie ya TSOTSI. Waigizaji wasio mastaa ila walio serious na kazi
 
Lakini lazima hela italipa aisee na movie kuchukua tuzo kadhaa. Kama ile movie ya VIVA RIVA ya Djo Tunda wa Munga, au movie ya TSOTSI. Waigizaji wasio mastaa ila walio serious na kazi
Ndio itawezekana, yaani inawezekana kabisaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…