Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

10th Portion:

.....Tulifika nyumbani usiku ukiwa umeshaingia. Ila mpaka muda huo, hawakuwa wamekubaliana hatua gani ifuate. Wakati Mimi nakula, Mshua akaomba namba ya Kisauti ili ampigie. Bi Mkubwa akakataa, akasema kama tunampigia, basi yeye (Mama) ndio aongee nae, na sio Mshua. Na hii inatokana na kwamba Mshua hapendagi mambo ya kubembelezana sana, haijalishi nani yupo sahihi. Sometime huwa nahisi ikitokea nimetekwa, alaf watekaji wakampigia simu Mshua kumpiga mikwara awape hela ili waniachie, najiona kabisa nikifa 😅😅😅

Bi Mkubwa akapiga, simu alafu akaweka loudspeaker. Kisauti akapokea. Bi Mkubwa akajitambulisha.

Bi Mkubwa: "Mimi Mama ake fulani..."

Kisauti: "Anhaa, vipi anaendeleaje?"

Bi Mkubwa: "Hali yake bado sio nzuri, tunahitaji msaada wako"

Kisauti: "Dah, mtoto anaroho ngumu sana huyu, bado yupo? "

Bi Mkubwa: " Hakuna haja ya kumfanyia hivyo mwenzako, tutakulipa hizo hela, ila usimfanyie hivyo"

Kisauti: "We hujui alichonifanyia huyo, hujui kabisa. Jeuri sana huyo mtoto"

Kitu ambacho sikukielezea hapo mwanzoni ni kwamba, Mzee Dingi alivyopotea na zile hela, msala aliniachia Mimi. Na Mimi kitendo cha kuondoka kule porini, msala alibaki nao Kisauti. Ule mkaa wote tuliochukua, haukuwa mali ya Kisauti peke yake, yeye alikuwa kama mwakilishi tu au kiongozi, plus hela za wale vibarua. Sasa sikujua walimfanya nini baada ya huu msala kutokea, ila alikuwa na hasira sana.

Sasa wakati Bi Mkubwa anaendelea kuongea nae, Kisauti akasema "Huyo msihangaike nae, muacheni tu, maana hakuna mtakachoweza kufanya". Alafu akakata simu kama kawaida yake.

Simu ilivyokatwa, pakafatiwa na ukimya kidogo. Kisha Bi Mkubwa akaanda chakula kwa ajili yao. Walivyomaliza kula, ndio mjadala ukaanza upya, nini kifanyike. Bi Mkubwa akaendelea kusisizita, wanipeleke kwenye maombi, ila Mshua ni kama mtu ambae akili yake haikuwa pale home, maana alikuwa kwenye mawazo mazito sana.

Pasi na kuongea na mtu yeyote, Mshua akachukua simu yake, Kisha akatoka nje. Alikaa huko muda mrefu kidogo, alirudi ndani kipindi Mimi nishaingia chumbani kulala. Chumba nilichokuwemo, kilikuwa karibu zaidi na sebule, hivyo niliweza kuwasikia wakibishana kuhusu siku ya kesho. Mshua alikuwa anasisitiza asubuhi na mapema ataondoka na Mimi kuna sehem anatakiwa anipeleke. Ila Bi Mkubwa akawa hataki. Ila baada ya mzozo wa muda mfupi, Bi Mkubwa akakubali yaishe.

Palivyokucha, safari ikaanza hadi ziwani, then kutokea pale, tukapanda mtumbwi mpaka kwenye kisiwa fulani hivi cha wastani kwenye ziwa Victoria, ambacho makazi ya watu yalikuwa ya kuhesabu sana. Kwa kupitia maelekezo ya wenyeji, tukafanikiwa hadi kufika sehemu ambayo Mshua aliikusudia. Tukapokelewa vizuri. Hapakuwa na watu wengi, ila tulilazimika kusubiria muda mrefu, maana mtaalam alikuwa kaenda porini kutafuta dawa kwa ajili ya kazi zake.

Alivyorudi, tukaambiwa tuingie ndani.

Akatwambia :

Mtaalam: "Taja majina matatu ya mgonjwa, pamoja na jina la mama yake". Mshua akataja, alafu mganga akaanza kufanya madude yake aliyoyajua mwenyewe. Baada ya muda akaanza kuongea na Mshua.

Mtaalam: " Tatizo lenu nimeshalijua, ila ningependa kujua nyie mnahitaji nini"
Mshua: "Nataka mwanangu apone, lakini pia ningependa kujua amefanywa kitu gani"
Mtaalam: "Waliofanya hivi, dhamira yao ni kumuondoa huyu kijana, lakini hawakutaka aondoke mapema"
Mshua: "Kivipi?"
Mtaalam: "Walitaka apitie mateso makali sana, alafu ndio afe. Ni kama waliamua kumuadhibu kwanza. Maana vilichukuliwa vitu kama mfuko au maputo matatu, yakasomewa kisomo, alafu yakavalishwa moja juu ya jingine. Yote matatu kwa pamoja yakatengeneza puto moja, ndani yao kikawekwa kitu chenye ncha ncha, mfano wa mbegu ya mbigili. Baada ya hapo likajazwa hewa,likafungwa na kwenda kuning'inizwa porini juu ya mti mrefu kabisa. Yale maputo ndio yanawakilisha mwili wa huyu kijana. Kadiri upepo unavyo vuma, lile puto linapepea, na ile mbigili ndani yake inafanya kulichoma puto. Siku puto litakapopasuka, ndio siku atakayoaga Dunia"

Hayo maelezo ya yule mganga, yalininyong'onyesha sana. Nikajiona hapa sitoboi. Kwenye kile kichumba cha mganga palikuwa na hali ya hewa ya joto sana, ila maelezo yake yalifanya nikatokwa na vipele vya baridi. Mshua ikabidi amuulize kuwa Kwa hali hiyo tunafanyaje sasa?

Mtaalam: "Kitu cha kufanya ni kwenda porini kulitafuta ilo puto, kulitoa juu ya mti,kulifungua na kutoa ile bengu. Hakuna njia nyingine ya tofauti". Mtaalam akaendelea "Angetaka kummaliza haraka, puto moja lingetosha, huyu alidhamiria kumtesa kwanza"

Mshua akabaki ameduwaa tu. Kila mganga akiongea, yeye anashtuka tu "Duh, duh, aisee". Yani zile duh duh zilikuwa nyingi hadi msaidizi wa mganga akamkata jicho. Yule mganga ikabidi amwambie, "Ilo zoezi lote inabidi lifanyike usiku wa leo, kabla hapajakucha, ngoja niandae vitendea kazi"

Muda ule ule, kuna mambo baadhi yalifanyika ili kuweka maandalizi sawa Kwa ajili ya zoezi la usiku. Nilichanjwa chanjwa baadhi ya maeneo, nikapakwa vitu ambavyo sikuvielewa, lengo ilikuwa ni kuniweka tayari.

Kuna mambo mengi sana yalifanyika usiku ule, ambayo sitoweza kuyaandika hapa, maana sio dhumuni lake. Ila zoezi lilifanikiwa, ile mbegu ilitolewa ndani ya puto. Ile hali ya mwili kuchoma choma, nayo ikakoma. Ila nikabaki na maumivu ndani ya mwili, mfano nikimeza chakula, nilikuwa nahisi maumivu kila kinapopita hadi kufika tumboni. Tuliendelea kukaa pale kwa siku zingine tatu, alafu ndio tukaruhusiwa kuondoka. Ila kabla ya kuondoka, mtaalam akanisisitiza sana nisije kumtafuta tena Kisauti, na hata ikitokea amenipigia simu, basi nisipokee. Kiufupi alisema nikate kabisa mawasiliano nae, na pia ikitokea tumekutana uso kwa uso, nisikubali kabisa kumpa mkono. Maana dhamira yake juu yangu ni ya dhati sana, na haiwezi kukoma kirahisi.

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuongea chochote na Mshua. Tulivyofika home, baada ya chakula, Mshua akataka kuniweka kikao, Bi Mkubwa akakataa "Subiri basi apate hata nafuu, kwani anahama huyu". Mshua hakumjibu chochote, akanikata jicho, nikazuga kama sipo nao, nikaangalia pembeni. Baada ya siku tatu, hali yangu inaendelea kuimarika taratibu, Mshua akataka tuongee, Bi Mkubwa akakataa tena,

Bi Mkubwa: "Mimi baadae natoka, naenda kumwangalia mke wa Mzee K anaumwa, hamuwezi kufanya mazungumzo nikiwa sipo"
Mshua: "Tena ukitoka ndio vizuri, maana haya mazungumzo ni kati yetu sisi"
Bi Mkubwa: "Sitaki kuanza kuuguza upya hapa, nikiwaacha peke yenu najua kitakachotokea"

Mshua hakumjibu tena, akawa ametoka nje, akaelekea kwenye bustani na gazeti lake mkononi. Bi Mkubwa akaniambia kwavile toka nimefika pale, nimekuwa mtu wa kushinda ndani tu sababu ya kuumwa, basi nimsindikize huko ninapoenda, ili ninyooshe miguu. Nikawa nimetoka na Bi Mkubwa, siku tukaimalizia huko.

Kwavile hali yangu bado haikuwa vizuri sana, niliendelea kukaa nyumbani kwa wiki zingine mbili. Siku niliyowaambia nia yangu ya kurudi Dar, Mshua akasema "ushapona eeh? Sasa nina maongezi na wewe."

Safari hii, Bi Mkubwa hakuweka pingamizi. Mshua alikuwa amevaa suruali, akaenda kubadili na kuvaa bukta, Kisha akaniambia twende tukazungumzie nje. Nikabaki nashangaa tu, haya ni maandalizi ya mazungumzo au kuna kitu kingine hapa?... ..

Endelea hapa Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
 
10th Portion:

.....Tulifika nyumbani usiku ukiwa umeshaingia. Ila mpaka muda huo, hawakuwa wamekubaliana hatua gani ifuate. Wakati Mimi nakula, Mshua akaomba namba ya Kisauti ili ampigie. Bi Mkubwa akakataa, akasema kama tunampigia, basi yeye (Mama) ndio aongee nae, na sio Mshua. Na hii inatokana na kwamba Mshua hapendagi mambo ya kubembelezana sana, haijalishi nani yupo sahihi. Sometime huwa nahisi ikitokea nimetekwa, alaf watekaji wakampigia simu Mshua kumpiga mikwara awape hela ili waniachie, najiona kabisa nikifa 😅😅😅

Bi Mkubwa akapiga, simu alafu akaweka loudspeaker. Kisauti akapokea. Bi Mkubwa akajitambulisha.

Bi Mkubwa: "Mimi Mama ake fulani..."

Kisauti: "Anhaa, vipi anaendeleaje?"

Bi Mkubwa: "Hali yake bado sio nzuri, tunahitaji msaada wako"

Kisauti: "Dah, mtoto anaroho ngumu sana huyu, bado yupo? "

Bi Mkubwa: " Hakuna haja ya kumfanyia hivyo mwenzako, tutakulipa hizo hela, ila usimfanyie hivyo"

Kisauti: "We hujui alichonifanyia huyo, hujui kabisa. Jeuri sana huyo mtoto"

Kitu ambacho sikukielezea hapo mwanzoni ni kwamba, Mzee Dingi alivyopotea na zile hela, msala aliniachia Mimi. Na Mimi kitendo cha kuondoka kule porini, msala alibaki nao Kisauti. Ule mkaa wote tuliochukua, haukuwa mali ya Kisauti peke yake, yeye alikuwa kama mwakilishi tu au kiongozi, plus hela za wale vibarua. Sasa sikujua walimfanya nini baada ya huu msala kutokea, ila alikuwa na hasira sana.

Sasa wakati Bi Mkubwa anaendelea kuongea nae, Kisauti akasema "Huyo msihangaike nae, muacheni tu, maana hakuna mtakachoweza kufanya". Alafu akakata simu kama kawaida yake.

Simu ilivyokatwa, pakafatiwa na ukimya kidogo. Kisha Bi Mkubwa akaanda chakula kwa ajili yao. Walivyomaliza kula, ndio mjadala ukaanza upya, nini kifanyike. Bi Mkubwa akaendelea kusisizita, wanipeleke kwenye maombi, ila Mshua ni kama mtu ambae akili yake haikuwa pale home, maana alikuwa kwenye mawazo mazito sana.

Pasi na kuongea na mtu yeyote, Mshua akachukua simu yake, Kisha akatoka nje. Alikaa huko muda mrefu kidogo, alirudi ndani kipindi Mimi nishaingia chumbani kulala. Chumba nilichokuwemo, kilikuwa karibu zaidi na sebule, hivyo niliweza kuwasikia wakibishana kuhusu siku ya kesho. Mshua alikuwa anasisitiza asubuhi na mapema ataondoka na Mimi kuna sehem anatakiwa anipeleke. Ila Bi Mkubwa akawa hataki. Ila baada ya mzozo wa muda mfupi, Bi Mkubwa akakubali yaishe.

Palivyokucha, safari ikaanza hadi ziwani, then kutokea pale, tukapanda mtumbwi mpaka kwenye kisiwa fulani hivi cha wastani kwenye ziwa Victoria, ambacho makazi ya watu yalikuwa ya kuhesabu sana. Kwa kupitia maelekezo ya wenyeji, tukafanikiwa hadi kufika sehemu ambayo Mshua aliikusudia. Tukapokelewa vizuri. Hapakuwa na watu wengi, ila tulilazimika kusubiria muda mrefu, maana mtaalam alikuwa kaenda porini kutafuta dawa kwa ajili ya kazi zake.

Alivyorudi, tukaambiwa tuingie ndani.

Akatwambia :

Mtaalam: "Taja majina matatu ya mgonjwa, pamoja na jina la mama yake". Mshua akataja, alafu mganga akaanza kufanya madude yake aliyoyajua mwenyewe. Baada ya muda akaanza kuongea na Mshua.

Mtaalam: " Tatizo lenu nimeshalijua, ila ningependa kujua nyie mnahitaji nini"
Mshua: "Nataka mwanangu apone, lakini pia ningependa kujua amefanywa kitu gani"
Mtaalam: "Waliofanya hivi, dhamira yao ni kumuondoa huyu kijana, lakini hawakutaka aondoke mapema"
Mshua: "Kivipi?"
Mtaalam: "Walitaka apitie mateso makali sana, alafu ndio afe. Ni kama waliamua kumuadhibu kwanza. Maana vilichukuliwa vitu kama mfuko au maputo matatu, yakasomewa kisomo, alafu yakavalishwa moja juu ya jingine. Yote matatu kwa pamoja yakatengeneza puto moja, ndani yao kikawekwa kitu chenye ncha ncha, mfano wa mbegu ya mbigili. Baada ya hapo likajazwa hewa,likafungwa na kwenda kuning'inizwa porini juu ya mti mrefu kabisa. Yale maputo ndio yanawakilisha mwili wa huyu kijana. Kadiri upepo unavyo vuma, lile puto linapepea, na ile mbigili ndani yake inafanya kulichoma puto. Siku puto litakapopasuka, ndio siku atakayoaga Dunia"

Hayo maelezo ya yule mganga, yalininyong'onyesha sana. Nikajiona hapa sitoboi. Kwenye kile kichumba cha mganga palikuwa na hali ya hewa ya joto sana, ila maelezo yake yalifanya nikatokwa na vipele vya baridi. Mshua ikabidi amuulize kuwa Kwa hali hiyo tunafanyaje sasa?

Mtaalam: "Kitu cha kufanya ni kwenda porini kulitafuta ilo puto, kulitoa juu ya mti,kulifungua na kutoa ile bengu. Hakuna njia nyingine ya tofauti". Mtaalam akaendelea "Angetaka kummaliza haraka, puto moja lingetosha, huyu alidhamiria kumtesa kwanza"

Mshua akabaki ameduwaa tu. Kila mganga akiongea, yeye anashtuka tu "Duh, duh, aisee". Yani zile duh duh zilikuwa nyingi hadi msaidizi wa mganga akamkata jicho. Yule mganga ikabidi amwambie, "Ilo zoezi lote inabidi lifanyike usiku wa leo, kabla hapajakucha, ngoja niandae vitendea kazi"

Muda ule ule, kuna mambo baadhi yalifanyika ili kuweka maandalizi sawa Kwa ajili ya zoezi la usiku. Nilichanjwa chanjwa baadhi ya maeneo, nikapakwa vitu ambavyo sikuvielewa, lengo ilikuwa ni kuniweka tayari.

Kuna mambo mengi sana yalifanyika usiku ule, ambayo sitoweza kuyaandika hapa, maana sio dhumuni lake. Ila zoezi lilifanikiwa, ile mbegu ilitolewa ndani ya puto. Ile hali ya mwili kuchoma choma, nayo ikakoma. Ila nikabaki na maumivu ndani ya mwili, mfano nikimeza chakula, nilikuwa nahisi maumivu kila kinapopita hadi kufika tumboni. Tuliendelea kukaa pale kwa siku zingine tatu, alafu ndio tukaruhusiwa kuondoka. Ila kabla ya kuondoka, mtaalam akanisisitiza sana nisije kumtafuta tena Kisauti, na hata ikitokea amenipigia simu, basi nisipokee. Kiufupi alisema nikate kabisa mawasiliano nae, na pia ikitokea tumekutana uso kwa uso, nisikubali kabisa kumpa mkono. Maana dhamira yake juu yangu ni ya dhati sana, na haiwezi kukoma kirahisi.

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuongea chochote na Mshua. Tulivyofika home, baada ya chakula, Mshua akataka kuniweka kikao, Bi Mkubwa akakataa "Subiri basi apate hata nafuu, kwani anahama huyu". Mshua hakumjibu chochote, akanikata jicho, nikazuga kama sipo nao, nikaangalia pembeni. Baada ya siku tatu, hali yangu inaendelea kuimarika taratibu, Mshua akataka tuongee, Bi Mkubwa akakataa tena,

Bi Mkubwa: "Mimi baadae natoka, naenda kumwangalia mke wa Mzee K anaumwa, hamuwezi kufanya mazungumzo nikiwa sipo"
Mshua: "Tena ukitoka ndio vizuri, maana haya mazungumzo ni kati yetu sisi"
Bi Mkubwa: "Sitaki kuanza kuuguza upya hapa, nikiwaacha peke yenu najua kitakachotokea"

Mshua hakumjibu tena, akawa ametoka nje, akaelekea kwenye bustani na gazeti lake mkononi. Bi Mkubwa akaniambia kwavile toka nimefika pale, nimekuwa mtu wa kushinda ndani tu sababu ya kuumwa, basi nimsindikize huko ninapoenda, ili ninyooshe miguu. Nikawa nimetoka na Bi Mkubwa, siku tukaimalizia huko.

Kwavile hali yangu bado haikuwa vizuri sana, niliendelea kukaa nyumbani kwa wiki zingine mbili. Siku niliyowaambia nia yangu ya kurudi Dar, Mshua akasema "ushapona eeh? Sasa nina maongezi na wewe."

Safari hii, Bi Mkubwa hakuweka pingamizi. Mshua alikuwa amevaa suruali, akaenda kubadili na kuvaa bukta, Kisha akaniambia twende tukazungumzie nje. Nikabaki nashangaa tu, haya ni maandalizi ya mazungumzo au kuna kitu kingine hapa?... ..
Unaenda kupokea kichapo yalaaaah
 
10th Portion:

.....Tulifika nyumbani usiku ukiwa umeshaingia. Ila mpaka muda huo, hawakuwa wamekubaliana hatua gani ifuate. Wakati Mimi nakula, Mshua akaomba namba ya Kisauti ili ampigie. Bi Mkubwa akakataa, akasema kama tunampigia, basi yeye (Mama) ndio aongee nae, na sio Mshua. Na hii inatokana na kwamba Mshua hapendagi mambo ya kubembelezana sana, haijalishi nani yupo sahihi. Sometime huwa nahisi ikitokea nimetekwa, alaf watekaji wakampigia simu Mshua kumpiga mikwara awape hela ili waniachie, najiona kabisa nikifa 😅😅😅

Bi Mkubwa akapiga, simu alafu akaweka loudspeaker. Kisauti akapokea. Bi Mkubwa akajitambulisha.

Bi Mkubwa: "Mimi Mama ake fulani..."

Kisauti: "Anhaa, vipi anaendeleaje?"

Bi Mkubwa: "Hali yake bado sio nzuri, tunahitaji msaada wako"

Kisauti: "Dah, mtoto anaroho ngumu sana huyu, bado yupo? "

Bi Mkubwa: " Hakuna haja ya kumfanyia hivyo mwenzako, tutakulipa hizo hela, ila usimfanyie hivyo"

Kisauti: "We hujui alichonifanyia huyo, hujui kabisa. Jeuri sana huyo mtoto"

Kitu ambacho sikukielezea hapo mwanzoni ni kwamba, Mzee Dingi alivyopotea na zile hela, msala aliniachia Mimi. Na Mimi kitendo cha kuondoka kule porini, msala alibaki nao Kisauti. Ule mkaa wote tuliochukua, haukuwa mali ya Kisauti peke yake, yeye alikuwa kama mwakilishi tu au kiongozi, plus hela za wale vibarua. Sasa sikujua walimfanya nini baada ya huu msala kutokea, ila alikuwa na hasira sana.

Sasa wakati Bi Mkubwa anaendelea kuongea nae, Kisauti akasema "Huyo msihangaike nae, muacheni tu, maana hakuna mtakachoweza kufanya". Alafu akakata simu kama kawaida yake.

Simu ilivyokatwa, pakafatiwa na ukimya kidogo. Kisha Bi Mkubwa akaanda chakula kwa ajili yao. Walivyomaliza kula, ndio mjadala ukaanza upya, nini kifanyike. Bi Mkubwa akaendelea kusisizita, wanipeleke kwenye maombi, ila Mshua ni kama mtu ambae akili yake haikuwa pale home, maana alikuwa kwenye mawazo mazito sana.

Pasi na kuongea na mtu yeyote, Mshua akachukua simu yake, Kisha akatoka nje. Alikaa huko muda mrefu kidogo, alirudi ndani kipindi Mimi nishaingia chumbani kulala. Chumba nilichokuwemo, kilikuwa karibu zaidi na sebule, hivyo niliweza kuwasikia wakibishana kuhusu siku ya kesho. Mshua alikuwa anasisitiza asubuhi na mapema ataondoka na Mimi kuna sehem anatakiwa anipeleke. Ila Bi Mkubwa akawa hataki. Ila baada ya mzozo wa muda mfupi, Bi Mkubwa akakubali yaishe.

Palivyokucha, safari ikaanza hadi ziwani, then kutokea pale, tukapanda mtumbwi mpaka kwenye kisiwa fulani hivi cha wastani kwenye ziwa Victoria, ambacho makazi ya watu yalikuwa ya kuhesabu sana. Kwa kupitia maelekezo ya wenyeji, tukafanikiwa hadi kufika sehemu ambayo Mshua aliikusudia. Tukapokelewa vizuri. Hapakuwa na watu wengi, ila tulilazimika kusubiria muda mrefu, maana mtaalam alikuwa kaenda porini kutafuta dawa kwa ajili ya kazi zake.

Alivyorudi, tukaambiwa tuingie ndani.

Akatwambia :

Mtaalam: "Taja majina matatu ya mgonjwa, pamoja na jina la mama yake". Mshua akataja, alafu mganga akaanza kufanya madude yake aliyoyajua mwenyewe. Baada ya muda akaanza kuongea na Mshua.

Mtaalam: " Tatizo lenu nimeshalijua, ila ningependa kujua nyie mnahitaji nini"
Mshua: "Nataka mwanangu apone, lakini pia ningependa kujua amefanywa kitu gani"
Mtaalam: "Waliofanya hivi, dhamira yao ni kumuondoa huyu kijana, lakini hawakutaka aondoke mapema"
Mshua: "Kivipi?"
Mtaalam: "Walitaka apitie mateso makali sana, alafu ndio afe. Ni kama waliamua kumuadhibu kwanza. Maana vilichukuliwa vitu kama mfuko au maputo matatu, yakasomewa kisomo, alafu yakavalishwa moja juu ya jingine. Yote matatu kwa pamoja yakatengeneza puto moja, ndani yao kikawekwa kitu chenye ncha ncha, mfano wa mbegu ya mbigili. Baada ya hapo likajazwa hewa,likafungwa na kwenda kuning'inizwa porini juu ya mti mrefu kabisa. Yale maputo ndio yanawakilisha mwili wa huyu kijana. Kadiri upepo unavyo vuma, lile puto linapepea, na ile mbigili ndani yake inafanya kulichoma puto. Siku puto litakapopasuka, ndio siku atakayoaga Dunia"

Hayo maelezo ya yule mganga, yalininyong'onyesha sana. Nikajiona hapa sitoboi. Kwenye kile kichumba cha mganga palikuwa na hali ya hewa ya joto sana, ila maelezo yake yalifanya nikatokwa na vipele vya baridi. Mshua ikabidi amuulize kuwa Kwa hali hiyo tunafanyaje sasa?

Mtaalam: "Kitu cha kufanya ni kwenda porini kulitafuta ilo puto, kulitoa juu ya mti,kulifungua na kutoa ile bengu. Hakuna njia nyingine ya tofauti". Mtaalam akaendelea "Angetaka kummaliza haraka, puto moja lingetosha, huyu alidhamiria kumtesa kwanza"

Mshua akabaki ameduwaa tu. Kila mganga akiongea, yeye anashtuka tu "Duh, duh, aisee". Yani zile duh duh zilikuwa nyingi hadi msaidizi wa mganga akamkata jicho. Yule mganga ikabidi amwambie, "Ilo zoezi lote inabidi lifanyike usiku wa leo, kabla hapajakucha, ngoja niandae vitendea kazi"

Muda ule ule, kuna mambo baadhi yalifanyika ili kuweka maandalizi sawa Kwa ajili ya zoezi la usiku. Nilichanjwa chanjwa baadhi ya maeneo, nikapakwa vitu ambavyo sikuvielewa, lengo ilikuwa ni kuniweka tayari.

Kuna mambo mengi sana yalifanyika usiku ule, ambayo sitoweza kuyaandika hapa, maana sio dhumuni lake. Ila zoezi lilifanikiwa, ile mbegu ilitolewa ndani ya puto. Ile hali ya mwili kuchoma choma, nayo ikakoma. Ila nikabaki na maumivu ndani ya mwili, mfano nikimeza chakula, nilikuwa nahisi maumivu kila kinapopita hadi kufika tumboni. Tuliendelea kukaa pale kwa siku zingine tatu, alafu ndio tukaruhusiwa kuondoka. Ila kabla ya kuondoka, mtaalam akanisisitiza sana nisije kumtafuta tena Kisauti, na hata ikitokea amenipigia simu, basi nisipokee. Kiufupi alisema nikate kabisa mawasiliano nae, na pia ikitokea tumekutana uso kwa uso, nisikubali kabisa kumpa mkono. Maana dhamira yake juu yangu ni ya dhati sana, na haiwezi kukoma kirahisi.

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuongea chochote na Mshua. Tulivyofika home, baada ya chakula, Mshua akataka kuniweka kikao, Bi Mkubwa akakataa "Subiri basi apate hata nafuu, kwani anahama huyu". Mshua hakumjibu chochote, akanikata jicho, nikazuga kama sipo nao, nikaangalia pembeni. Baada ya siku tatu, hali yangu inaendelea kuimarika taratibu, Mshua akataka tuongee, Bi Mkubwa akakataa tena,

Bi Mkubwa: "Mimi baadae natoka, naenda kumwangalia mke wa Mzee K anaumwa, hamuwezi kufanya mazungumzo nikiwa sipo"
Mshua: "Tena ukitoka ndio vizuri, maana haya mazungumzo ni kati yetu sisi"
Bi Mkubwa: "Sitaki kuanza kuuguza upya hapa, nikiwaacha peke yenu najua kitakachotokea"

Mshua hakumjibu tena, akawa ametoka nje, akaelekea kwenye bustani na gazeti lake mkononi. Bi Mkubwa akaniambia kwavile toka nimefika pale, nimekuwa mtu wa kushinda ndani tu sababu ya kuumwa, basi nimsindikize huko ninapoenda, ili ninyooshe miguu. Nikawa nimetoka na Bi Mkubwa, siku tukaimalizia huko.

Kwavile hali yangu bado haikuwa vizuri sana, niliendelea kukaa nyumbani kwa wiki zingine mbili. Siku niliyowaambia nia yangu ya kurudi Dar, Mshua akasema "ushapona eeh? Sasa nina maongezi na wewe."

Safari hii, Bi Mkubwa hakuweka pingamizi. Mshua alikuwa amevaa suruali, akaenda kubadili na kuvaa bukta, Kisha akaniambia twende tukazungumzie nje. Nikabaki nashangaa tu, haya ni maandalizi ya mazungumzo au kuna kitu kingine hapa?... ..
Antonnia Kalpana baby zu Elissante Shunie haya mkuje
 
10th Portion:

.....Tulifika nyumbani usiku ukiwa umeshaingia. Ila mpaka muda huo, hawakuwa wamekubaliana hatua gani ifuate. Wakati Mimi nakula, Mshua akaomba namba ya Kisauti ili ampigie. Bi Mkubwa akakataa, akasema kama tunampigia, basi yeye (Mama) ndio aongee nae, na sio Mshua. Na hii inatokana na kwamba Mshua hapendagi mambo ya kubembelezana sana, haijalishi nani yupo sahihi. Sometime huwa nahisi ikitokea nimetekwa, alaf watekaji wakampigia simu Mshua kumpiga mikwara awape hela ili waniachie, najiona kabisa nikifa 😅😅😅

Bi Mkubwa akapiga, simu alafu akaweka loudspeaker. Kisauti akapokea. Bi Mkubwa akajitambulisha.

Bi Mkubwa: "Mimi Mama ake fulani..."

Kisauti: "Anhaa, vipi anaendeleaje?"

Bi Mkubwa: "Hali yake bado sio nzuri, tunahitaji msaada wako"

Kisauti: "Dah, mtoto anaroho ngumu sana huyu, bado yupo? "

Bi Mkubwa: " Hakuna haja ya kumfanyia hivyo mwenzako, tutakulipa hizo hela, ila usimfanyie hivyo"

Kisauti: "We hujui alichonifanyia huyo, hujui kabisa. Jeuri sana huyo mtoto"

Kitu ambacho sikukielezea hapo mwanzoni ni kwamba, Mzee Dingi alivyopotea na zile hela, msala aliniachia Mimi. Na Mimi kitendo cha kuondoka kule porini, msala alibaki nao Kisauti. Ule mkaa wote tuliochukua, haukuwa mali ya Kisauti peke yake, yeye alikuwa kama mwakilishi tu au kiongozi, plus hela za wale vibarua. Sasa sikujua walimfanya nini baada ya huu msala kutokea, ila alikuwa na hasira sana.

Sasa wakati Bi Mkubwa anaendelea kuongea nae, Kisauti akasema "Huyo msihangaike nae, muacheni tu, maana hakuna mtakachoweza kufanya". Alafu akakata simu kama kawaida yake.

Simu ilivyokatwa, pakafatiwa na ukimya kidogo. Kisha Bi Mkubwa akaanda chakula kwa ajili yao. Walivyomaliza kula, ndio mjadala ukaanza upya, nini kifanyike. Bi Mkubwa akaendelea kusisizita, wanipeleke kwenye maombi, ila Mshua ni kama mtu ambae akili yake haikuwa pale home, maana alikuwa kwenye mawazo mazito sana.

Pasi na kuongea na mtu yeyote, Mshua akachukua simu yake, Kisha akatoka nje. Alikaa huko muda mrefu kidogo, alirudi ndani kipindi Mimi nishaingia chumbani kulala. Chumba nilichokuwemo, kilikuwa karibu zaidi na sebule, hivyo niliweza kuwasikia wakibishana kuhusu siku ya kesho. Mshua alikuwa anasisitiza asubuhi na mapema ataondoka na Mimi kuna sehem anatakiwa anipeleke. Ila Bi Mkubwa akawa hataki. Ila baada ya mzozo wa muda mfupi, Bi Mkubwa akakubali yaishe.

Palivyokucha, safari ikaanza hadi ziwani, then kutokea pale, tukapanda mtumbwi mpaka kwenye kisiwa fulani hivi cha wastani kwenye ziwa Victoria, ambacho makazi ya watu yalikuwa ya kuhesabu sana. Kwa kupitia maelekezo ya wenyeji, tukafanikiwa hadi kufika sehemu ambayo Mshua aliikusudia. Tukapokelewa vizuri. Hapakuwa na watu wengi, ila tulilazimika kusubiria muda mrefu, maana mtaalam alikuwa kaenda porini kutafuta dawa kwa ajili ya kazi zake.

Alivyorudi, tukaambiwa tuingie ndani.

Akatwambia :

Mtaalam: "Taja majina matatu ya mgonjwa, pamoja na jina la mama yake". Mshua akataja, alafu mganga akaanza kufanya madude yake aliyoyajua mwenyewe. Baada ya muda akaanza kuongea na Mshua.

Mtaalam: " Tatizo lenu nimeshalijua, ila ningependa kujua nyie mnahitaji nini"
Mshua: "Nataka mwanangu apone, lakini pia ningependa kujua amefanywa kitu gani"
Mtaalam: "Waliofanya hivi, dhamira yao ni kumuondoa huyu kijana, lakini hawakutaka aondoke mapema"
Mshua: "Kivipi?"
Mtaalam: "Walitaka apitie mateso makali sana, alafu ndio afe. Ni kama waliamua kumuadhibu kwanza. Maana vilichukuliwa vitu kama mfuko au maputo matatu, yakasomewa kisomo, alafu yakavalishwa moja juu ya jingine. Yote matatu kwa pamoja yakatengeneza puto moja, ndani yao kikawekwa kitu chenye ncha ncha, mfano wa mbegu ya mbigili. Baada ya hapo likajazwa hewa,likafungwa na kwenda kuning'inizwa porini juu ya mti mrefu kabisa. Yale maputo ndio yanawakilisha mwili wa huyu kijana. Kadiri upepo unavyo vuma, lile puto linapepea, na ile mbigili ndani yake inafanya kulichoma puto. Siku puto litakapopasuka, ndio siku atakayoaga Dunia"

Hayo maelezo ya yule mganga, yalininyong'onyesha sana. Nikajiona hapa sitoboi. Kwenye kile kichumba cha mganga palikuwa na hali ya hewa ya joto sana, ila maelezo yake yalifanya nikatokwa na vipele vya baridi. Mshua ikabidi amuulize kuwa Kwa hali hiyo tunafanyaje sasa?

Mtaalam: "Kitu cha kufanya ni kwenda porini kulitafuta ilo puto, kulitoa juu ya mti,kulifungua na kutoa ile bengu. Hakuna njia nyingine ya tofauti". Mtaalam akaendelea "Angetaka kummaliza haraka, puto moja lingetosha, huyu alidhamiria kumtesa kwanza"

Mshua akabaki ameduwaa tu. Kila mganga akiongea, yeye anashtuka tu "Duh, duh, aisee". Yani zile duh duh zilikuwa nyingi hadi msaidizi wa mganga akamkata jicho. Yule mganga ikabidi amwambie, "Ilo zoezi lote inabidi lifanyike usiku wa leo, kabla hapajakucha, ngoja niandae vitendea kazi"

Muda ule ule, kuna mambo baadhi yalifanyika ili kuweka maandalizi sawa Kwa ajili ya zoezi la usiku. Nilichanjwa chanjwa baadhi ya maeneo, nikapakwa vitu ambavyo sikuvielewa, lengo ilikuwa ni kuniweka tayari.

Kuna mambo mengi sana yalifanyika usiku ule, ambayo sitoweza kuyaandika hapa, maana sio dhumuni lake. Ila zoezi lilifanikiwa, ile mbegu ilitolewa ndani ya puto. Ile hali ya mwili kuchoma choma, nayo ikakoma. Ila nikabaki na maumivu ndani ya mwili, mfano nikimeza chakula, nilikuwa nahisi maumivu kila kinapopita hadi kufika tumboni. Tuliendelea kukaa pale kwa siku zingine tatu, alafu ndio tukaruhusiwa kuondoka. Ila kabla ya kuondoka, mtaalam akanisisitiza sana nisije kumtafuta tena Kisauti, na hata ikitokea amenipigia simu, basi nisipokee. Kiufupi alisema nikate kabisa mawasiliano nae, na pia ikitokea tumekutana uso kwa uso, nisikubali kabisa kumpa mkono. Maana dhamira yake juu yangu ni ya dhati sana, na haiwezi kukoma kirahisi.

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuongea chochote na Mshua. Tulivyofika home, baada ya chakula, Mshua akataka kuniweka kikao, Bi Mkubwa akakataa "Subiri basi apate hata nafuu, kwani anahama huyu". Mshua hakumjibu chochote, akanikata jicho, nikazuga kama sipo nao, nikaangalia pembeni. Baada ya siku tatu, hali yangu inaendelea kuimarika taratibu, Mshua akataka tuongee, Bi Mkubwa akakataa tena,

Bi Mkubwa: "Mimi baadae natoka, naenda kumwangalia mke wa Mzee K anaumwa, hamuwezi kufanya mazungumzo nikiwa sipo"
Mshua: "Tena ukitoka ndio vizuri, maana haya mazungumzo ni kati yetu sisi"
Bi Mkubwa: "Sitaki kuanza kuuguza upya hapa, nikiwaacha peke yenu najua kitakachotokea"

Mshua hakumjibu tena, akawa ametoka nje, akaelekea kwenye bustani na gazeti lake mkononi. Bi Mkubwa akaniambia kwavile toka nimefika pale, nimekuwa mtu wa kushinda ndani tu sababu ya kuumwa, basi nimsindikize huko ninapoenda, ili ninyooshe miguu. Nikawa nimetoka na Bi Mkubwa, siku tukaimalizia huko.

Kwavile hali yangu bado haikuwa vizuri sana, niliendelea kukaa nyumbani kwa wiki zingine mbili. Siku niliyowaambia nia yangu ya kurudi Dar, Mshua akasema "ushapona eeh? Sasa nina maongezi na wewe."

Safari hii, Bi Mkubwa hakuweka pingamizi. Mshua alikuwa amevaa suruali, akaenda kubadili na kuvaa bukta, Kisha akaniambia twende tukazungumzie nje. Nikabaki nashangaa tu, haya ni maandalizi ya mazungumzo au kuna kitu kingine hapa?... ..
Daaa jaman
 
10th Portion:

.....Tulifika nyumbani usiku ukiwa umeshaingia. Ila mpaka muda huo, hawakuwa wamekubaliana hatua gani ifuate. Wakati Mimi nakula, Mshua akaomba namba ya Kisauti ili ampigie. Bi Mkubwa akakataa, akasema kama tunampigia, basi yeye (Mama) ndio aongee nae, na sio Mshua. Na hii inatokana na kwamba Mshua hapendagi mambo ya kubembelezana sana, haijalishi nani yupo sahihi. Sometime huwa nahisi ikitokea nimetekwa, alaf watekaji wakampigia simu Mshua kumpiga mikwara awape hela ili waniachie, najiona kabisa nikifa [emoji28][emoji28][emoji28]

Bi Mkubwa akapiga, simu alafu akaweka loudspeaker. Kisauti akapokea. Bi Mkubwa akajitambulisha.

Bi Mkubwa: "Mimi Mama ake fulani..."

Kisauti: "Anhaa, vipi anaendeleaje?"

Bi Mkubwa
: "Hali yake bado sio nzuri, tunahitaji msaada wako"

Kisauti: "Dah, mtoto anaroho ngumu sana huyu, bado yupo? "

Bi Mkubwa: " Hakuna haja ya kumfanyia hivyo mwenzako, tutakulipa hizo hela, ila usimfanyie hivyo"

Kisauti: "We hujui alichonifanyia huyo, hujui kabisa. Jeuri sana huyo mtoto"

Kitu ambacho sikukielezea hapo mwanzoni ni kwamba, Mzee Dingi alivyopotea na zile hela, msala aliniachia Mimi. Na Mimi kitendo cha kuondoka kule porini, msala alibaki nao Kisauti. Ule mkaa wote tuliochukua, haukuwa mali ya Kisauti peke yake, yeye alikuwa kama mwakilishi tu au kiongozi, plus hela za wale vibarua. Sasa sikujua walimfanya nini baada ya huu msala kutokea, ila alikuwa na hasira sana.

Sasa wakati Bi Mkubwa anaendelea kuongea nae, Kisauti akasema "Huyo msihangaike nae, muacheni tu, maana hakuna mtakachoweza kufanya". Alafu akakata simu kama kawaida yake.

Simu ilivyokatwa, pakafatiwa na ukimya kidogo. Kisha Bi Mkubwa akaanda chakula kwa ajili yao. Walivyomaliza kula, ndio mjadala ukaanza upya, nini kifanyike. Bi Mkubwa akaendelea kusisizita, wanipeleke kwenye maombi, ila Mshua ni kama mtu ambae akili yake haikuwa pale home, maana alikuwa kwenye mawazo mazito sana.

Pasi na kuongea na mtu yeyote, Mshua akachukua simu yake, Kisha akatoka nje. Alikaa huko muda mrefu kidogo, alirudi ndani kipindi Mimi nishaingia chumbani kulala. Chumba nilichokuwemo, kilikuwa karibu zaidi na sebule, hivyo niliweza kuwasikia wakibishana kuhusu siku ya kesho. Mshua alikuwa anasisitiza asubuhi na mapema ataondoka na Mimi kuna sehem anatakiwa anipeleke. Ila Bi Mkubwa akawa hataki. Ila baada ya mzozo wa muda mfupi, Bi Mkubwa akakubali yaishe.

Palivyokucha, safari ikaanza hadi ziwani, then kutokea pale, tukapanda mtumbwi mpaka kwenye kisiwa fulani hivi cha wastani kwenye ziwa Victoria, ambacho makazi ya watu yalikuwa ya kuhesabu sana. Kwa kupitia maelekezo ya wenyeji, tukafanikiwa hadi kufika sehemu ambayo Mshua aliikusudia. Tukapokelewa vizuri. Hapakuwa na watu wengi, ila tulilazimika kusubiria muda mrefu, maana mtaalam alikuwa kaenda porini kutafuta dawa kwa ajili ya kazi zake.

Alivyorudi, tukaambiwa tuingie ndani.

Akatwambia :

Mtaalam: "Taja majina matatu ya mgonjwa, pamoja na jina la mama yake". Mshua akataja, alafu mganga akaanza kufanya madude yake aliyoyajua mwenyewe. Baada ya muda akaanza kuongea na Mshua.

Mtaalam: " Tatizo lenu nimeshalijua, ila ningependa kujua nyie mnahitaji nini"
Mshua: "Nataka mwanangu apone, lakini pia ningependa kujua amefanywa kitu gani"
Mtaalam: "Waliofanya hivi, dhamira yao ni kumuondoa huyu kijana, lakini hawakutaka aondoke mapema"
Mshua: "Kivipi?"
Mtaalam: "Walitaka apitie mateso makali sana, alafu ndio afe. Ni kama waliamua kumuadhibu kwanza. Maana vilichukuliwa vitu kama mfuko au maputo matatu, yakasomewa kisomo, alafu yakavalishwa moja juu ya jingine. Yote matatu kwa pamoja yakatengeneza puto moja, ndani yao kikawekwa kitu chenye ncha ncha, mfano wa mbegu ya mbigili. Baada ya hapo likajazwa hewa,likafungwa na kwenda kuning'inizwa porini juu ya mti mrefu kabisa. Yale maputo ndio yanawakilisha mwili wa huyu kijana. Kadiri upepo unavyo vuma, lile puto linapepea, na ile mbigili ndani yake inafanya kulichoma puto. Siku puto litakapopasuka, ndio siku atakayoaga Dunia"

Hayo maelezo ya yule mganga, yalininyong'onyesha sana. Nikajiona hapa sitoboi. Kwenye kile kichumba cha mganga palikuwa na hali ya hewa ya joto sana, ila maelezo yake yalifanya nikatokwa na vipele vya baridi. Mshua ikabidi amuulize kuwa Kwa hali hiyo tunafanyaje sasa?

Mtaalam: "Kitu cha kufanya ni kwenda porini kulitafuta ilo puto, kulitoa juu ya mti,kulifungua na kutoa ile bengu. Hakuna njia nyingine ya tofauti". Mtaalam akaendelea "Angetaka kummaliza haraka, puto moja lingetosha, huyu alidhamiria kumtesa kwanza"

Mshua akabaki ameduwaa tu. Kila mganga akiongea, yeye anashtuka tu "Duh, duh, aisee". Yani zile duh duh zilikuwa nyingi hadi msaidizi wa mganga akamkata jicho. Yule mganga ikabidi amwambie, "Ilo zoezi lote inabidi lifanyike usiku wa leo, kabla hapajakucha, ngoja niandae vitendea kazi"

Muda ule ule, kuna mambo baadhi yalifanyika ili kuweka maandalizi sawa Kwa ajili ya zoezi la usiku. Nilichanjwa chanjwa baadhi ya maeneo, nikapakwa vitu ambavyo sikuvielewa, lengo ilikuwa ni kuniweka tayari.

Kuna mambo mengi sana yalifanyika usiku ule, ambayo sitoweza kuyaandika hapa, maana sio dhumuni lake. Ila zoezi lilifanikiwa, ile mbegu ilitolewa ndani ya puto. Ile hali ya mwili kuchoma choma, nayo ikakoma. Ila nikabaki na maumivu ndani ya mwili, mfano nikimeza chakula, nilikuwa nahisi maumivu kila kinapopita hadi kufika tumboni. Tuliendelea kukaa pale kwa siku zingine tatu, alafu ndio tukaruhusiwa kuondoka. Ila kabla ya kuondoka, mtaalam akanisisitiza sana nisije kumtafuta tena Kisauti, na hata ikitokea amenipigia simu, basi nisipokee. Kiufupi alisema nikate kabisa mawasiliano nae, na pia ikitokea tumekutana uso kwa uso, nisikubali kabisa kumpa mkono. Maana dhamira yake juu yangu ni ya dhati sana, na haiwezi kukoma kirahisi.

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuongea chochote na Mshua. Tulivyofika home, baada ya chakula, Mshua akataka kuniweka kikao, Bi Mkubwa akakataa "Subiri basi apate hata nafuu, kwani anahama huyu". Mshua hakumjibu chochote, akanikata jicho, nikazuga kama sipo nao, nikaangalia pembeni. Baada ya siku tatu, hali yangu inaendelea kuimarika taratibu, Mshua akataka tuongee, Bi Mkubwa akakataa tena,

Bi Mkubwa
: "Mimi baadae natoka, naenda kumwangalia mke wa Mzee K anaumwa, hamuwezi kufanya mazungumzo nikiwa sipo"
Mshua: "Tena ukitoka ndio vizuri, maana haya mazungumzo ni kati yetu sisi"
Bi Mkubwa: "Sitaki kuanza kuuguza upya hapa, nikiwaacha peke yenu najua kitakachotokea"

Mshua hakumjibu tena, akawa ametoka nje, akaelekea kwenye bustani na gazeti lake mkononi. Bi Mkubwa akaniambia kwavile toka nimefika pale, nimekuwa mtu wa kushinda ndani tu sababu ya kuumwa, basi nimsindikize huko ninapoenda, ili ninyooshe miguu. Nikawa nimetoka na Bi Mkubwa, siku tukaimalizia huko.

Kwavile hali yangu bado haikuwa vizuri sana, niliendelea kukaa nyumbani kwa wiki zingine mbili. Siku niliyowaambia nia yangu ya kurudi Dar, Mshua akasema "ushapona eeh? Sasa nina maongezi na wewe."

Safari hii, Bi Mkubwa hakuweka pingamizi. Mshua alikuwa amevaa suruali, akaenda kubadili na kuvaa bukta, Kisha akaniambia twende tukazungumzie nje. Nikabaki nashangaa tu, haya ni maandalizi ya mazungumzo au kuna kitu kingine hapa?... ..
Tayari umeyakanyaga. Apostle anaenda kuchezea Ndoige na Sungunyo!

Hatuwezi kukesha kwa mganga siku tatu, alafu tukuache hivihivi. Mzee anataka akulegeze kidogo!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
10th Portion:

.....Tulifika nyumbani usiku ukiwa umeshaingia. Ila mpaka muda huo, hawakuwa wamekubaliana hatua gani ifuate. Wakati Mimi nakula, Mshua akaomba namba ya Kisauti ili ampigie. Bi Mkubwa akakataa, akasema kama tunampigia, basi yeye (Mama) ndio aongee nae, na sio Mshua. Na hii inatokana na kwamba Mshua hapendagi mambo ya kubembelezana sana, haijalishi nani yupo sahihi. Sometime huwa nahisi ikitokea nimetekwa, alaf watekaji wakampigia simu Mshua kumpiga mikwara awape hela ili waniachie, najiona kabisa nikifa 😅😅😅

Bi Mkubwa akapiga, simu alafu akaweka loudspeaker. Kisauti akapokea. Bi Mkubwa akajitambulisha.

Bi Mkubwa: "Mimi Mama ake fulani..."

Kisauti: "Anhaa, vipi anaendeleaje?"

Bi Mkubwa: "Hali yake bado sio nzuri, tunahitaji msaada wako"

Kisauti: "Dah, mtoto anaroho ngumu sana huyu, bado yupo? "

Bi Mkubwa: " Hakuna haja ya kumfanyia hivyo mwenzako, tutakulipa hizo hela, ila usimfanyie hivyo"

Kisauti: "We hujui alichonifanyia huyo, hujui kabisa. Jeuri sana huyo mtoto"

Kitu ambacho sikukielezea hapo mwanzoni ni kwamba, Mzee Dingi alivyopotea na zile hela, msala aliniachia Mimi. Na Mimi kitendo cha kuondoka kule porini, msala alibaki nao Kisauti. Ule mkaa wote tuliochukua, haukuwa mali ya Kisauti peke yake, yeye alikuwa kama mwakilishi tu au kiongozi, plus hela za wale vibarua. Sasa sikujua walimfanya nini baada ya huu msala kutokea, ila alikuwa na hasira sana.

Sasa wakati Bi Mkubwa anaendelea kuongea nae, Kisauti akasema "Huyo msihangaike nae, muacheni tu, maana hakuna mtakachoweza kufanya". Alafu akakata simu kama kawaida yake.

Simu ilivyokatwa, pakafatiwa na ukimya kidogo. Kisha Bi Mkubwa akaanda chakula kwa ajili yao. Walivyomaliza kula, ndio mjadala ukaanza upya, nini kifanyike. Bi Mkubwa akaendelea kusisizita, wanipeleke kwenye maombi, ila Mshua ni kama mtu ambae akili yake haikuwa pale home, maana alikuwa kwenye mawazo mazito sana.

Pasi na kuongea na mtu yeyote, Mshua akachukua simu yake, Kisha akatoka nje. Alikaa huko muda mrefu kidogo, alirudi ndani kipindi Mimi nishaingia chumbani kulala. Chumba nilichokuwemo, kilikuwa karibu zaidi na sebule, hivyo niliweza kuwasikia wakibishana kuhusu siku ya kesho. Mshua alikuwa anasisitiza asubuhi na mapema ataondoka na Mimi kuna sehem anatakiwa anipeleke. Ila Bi Mkubwa akawa hataki. Ila baada ya mzozo wa muda mfupi, Bi Mkubwa akakubali yaishe.

Palivyokucha, safari ikaanza hadi ziwani, then kutokea pale, tukapanda mtumbwi mpaka kwenye kisiwa fulani hivi cha wastani kwenye ziwa Victoria, ambacho makazi ya watu yalikuwa ya kuhesabu sana. Kwa kupitia maelekezo ya wenyeji, tukafanikiwa hadi kufika sehemu ambayo Mshua aliikusudia. Tukapokelewa vizuri. Hapakuwa na watu wengi, ila tulilazimika kusubiria muda mrefu, maana mtaalam alikuwa kaenda porini kutafuta dawa kwa ajili ya kazi zake.

Alivyorudi, tukaambiwa tuingie ndani.

Akatwambia :

Mtaalam: "Taja majina matatu ya mgonjwa, pamoja na jina la mama yake". Mshua akataja, alafu mganga akaanza kufanya madude yake aliyoyajua mwenyewe. Baada ya muda akaanza kuongea na Mshua.

Mtaalam: " Tatizo lenu nimeshalijua, ila ningependa kujua nyie mnahitaji nini"
Mshua: "Nataka mwanangu apone, lakini pia ningependa kujua amefanywa kitu gani"
Mtaalam: "Waliofanya hivi, dhamira yao ni kumuondoa huyu kijana, lakini hawakutaka aondoke mapema"
Mshua: "Kivipi?"
Mtaalam: "Walitaka apitie mateso makali sana, alafu ndio afe. Ni kama waliamua kumuadhibu kwanza. Maana vilichukuliwa vitu kama mfuko au maputo matatu, yakasomewa kisomo, alafu yakavalishwa moja juu ya jingine. Yote matatu kwa pamoja yakatengeneza puto moja, ndani yao kikawekwa kitu chenye ncha ncha, mfano wa mbegu ya mbigili. Baada ya hapo likajazwa hewa,likafungwa na kwenda kuning'inizwa porini juu ya mti mrefu kabisa. Yale maputo ndio yanawakilisha mwili wa huyu kijana. Kadiri upepo unavyo vuma, lile puto linapepea, na ile mbigili ndani yake inafanya kulichoma puto. Siku puto litakapopasuka, ndio siku atakayoaga Dunia"

Hayo maelezo ya yule mganga, yalininyong'onyesha sana. Nikajiona hapa sitoboi. Kwenye kile kichumba cha mganga palikuwa na hali ya hewa ya joto sana, ila maelezo yake yalifanya nikatokwa na vipele vya baridi. Mshua ikabidi amuulize kuwa Kwa hali hiyo tunafanyaje sasa?

Mtaalam: "Kitu cha kufanya ni kwenda porini kulitafuta ilo puto, kulitoa juu ya mti,kulifungua na kutoa ile bengu. Hakuna njia nyingine ya tofauti". Mtaalam akaendelea "Angetaka kummaliza haraka, puto moja lingetosha, huyu alidhamiria kumtesa kwanza"

Mshua akabaki ameduwaa tu. Kila mganga akiongea, yeye anashtuka tu "Duh, duh, aisee". Yani zile duh duh zilikuwa nyingi hadi msaidizi wa mganga akamkata jicho. Yule mganga ikabidi amwambie, "Ilo zoezi lote inabidi lifanyike usiku wa leo, kabla hapajakucha, ngoja niandae vitendea kazi"

Muda ule ule, kuna mambo baadhi yalifanyika ili kuweka maandalizi sawa Kwa ajili ya zoezi la usiku. Nilichanjwa chanjwa baadhi ya maeneo, nikapakwa vitu ambavyo sikuvielewa, lengo ilikuwa ni kuniweka tayari.

Kuna mambo mengi sana yalifanyika usiku ule, ambayo sitoweza kuyaandika hapa, maana sio dhumuni lake. Ila zoezi lilifanikiwa, ile mbegu ilitolewa ndani ya puto. Ile hali ya mwili kuchoma choma, nayo ikakoma. Ila nikabaki na maumivu ndani ya mwili, mfano nikimeza chakula, nilikuwa nahisi maumivu kila kinapopita hadi kufika tumboni. Tuliendelea kukaa pale kwa siku zingine tatu, alafu ndio tukaruhusiwa kuondoka. Ila kabla ya kuondoka, mtaalam akanisisitiza sana nisije kumtafuta tena Kisauti, na hata ikitokea amenipigia simu, basi nisipokee. Kiufupi alisema nikate kabisa mawasiliano nae, na pia ikitokea tumekutana uso kwa uso, nisikubali kabisa kumpa mkono. Maana dhamira yake juu yangu ni ya dhati sana, na haiwezi kukoma kirahisi.

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuongea chochote na Mshua. Tulivyofika home, baada ya chakula, Mshua akataka kuniweka kikao, Bi Mkubwa akakataa "Subiri basi apate hata nafuu, kwani anahama huyu". Mshua hakumjibu chochote, akanikata jicho, nikazuga kama sipo nao, nikaangalia pembeni. Baada ya siku tatu, hali yangu inaendelea kuimarika taratibu, Mshua akataka tuongee, Bi Mkubwa akakataa tena,

Bi Mkubwa: "Mimi baadae natoka, naenda kumwangalia mke wa Mzee K anaumwa, hamuwezi kufanya mazungumzo nikiwa sipo"
Mshua: "Tena ukitoka ndio vizuri, maana haya mazungumzo ni kati yetu sisi"
Bi Mkubwa: "Sitaki kuanza kuuguza upya hapa, nikiwaacha peke yenu najua kitakachotokea"

Mshua hakumjibu tena, akawa ametoka nje, akaelekea kwenye bustani na gazeti lake mkononi. Bi Mkubwa akaniambia kwavile toka nimefika pale, nimekuwa mtu wa kushinda ndani tu sababu ya kuumwa, basi nimsindikize huko ninapoenda, ili ninyooshe miguu. Nikawa nimetoka na Bi Mkubwa, siku tukaimalizia huko.

Kwavile hali yangu bado haikuwa vizuri sana, niliendelea kukaa nyumbani kwa wiki zingine mbili. Siku niliyowaambia nia yangu ya kurudi Dar, Mshua akasema "ushapona eeh? Sasa nina maongezi na wewe."

Safari hii, Bi Mkubwa hakuweka pingamizi. Mshua alikuwa amevaa suruali, akaenda kubadili na kuvaa bukta, Kisha akaniambia twende tukazungumzie nje. Nikabaki nashangaa tu, haya ni maandalizi ya mazungumzo au kuna kitu kingine hapa?... ..
Mshua asijekupiga mitama 😅
 
Back
Top Bottom