Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Mkuu Analyse naomba utujuze, huyo mganga hayo maputo aliyafikia vip ukizingatia haukutuambia labda kama alifunga safari kuyafuata yalipo maana naamini ni sehemu tofauti kbs na alipo huyo mganga
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia
 
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia

Dunia uwanja wa fujo
 
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia

Ila baba ako Marta sana hivi Bado yupo hai?
 
Mkuu Analyse naomba utujuze, huyo mganga hayo maputo aliyafikia vip ukizingatia haukutuambia labda kama alifunga safari kuyafuata yalipo maana naamini ni sehemu tofauti kbs na alipo huyo mganga
We unashangaa kufata MAPUTO hapo iringa tu kutoka mwanza

Watu wanaenda kutafuta (elewa hapo ni KUTAFUTA sio kuuchukua unatafuta haujulikani upo wapi ila LOCATION ndo inasoma PACIFIC OCEAN)
kutafuta FUNGUO na KUFURI lake chini ya PACIFIC OCEAN zaidi ya 20000 league kutoka nchi kavu na 10 kilomita deep chini ya bahari

Kua uyaone MWANANGU
 
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia
Robo NYINGI theruthi tu haifikii DUNIA hii ni zaidi uionavyo
Km umebarikiwa AFYA njema uwezo wa kupata mkate wa kila siku wew na familia yako kuwa saidia baba mama dada nk
ela ya kulipa KODI ya NYUMBA chumba ridhika tu mengine MUNGU akijalia Ukifika wakati wako yatakuja
ukiyataka usiyoyaweza
Utaishia kwenye SHIMO LA TEWA kabla ya SIKU si zako
 
Back
Top Bottom