ilore
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 963
- 1,248
Nilipoteza sm namba hakuna bosiEeenh nimefunga huwa siitumii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipoteza sm namba hakuna bosiEeenh nimefunga huwa siitumii
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.Mkuu Analyse naomba utujuze, huyo mganga hayo maputo aliyafikia vip ukizingatia haukutuambia labda kama alifunga safari kuyafuata yalipo maana naamini ni sehemu tofauti kbs na alipo huyo mganga
Akhasante nimefika tayari
SawaAkhasante nimefika tayari
Haitishi kama ya big?SHETANI BABA YANGU (DEVIL MY FATHER) kuna nyingine huku wametuamulia
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia
Hii nimeiona… huyu ndo alifanya niharibu kazi za watu simsomi mpaka nione neno MWISHO😂😂Akinyi Must Die (Ni lazima Akinyi Afe) nyingine tena
Mkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia
We unashangaa kufata MAPUTO hapo iringa tu kutoka mwanzaMkuu Analyse naomba utujuze, huyo mganga hayo maputo aliyafikia vip ukizingatia haukutuambia labda kama alifunga safari kuyafuata yalipo maana naamini ni sehemu tofauti kbs na alipo huyo mganga
Robo NYINGI theruthi tu haifikii DUNIA hii ni zaidi uionavyoMkuu, hii Dunia ni zaidi ya hivi tuijuavyo. Kuna mambo ukisimuliwa utahisi unaongopewa.
Yule mtaalam usiku ule ule alienda kurekebisha ilo swala. Mwanao nililala makaburini, japo sikuwahi dhani naweza fanya ilo jambo. Itoshe kukwambia, haya tunayoyaona kwa macho ya nyama, hayafikii hata robo ya uhalisia wa hii Dunia