Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikoni kuna nini mbona huu n uzi mwingine? Au ule washaufyekelea mbali?Leejay49 ebu njoo kwanza kwahiyo story umewaambia mods wafute au imekuwaje tena jamaniiii Half american
Mimi ntakuja na hadithi yangu nshaanza kuitype nasevu kdg kidogo, ikikamilika nitaweka ni true story ya maisha yangu mpaka sasa.Hahaha ebu aje aseme imekuwaje yaani
Msomaji nipo naisubiriMimi ntakuja na hadithi yangu nshaanza kuitype nasevu kdg kidogo, ikikamilika nitaweka ni true story ya maisha yangu mpaka sasa.
Hiyo time iruhusu haraka aiseeNtarudi kugusia new chapter niliyoianza mwisho wa story hii. Time ikiruhusu tu, ntakuwa active jukwaani [emoji109]
Ameen AmeenAmiin dada mkubwa. Endeleza Dua tu [emoji120]
Au nikuhadithie yote ili uhadithie?Msomaji nipo naisubiri
Siku ikiwa tayari tu mkuu naomba mwaliko tuendelee tukipoishia, kuna mwamba mmoja wa magofu ya rapta katuacha njiani, ila kwako huwa tunafika tamatiSoon mkuu. Tuombeane uzima