Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
ipo sahihi kabisa, mimi uyu wa mwisho mpaka kesho huwa ananilaumu, ni kero.
Mtu anakulaumu lakin chanzo ni yeye
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo sahihi kabisa, mimi uyu wa mwisho mpaka kesho huwa ananilaumu, ni kero.
Basi ndiyo ujue kuwa kumtoa mwanamke bikira siyo kigezo cha yeye kukupenda sana na kuwa na wewe milele.
Kwahiyo uliposema haujawahi kuwa 'siriaz' na mwanamke ambaye haukumbikiri maana yake ni kwamba kwako mwanamke uliyembikiri wewe unaona ndiye sahihi kuliko ambaye haujambikiri wewe.
Shughuli yake huwa pevu hadi nguvu na ubabe utumike. Vinginevyo hupati kituWenye nazo huwa ni wakorofi,mnaweza kukwanguana makucha au kutoana macho tu kwa kumtengenezea njia
Asiyejua maana haambiwi maanaKila mtu ana uhitaji wake kutokana na anavyoamini katika mapenzi, binafsi nikishajua ke sio bikra huwa siweki malengo nae na nalikubali hilo kabla hata ya kuanzisha ukaribu.
Siwezi usemea moyo wa mtu mkuu hilo layeye kunipenda milele analijua yeye na moyo wake, ila wengi wao ni wasumbufu sana kwa walioanza nao maisha ya mapenzi jiulize kwanini huwa hawakubali ku move on jumla na wengine wapo kwenye ndoa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Asiyejua maana haambiwi maana
Apana jmn ss sio wabinafisi, mwenzetu anataka aonje usumbufu wa kutoa bk, msaidieni jmn wadada mwenye nayoWanaume ni viumbe wabinafsi sana aise !!
Hauko pekeako, Nimeshagonga madem zaid ya 100, na sijawahi kuta bikra
Sijaona uhusiano kati ya ulichoandika na nilichoandika mkuuMficha uchi hazai
Sent from my iPhone using JamiiForums
Soma vizuri alichokiandika yule mwanaume mwenzio niliyemquote aiseeApana jmn ss sio wabinafisi, mwenzetu anataka aonje usumbufu wa kutoa bk, msaidieni jmn wadada mwenye nayo
Mimi sijaelewaKwa Dunia ya sasa... Kukutana na Bikra mwenye miaka kuanzia 25--30 usikenue jino loteeeee
....
Kenua jino lako ikiwa kila kitu kipo sawa !!...( sijui umenielewa ).
Mara mia ukutane na asokua bikra wa miaka 20.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu2014.....niko najitolea mahali baada ya kutoka JKT nksubr kwnda chuo mwez Nov, nlikutana na binti mmoja mzur sana, dini sana yan, akanielewa,tukadate huku akiwa kanihakikishia kuwa yeye ni bikra, ile 2015 april nkiwa chuon yeye yupo dar, tukapanga kuonana, huyo nikasafr from Dom to Dar, meeting her by suprise she wasn't a virgin, nliumia sana..... akaniomba msamaha maisha yakaendelea nko nae adi leo ila ukwel alinitoa kwenye plan zangu kabsa 'bnafs nlipanga mwanamke ntakaemtoa bikra ndo ntakae muoa' ila ndo hvo tena, Huu uchungu haujawah isha sijui kwanin, nyuzi za hivi huwa znaniumiza mno mpaka sasa.
Bado idadi yako ni ndogo sana.Hauko pekeako, Nimeshagonga madem zaid ya 100, na sijawahi kuta bikra