Sijawahi kuona beki mjinga kama Thiery Manzi,unaumizaje mwana Africa Mashariki kikatili

Sijawahi kuona beki mjinga kama Thiery Manzi,unaumizaje mwana Africa Mashariki kikatili

Jamaa ni kama alitumwa na uto kuwavunja wachezaji wa Simba.
Refa nae akawa fair sana yule alitakiwa red card kwa uchezaji wake wa kikatili.

Alichosahau yuko Libya kikazi ila huku Tanzania watutsi wenzake wamejazana , dada zake tunawamwagisha maji kwa kale kamchezo ketu huku Ngara.

Si ajabu ana ndugu huku Tanzania,si ajabu dada zake waneolewa Tanzania,

Si ajabu angecheza kistaarabu mnyama angemsajiri huko mbeleni maana hujui ya kesho.

Ile rafu ya Debora mpaka unaogopa kuangalia marudio,nilijua tayari nje miezi sita.

Si ajabu hata viongozi watimu yake wamemshangaa kujifanya ana uchungu kuliko waarabu wenyewe,eti leo kajitia kuomba radhi

Jinga kabisa
Mbumbu mnapenda sana kulalamikia vitu vidogo, ile rafu ni nyepesi sana, tena ilitakiwa iwe fair challenge kabisa.
 
Mbumbu mnapenda sana kulalamikia vitu vidogo, ile rafu ni nyepesi sana, tena ilitakiwa iwe fair challenge kabisa.
Kama we unakaa kwa shemeji huwezi kuelewa,e ni kazi,Manula tangu apate majeraha sio yule tena,kumbuka mpira mchezo waajabu miaka 35 ni mzee ,ukimvunja mwenzio familia yake itateseka bure kwa ajili yako
 
Kama we unakaa kwa shemeji huwezi kuelewa,e ni kazi,Manula tangu apate majeraha sio yule tena,kumbuka mpira mchezo waajabu miaka 35 ni mzee ,ukimvunja mwenzio familia yake itateseka bure kwa ajili yako
Lkn ile ni nyepesi sana.
 
Jamaa ni kama alitumwa na uto kuwavunja wachezaji wa Simba.
Refa nae akawa fair sana yule alitakiwa red card kwa uchezaji wake wa kikatili.

Alichosahau yuko Libya kikazi ila huku Tanzania watutsi wenzake wamejazana , dada zake tunawamwagisha maji kwa kale kamchezo ketu huku Ngara.

Si ajabu ana ndugu huku Tanzania,si ajabu dada zake waneolewa Tanzania,

Si ajabu angecheza kistaarabu mnyama angemsajiri huko mbeleni maana hujui ya kesho.

Ile rafu ya Debora mpaka unaogopa kuangalia marudio,nilijua tayari nje miezi sita.

Si ajabu hata viongozi watimu yake wamemshangaa kujifanya ana uchungu kuliko waarabu wenyewe,eti leo kajitia kuomba radhi

Jinga kabisa
Mpira ni mchezo wawanaume ninyi wanawake munalazimisha tu kushabikia
 
Jamaa ni kama alitumwa na uto kuwavunja wachezaji wa Simba.
Refa nae akawa fair sana yule alitakiwa red card kwa uchezaji wake wa kikatili.
Acheni kulia nyie. Mnakoenda ni kugumu kuliko mlikotoka. Matukio kama haya yawakomaze sasa
 

Attachments

  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    31.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom