Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RITA na NECTA nikiwahi kuona walioitwa kazini tu ilikuwa ajira portal lkn tangazo lake sikuliona nadhani waliokuwa database hiko kipindiNiliwai kujiuliza sana kuhusu NSSF, uongo mbaya NSSF ajira zao sijawai kuziona, haijulikanagi wanapataje wafanyakazi
Sasa una Kaz gani mkuuHuwa wanatangaza, tembelea kule Sekretariati ya ajira utaona. Mimi hapo kwenye hiyo orodha kuna mashirika nilifanya usaili na nilipataga kazi kwenye moja wapo japokuwa sikwenda kuripoti. Ilikuwa kupitia PSRS.
Unapendaga story za TISS kishenzi,hata kama ni sehemu haihusiki lazima tu uchomeke neno TISS.MSD na TFDA huwa wanatoa kipaumbele saana kwa watu waliosomea nje
TCRA huwa wanatabia ya kuchukua vyuoni wale the best pia hii na TISS ni kulwa na doto WAMEJAZANA HUKO
TPDC pia wamejaza watu waliosomea nje huku kuna mishahara ya mpaka milion 7
Ngorongoro Ajira huwa zinatangazwa saana tu ila askari woa wengi ni zao la jkt na vyuo vya veta pia huku kuna uhaya saana
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Public Service Recruitment Secretariat , (ndio UTUMISHI)psrs ndo nn sorry
Mbona huwa wanatangaza kwani wewe huwa unaziangalia wapiHivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1.NSSF
2.NHIF
3.PSSSF
4.TCRA
5.WCF
6.MSD
7.TPDC
8.TIC
9.NGORONGORO CONSERVATION
10.TFDA
Hawanaga sare hawajitambulishi ila nature ya mazingira nayofanyia kazi watumishi wenzangu wamechomwa saana na hawa watuUnapendaga story za TISS kishenzi,hata kama ni sehemu haihusiki lazima tu uchomeke neno TISS.
Kwakweli kwa mfano hao NSSF, sijawahi kuona tangazo lao la kazi wakitoa hata siku moja.Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1.NSSF
2.NHIF
3.PSSSF
4.TCRA
5.WCF
6.MSD
7.TPDC
8.TIC
9.NGORONGORO CONSERVATION
10.TFDA
MSD na TCRA mbona wanatangazaga Japo mara chache sana, nakumbuka nliwahi kuomba kazi huko.Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1.NSSF
2.NHIF
3.PSSSF
4.TCRA
5.WCF
6.MSD
7.TPDC
8.TIC
9.NGORONGORO CONSERVATION
10.TFDA
Mkuu kwasasa kila kitu ni connections binafsi sijawahi ona matangazo hayo ila watu wanaajiriwa kimya kimyaHivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1. NSSF
2. NHIF
3. PSSSF
4. TCRA
5. WCF
6. MSD
7. TPDC
8. TIC
9. NGORONGORO CONSERVATION
10. TFDA
MSD na TFDA huwa wanatoa kipaumbele saana kwa watu waliosomea nje
TCRA huwa wanatabia ya kuchukua vyuoni wale the best pia hii na TISS ni kulwa na doto WAMEJAZANA HUKO
TPDC pia wamejaza watu waliosomea nje huku kuna mishahara ya mpaka milion 7
Ngorongoro Ajira huwa zinatangazwa saana tu ila askari woa wengi ni zao la jkt na vyuo vya veta pia huku kuna uhaya saana
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1. NSSF
2. NHIF
3. PSSSF
4. TCRA
5. WCF
6. MSD
7. TPDC
8. TIC
9. NGORONGORO CONSERVATION
10. TFDA
Utakua unafanya kazi Mamlaka ya bandari, ndiyo kuna hao jamaa kwa wingiHawanaga sare hawajitambulishi ila nature ya mazingira nayofanyia kazi watumishi wenzangu wamechomwa saana na hawa watu
Dereva story zake 80% lazima sihusiane na mazingira ya kazi yake alkadhalika mwalimu na wanafunzi wake so usishangae ndugu ni kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Peleka barua na uzoefu wako wa kazi moja kwa moja hata kama hawajatangaza pale mlangoni kwa mlinzi juu ya bahasha andika kwa gavana bank kuu halafu jieleze humo na kuacha macontacts yako. Huwezi jua japo ni nje ya utaratibu
nyie wa TMDA kuitwa mpk SeptemberTMDA wanatangaza ajira Mimi pia nimuongoni mwa waliomba ajira kupitia PSRP