Sijawahi kuona haya mashirika ya umma yakitangaza kazi

Sijawahi kuona haya mashirika ya umma yakitangaza kazi

Wanatngza Ila hawapitii psrs
Huwa wanatangaza za nursing, fundi umeme, garage, yaani zile mbaya mbaya tu. Zile nzr utaskia Jesca Magufuli -Financial Controller, Francis Lowassa -Operations Officer, ohhh Fredrick Ombeni Sefue- HR, Mariam Makinda- Public Relations Officer, Zuwena Mwinyi, Deputy Gavana. Yaani watoto wa wakubwa wako BoT sijui interview huwa wana fanyia wapi? Akati sijawahi kuona wameitwa interview. Ndio maana uchumi wa Tz uko mwendo wa kombe since 1960s.
 
Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1. NSSF
2. NHIF
3. PSSSF
4. TCRA
5. WCF
6. MSD
7. TPDC
8. TIC
9. NGORONGORO CONSERVATION
10. TFDA
Huko kuna sukari
 
Bila kusahau MNH sijawahi kusikia tangazo lao kabisa
 
Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1. NSSF
2. NHIF
3. PSSSF
4. TCRA
5. WCF
6. MSD
7. TPDC
8. TIC
9. NGORONGORO CONSERVATION
10. TFDA

Sometimes ingia hata google, utapata majibu badala ya kuandika yale unayoyafikiria
 
Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1. NSSF
2. NHIF
3. PSSSF
4. TCRA
5. WCF
6. MSD
7. TPDC
8. TIC
9. NGORONGORO CONSERVATION
10. TFDA
Wakitangaza huwa ni moja au mbili za kuzugia tu.
 
Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya kazi kabisa
1. NSSF
2. NHIF
3. PSSSF
4. TCRA
5. WCF
6. MSD
7. TPDC
8. TIC
9. NGORONGORO CONSERVATION
10. TFDA
Kula mtori kwanza nyama ziko chini,
 
Haoo NSSF na TCRA ndio sijawah ona karibia miaka 10 hao wengine mbona saba tu UTUMISHI
 
Hawanaga sare hawajitambulishi ila nature ya mazingira nayofanyia kazi watumishi wenzangu wamechomwa saana na hawa watu

Dereva story zake 80% lazima sihusiane na mazingira ya kazi yake alkadhalika mwalimu na wanafunzi wake so usishangae ndugu ni kawaida
Wewe ndo uyo snitch sio
 
Haoo NSSF na TCRA ndio sijawah ona karibia miaka 10 hao wengine mbona saba tu UTUMISHI
TCRA
Haoo NSSF na TCRA ndio sijawah ona karibia miaka 10 hao wengine mbona saba tu UTUMISHI
TCRA huwa wanatoaga ajira kupitia utumishi mkuu hata mm nilishawahi kuziona nafasi walizo toa wakati ule lakini shuhuli ipo kwa hao "NSSF" kwakweli sijui wanatumia utaratibu gani wa kuajiri watu.
 
Siku hizi kunakuwaga na nafasi za kuhamia kwenye hizi taasisi hasa kwa wafanyakazi wa halmshauri.

Ndio maana ajira mpya huwa wanawachukua wachache sana.

Nawapata watu wengi sana walikuwa huko halmshauri wakahamia taasisi.

Wakati wengine nafasi hutangazwa na wakati wengine ni kimyakimya.
 
Back
Top Bottom