Sijawahi kuona Mkutano Mkuu CCM( NEC) uliofeli kama huu

Sijawahi kuona Mkutano Mkuu CCM( NEC) uliofeli kama huu

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
 
Hayajatokea KWA Bahati mbaya!

ULE ni mpango kazi wa kuua Chama KWA kuleta taharuki KWA wenye nchi kukosa imani na chama Baada ya kuonyesha kuwa wanauana wao KWA wao tena wanaua Mwenyekiti aliepo madarakani!(rafer kauli ya kusema "kama wazee tulisema hapana")

KWA kauli hizo ni dhahiri wenye nchi watasema mmepoteza mvuto inahitajika nembo mpya!

Ile move jk anaijua VIZURI mno!sidhani kama Mzee Makamba anaielewa kama jk anavoielewa!!

Self analysis!

Ngoja tuone!
 
Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
 
Hayajatokea KWA Bahati mbaya!

ULE ni mpango kazi wa kuua Chama KWA kuleta taharuki KWA wenye nchi kukosa imani na chama Baada ya kuonyesha kuwa wanauana wao KWA wao tena wanaua Mwenyekiti aliepo madarakani!(rafer kauli ya kusema "kama wazee tulisema hapana")

KWA kauli hizo ni dhahiri wenye nchi watasema mmepoteza mvuto inahitajika nembo mpya!

Ile move jk anaijua VIZURI mno!sidhani kama Mzee Makamba anaielewa kama jk anavoielewa!!

Self analysis!

Ngoja tuone!
Ile kauli ya wazee tulisema hapana ni ipi ya miaka 7 Kwa mhula mmoja wa Rais au?
 
Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Wewe huna unalojua zaidi ya kutafuta uteuzi Kwa kujipendekeza.
 
Wewe huna unalojua zaidi ya kutafuta uteuzi Kwa kujipendekeza.
Hivi huyu jamaa hivi ni mfanyakazi wa pale Lumumba? Dah si kwa mapambio anayoimba kuhusu SSH mpaka anakera kwa siku anaweza leta hata thread10 za mapambio ya kumsifia SSH
 
Hayajatokea KWA Bahati mbaya!

ULE ni mpango kazi wa kuua Chama KWA kuleta taharuki KWA wenye nchi kukosa imani na chama Baada ya kuonyesha kuwa wanauana wao KWA wao tena wanaua Mwenyekiti aliepo madarakani!(rafer kauli ya kusema "kama wazee tulisema hapana")

KWA kauli hizo ni dhahiri wenye nchi watasema mmepoteza mvuto inahitajika nembo mpya!

Ile move jk anaijua VIZURI mno!sidhani kama Mzee Makamba anaielewa kama jk anavoielewa!!

Self analysis!

Ngoja tuone!
Well
 
Ile kura moja iliniwazisha sana. Mawazo yangu ya kijinga yakaniambia haikuwa moja. Ilitangazwa kimkakati ili kulivuruga kundi pinzani. Kila aliyepinga atakuwa anahisi ni yeye tu hakusaliti lakini kasalitiwa na wenzake.
ukweli mtupu !
 
Kwa hapa walipofika ni bora chama kife hiki, kimeshawashinda kitambo sana sahivi ni sukuma twende tu

We angalia hivi ni nani ana ubavu wa kusimama akasikilizwa leo? wote ni kambale na huko tuendako ndo kuchungu usipime
Wote ni chawa wa chawa wenzie
 
Back
Top Bottom