Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.