Sijawahi kuona Mkutano Mkuu CCM( NEC) uliofeli kama huu

Sijawahi kuona Mkutano Mkuu CCM( NEC) uliofeli kama huu

Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Chawa mkuu kazini. Huna wa kuficha mambi yaliyokiwa wazi vile
 
KWA kauli hizo ni dhahiri wenye nchi watasema mmepoteza mvuto inahitajika nembo mpya!
Huenda ndio ikawa maana ya Labda mambo yakiwa mabaya sana?? Maana kutia ile walakini inaqeza kuwa kama kamtego fulani kwamba utakapoona mambo yamebadilika ni kwa sababu mambo hayakwenda vjzuri
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.

Muongo ‘ mzushi mkubwa
 
Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out
Yatoke tuuu
 
Wachawi bwana; siku zote mpo kwa ajili ya kutamani mavurugano, magonjwa, njaa, vifo n.k. dhidi ya watu waliofanikiwa/jirani zenu. Poleni sana na ngoja nikae kimya tu!
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
"Labda hapo katikati mambo yaharibike"
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
Mleta hoja umewahi kushuhudia kifo cha punda? Basi ni hivi, anapokata roho punda huwa anarusha mateke hovyo hakuna mchezo.
Sasa dalili za kifo cha CCM ndio hizo kama za punda, wanarusha mateke hovyo na kuumizana wenyewe na wasipoangalia watauana wenyewe.
Dawa ni kukaa mbali nao ili mateke ya kifo chake yasiue wengine

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
Ukiweza utusaidie wenzako kutupa highlights za makosa.
 
Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano

Mleta uzi anaonekana ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kuchambua mambo, ila we ni aina ya kundi kubwa la wajinga waliojaa ndani ya CCM sasa. Wajinga walianza taratibu kipindi cha pili cha JK CCM ilipoanza kupoteza ushawishi rasmi kwa kizazi hiki. Na wakaongezeka maradufu wakati wa Magufuli. Kwa sasa tunashudia matokeo ya ujinga ulioota mizizi ndani ya CCM. Ww ni mfano halisi ya wajinga hao.
 
Ile kura moja iliniwazisha sana. Mawazo yangu ya kijinga yakaniambia haikuwa moja. Ilitangazwa kimkakati ili kulivuruga kundi pinzani. Kila aliyepinga atakuwa anahisi ni yeye tu hakusaliti lakini kasalitiwa na wenzake.

CCM kwa sasa imetoka kwenye utaratibu wa kuheshimu kura, kiasi kwamba kwao kura ni jambo la fashion tu. Kiongozi pamoja na kundi lake kwa sasa wanapanga Kiwango cha kura wazitakazo. Tabia hii ya kutoheshimu kura ni lazima itazua uasi.
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
Mikutano yote huwa iko vile, sema faida uliyoipata wewe huu Mkutano uliuona Mubashara

Ungeuona Mkutano ambao Lowassa alisimama akamwuliza Kikwete amweleze kwanini alimpakazia Richmond sijui ungesemaje!
 
Back
Top Bottom