GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Hivi kulikuwa na sababu ya kumhoji huyu mzee? Ana kinywa kichafu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama chetu kinaendekeza vijembe, kejeli, masimango, majigambo, na vigelegele badala ya mipango na mikakatiHakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Huoni/husikii kauli zinazokinzana mitaani zilizozalishwa na mkutano huo!?Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Mkuu
Hata wa NEC wa kisiwa wawe 50!hawatozuia malengo ya Deep state!!
Yameshapangwa Hayo!KINACHOFATA ni utekelezaji!
Mwambie Lema au Heche aende kinyume na Mbowe afu muone Moto.Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Ni kwa sababu chama kilivurugwa huko awali so hizo kauli Ni za kujenga.Huoni/husikii kauli zinazokinzana mitaani zilizozalishwa na mkutano huo!?
Kauli za aliyewahi kufa ni mkosefu unaona ni za kujenga? Au zina ukweli wowote?Ni kwa sababu chama kilivurugwa huko awali so hizo kauli Ni za kujenga.
JK amekuwa wazi waropokaji waitwe kwenye vkao wapewe discipline.
Ndio Gwajima si kajibu kasema Wakristo hamuogopi kufa,kufa Ni ushujaa Sasa manake kumbe hakuna ubaya..Kauli za aliyewahi kufa ni mkosefu unaona ni za kujenga? Au zina ukweli wowote?
Mimi siyo mfuasi wa huyo unayemsema. Lakini vile vile usisahau aliyekufa si peke yakeNdio Gwajima si kajibu kasema Wakristo hamuogopi kufa,kufa Ni ushujaa Sasa manake kumbe hakuna ubaya..
Mwisho yule jamaa alivyokuwa na roho mbaya na kuwatenda wenzie ulitaka wasiteme nyongo?
Kumbe inawauma si ndio? Hivyo hivyo ndivyo na wengine waliumia,ukiacha ukatili wake alikuwa anadhalilisha wenzie watu wazima nakuwaita wapumbavu hadharani..
Ashukuru amekufa bila kusikia hqya.
Sawa Kama unajua hivyo wewe unawashwa na Nini?Mimi siyo mfuasi wa huyo unayemsema. Lakini vile vile usisahau aliyekufa si peke yake
Mbona kama umepaniki..?? Vipi mzee..?Sawa Kama unajua hivyo wewe unawashwa na Nini?
Safi Leta manenoMbona kama umepaniki..?? Vipi mzee..?
Chama cha wastaarabu kile. Ni chama chenye heshima yake.Mwambie Lema au Heche aende kinyume na Mbowe afu muone Moto.
Maneno haya ndio Makamba hataki sasaSawa Kama unajua hivyo wewe unawashwa na Nini?
Tutakomaa tu na richama retu!Sasa mtafanyaje ndugu makada?
"Ujinga ulioota mizizi ndani ya CCM" nimeipenda hii statement, naweza kusema hii ndio ya kufungia mwaka.Mleta uzi anaonekana ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kuchambua mambo, ila we ni aina ya kundi kubwa la wajinga waliojaa ndani ya CCM sasa. Wajinga walianza taratibu kipindi cha pili cha JK CCM ilipoanza kupoteza ushawishi rasmi kwa kizazi hiki. Na wakaongezeka maradufu wakati wa Magufuli. Kwa sasa tunashudia matokeo ya ujinga ulioota mizizi ndani ya CCM. Ww ni mfano halisi ya wajinga hao.
Kwa hiyo timsaidiaje Kama hataki?Maneno haya ndio Makamba hataki sasa
Hiyo Ni Sacco's ya waganga njaa sii chama ndio maana anaewaamulia Ni tajiri Mbowe,keshalambishwa asali hamna Cha kufanya atakachowaamulia ndicho mtafuata.Chama cha wastaarabu kile. Ni chama chenye heshima yake.