Sijawahi kuona Mkutano Mkuu CCM( NEC) uliofeli kama huu

Sijawahi kuona Mkutano Mkuu CCM( NEC) uliofeli kama huu

Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
Chama chetu kinaendekeza vijembe, kejeli, masimango, majigambo, na vigelegele badala ya mipango na mikakati
 
Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Huoni/husikii kauli zinazokinzana mitaani zilizozalishwa na mkutano huo!?
 
Hakuna haja ya kuongea sana.

Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.

Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.

Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.

Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.

Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.

Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.

Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.

Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.

Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.

" labda mambo yaharibike saana"

Wikendi njema.
Mwambie Lema au Heche aende kinyume na Mbowe afu muone Moto.
 
Kauli za aliyewahi kufa ni mkosefu unaona ni za kujenga? Au zina ukweli wowote?
Ndio Gwajima si kajibu kasema Wakristo hamuogopi kufa,kufa Ni ushujaa Sasa manake kumbe hakuna ubaya..

Mwisho yule jamaa alivyokuwa na roho mbaya na kuwatenda wenzie ulitaka wasiteme nyongo?

Kumbe inawauma si ndio? Hivyo hivyo ndivyo na wengine waliumia,ukiacha ukatili wake alikuwa anadhalilisha wenzie watu wazima nakuwaita wapumbavu hadharani..

Ashukuru amekufa bila kusikia hqya.
 
Mkutano ulijaa masutano na umedhihirisha wazi hali si shwari ndani ya CCM.

ukiona mpaka Mwenyekiti anaelekezwa cha kufanya ujue ni hatari.

unapomwambia mkiti asisikilize porojo ina maana ni msikiliza porojo hahhahhahhahhah raha sana yani upinzani wangejipanga vizuri 2025 njia nyeupe sana CCM wameshafeli.
 
Ndio Gwajima si kajibu kasema Wakristo hamuogopi kufa,kufa Ni ushujaa Sasa manake kumbe hakuna ubaya..

Mwisho yule jamaa alivyokuwa na roho mbaya na kuwatenda wenzie ulitaka wasiteme nyongo?

Kumbe inawauma si ndio? Hivyo hivyo ndivyo na wengine waliumia,ukiacha ukatili wake alikuwa anadhalilisha wenzie watu wazima nakuwaita wapumbavu hadharani..

Ashukuru amekufa bila kusikia hqya.
Mimi siyo mfuasi wa huyo unayemsema. Lakini vile vile usisahau aliyekufa si peke yake
 
Km mliamishwa mawazo ya kuanguka ndege mkaletewa shujaa majaliwa mkashindwa kuoji vtu vya maana wote mkaka kumsifia majaliwa na hata ripoti ilipo toka ya kumkataa majaliwa bado mmeendelea kumngangania
Nazan watanzania weng hatujielewi na ata ili suala la makamba yaweza kua ni mbinu za kuficha maovu meng yanayoendelea kwa sasa
Watu kla kona makamba makamba wakat 2025 Ccm ni ile ile na mgombea wa uraisi kwa CCm hajawai tokea kubadilika uyo mama ni ad 2030
Sana sana mnachezewa akili wajinga bas na chadema na Sukuma gang wamefanya ni hoja wakat sio hoja
 
Mleta uzi anaonekana ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kuchambua mambo, ila we ni aina ya kundi kubwa la wajinga waliojaa ndani ya CCM sasa. Wajinga walianza taratibu kipindi cha pili cha JK CCM ilipoanza kupoteza ushawishi rasmi kwa kizazi hiki. Na wakaongezeka maradufu wakati wa Magufuli. Kwa sasa tunashudia matokeo ya ujinga ulioota mizizi ndani ya CCM. Ww ni mfano halisi ya wajinga hao.
"Ujinga ulioota mizizi ndani ya CCM" nimeipenda hii statement, naweza kusema hii ndio ya kufungia mwaka.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom