Chawa mkuu kazini. Huna wa kuficha mambi yaliyokiwa wazi vileAcha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Huenda ndio ikawa maana ya Labda mambo yakiwa mabaya sana?? Maana kutia ile walakini inaqeza kuwa kama kamtego fulani kwamba utakapoona mambo yamebadilika ni kwa sababu mambo hayakwenda vjzuriKWA kauli hizo ni dhahiri wenye nchi watasema mmepoteza mvuto inahitajika nembo mpya!
Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Muongo ‘ mzushi mkubwa
Acha kutoa tuhuma ambazo huwezi kuthibitisha.Wenye chama chao wamerudi
ILA. DAH ILE KAULI YA MTU MWEMA AFI INATUELEZRA KUWA HAYATI ALI BEING ASSASSINATED
MkuuIle kauli ya wazee tulisema hapana ni ipi ya miaka 7 Kwa mhula mmoja wa Rais au?
Una manisha nini Mzee wa Katiba ya Warioba?Mkuu
Nadhani vyote
Hasa maji yalipochemka na kuwaunguza ngozi uchungu wake uliwazidi ilibidi waseme hapana màana watababuka!!
Ulikuwa ni mchanganyiko wa Mambo yote!Una manisha nini Mzee wa Katiba ya Warioba?
"Labda hapo katikati mambo yaharibike"Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa hapa nchini, usikute ni yeye mwenyewe.Hivi huyu jamaa hivi ni mfanyakazi wa pale Lumumba? Dah si kwa mapambio anayoimba kuhusu SSH mpaka anakera kwa siku anaweza leta hata thread10 za mapambio ya kumsifia SSH
Mleta hoja umewahi kushuhudia kifo cha punda? Basi ni hivi, anapokata roho punda huwa anarusha mateke hovyo hakuna mchezo.Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Ukiweza utusaidie wenzako kutupa highlights za makosa.Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Ile kura moja iliniwazisha sana. Mawazo yangu ya kijinga yakaniambia haikuwa moja. Ilitangazwa kimkakati ili kulivuruga kundi pinzani. Kila aliyepinga atakuwa anahisi ni yeye tu hakusaliti lakini kasalitiwa na wenzake.
Mikutano yote huwa iko vile, sema faida uliyoipata wewe huu Mkutano uliuona MubasharaHakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.