Mikutano yoote abcd huwa zinatufikiaMikutano yote huwa iko vile, sema faida uliyoipata wewe huu Mkutano uliuona Mubashara
Ungeuona Mkutano ambao Lowassa alisimama akamwuliza Kikwete amweleze kwanini alimpakazia Richmond sijui ungesemaje!
Bado hayajaharibika"Labda mambo yameharibika saana"
aisee
Yeah ni hatari sana. Kutoheshinu Ballot Box na Mapenzi ya wananchi haina tofauti na MapinduziCCM kwa sasa imetoka kwenye utaratibu wa kuheshimu kura, kiasi kwamba kwao kura ni jambo la fashion tu. Kiongozi pamoja na kundi lake kwa sasa wanapanga Kiwango cha kura wazitakazo. Tabia hii ya kutoheshimu kura ni lazima itazua uasi.
Hizi quotes hizi"Labda hapo katikati mambo yaharibike"
Mbona unabadilisha ujumbe wangu!!??Bado hayajaharibika
Hahahaa sawa, tuna heshumu mawazo yakoMbona unabadilisha ujumbe wangu!!??
kwenye original comment yangu nimeandika hv
"Labda kama mambo yakiharibika saana"
heshimuni ujumbe wa mtu anapoandika.
Chama kimerudi kwa wananchiWenye chama chao wamerudi
ILA. DAH ILE KAULI YA MTU MWEMA AFI INATUELEZRA KUWA HAYATI ALI BEING ASSASSINATED
🤣🤣🤣Mbona unabadilisha ujumbe wangu!!??
kwenye original comment yangu nimeandika hv
"Labda kama mambo yakiharibika saana"
heshimuni ujumbe wa mtu anapoandika.
Huna lolote wewMkibanwa upotoshaji wenu mnaanza kurukia Ruka Kama maharage
Hata mimi kada nimefadhaishwa na hali ya mkutano ule kukosa dira.Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
weka ukweli ili aumbukeMuongo ‘ mzushi mkubwa
Umepost thread saa 4 usiku, now ni saa SITA na nusu replies ni 4 tu.Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano
Kuwa kada wa chama hicho ni sawa na kusimama hadharani ukajipiga kifuani mara kadhaa na kukiri huna......!!!!!Hata mimi kada nimefadhaishwa na hali ya mkutano ule kukosa dira.
Kitendo cha kuwaweka mbele watu wasio na akili kama Yusufu Makamba kimenikera kwa kweli.
Sasa mtafanyaje ndugu makada?Hata mimi kada nimefadhaishwa na hali ya mkutano ule kukosa dira.
Kitendo cha kuwaweka mbele watu wasio na akili kama Yusufu Makamba kimenikera kwa kweli.
Hahahaa unataka kusemaje?Kuwa kada wa chama hicho ni sawa na kusimama hadharani ukajipiga kifuani mara kadhaa na kukiri huna......!!!!!
Jamaa ana moyo sana na post zake zisizo na mbele wala nyuma.Umepost thread saa 4 usiku, now ni saa SITA na nusu replies ni 4 tu.
Hujastuka tu kujua kuwa huna impact yoyote?
Hayajatokea KWA Bahati mbaya!
ULE ni mpango kazi wa kuua Chama KWA kuleta taharuki KWA wenye nchi kukosa imani na chama Baada ya kuonyesha kuwa wanauana wao KWA wao tena wanaua Mwenyekiti aliepo madarakani!(rafer kauli ya kusema "kama wazee tulisema hapana")
KWA kauli hizo ni dhahiri wenye nchi watasema mmepoteza mvuto inahitajika nembo mpya!
Ile move jk anaijua VIZURI mno!sidhani kama Mzee Makamba anaielewa kama jk anavoielewa!!
Self analysis!
Ngoja tuone!
Tanzania kila kitu kinafanyika kutokana na mapenzi ya Rais aliyeko madarakani. Akiamua wazanzibara 40 vs watanganyika 20 hakuna atakayekohoa.Kuna wana ccm wanalalamika kuwa idadi ya wa NEC Tanganyika Kuwa sawa Zanzibar sio sahihi hasa kuangalia idadi ya watu na uwakilishi kwa uwiano
MkuuKuna wana ccm wanalalamika kuwa idadi ya wa NEC Tanganyika Kuwa sawa Zanzibar sio sahihi hasa kuangalia idadi ya watu na uwakilishi kwa uwiano
Sasa kulikuwa na sababu gani ya Kikwete na Makamba kuongea yale maneno....!!? Naamini Maza bado naamini kuwa kuna watu ndani ya CCM wanamtesa Maza na 2025....!!Acha ramli chonganishi,mkutano wa CCm umemalizika kwa kishindo na ushindi kwa kila eneo,umemalizika kwa umoja na mshikamano,umemalizika kwa kila mmoja kuelewa kazi iliyopo mbele yake,. Ni uchaguzi unaokwenda kukijenga chama mashinani,Ni uchaguzi ulioleta matumaini kwa watanzania,Ni uchaguzi uluowasha Taa ya Matumaini na ushindi katika kulijenga Taifa letu,Ni uchaguzi uliokipatia chama ushindi mkubwa Sana kwa kuwa kila mmoja ametambua kuwa chama ni kikubwa kuliko mtu binafsi. Ni uchaguzi uluowasha Wana CCM wakiwa wamoja na wenye mshikamano