Hiyo Ni Sacco's ya waganga njaa sii chama ndio maana anaewaamulia Ni tajiri Mbowe,keshalambishwa asali hamna Cha kufanya atakachowaamulia ndicho mtafuata.
Ndio wapo wanaopinga wengi tuu ndio maana ulimeikia JK aliwaambia wanachama hawazuii Kugombea Ila waheshimu kautaratibu kao.Uko sahihi sana anayefanya maamuzi huko CDM ni Mbowe na hakuna wa kubisha. Je huko CCM kuna anayeweza kupinga atakacho mwenyekiti ili tujue chama sio chake?
Polepole alisema hao ni wahuni tu, si umesikia kauli za mzee mhuni muonja asali, huyu ni kibaraka na mwakilishi wa wahuni aliowasema Polepole, CCM inarudi kule ilikokuwa kabla ya Magu, kuzomewa hata ukivaa shati la kijani hata kama ni la mtumba.Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Mkutano ulijaa matusi, kejeli, hasira, mipasho na vitisho dhidi ya mtu na mtu, mtu na kikundi au kundi dhidi ya kundi kutokana na ufuasi ndani ya chama.
Huu ni mkutano wa kwanza uliofeli kupindukia.
Ni mkutano ulio acha simanzi, hasira na majonzi kwa wanachama na kuacha aibu na fedheha kwa watanzania.
Sitaki kurudia yaliyosemwa na kuandikwa hapo Tar 7- 8 2022 Jijini Dodoma.
Ule mkusanyiko umeonesha kiwango kidogo cha Uaminifu, uadilifu na ubora.
Siku nyingine mkipanga mikutani basi hakikisheni mnamalizana tofauti zenu na sio lazima kuziweka wazi hadi watoto wadogo wanawacheka.
" labda mambo yaharibike saana"
Wikendi njema.
Mkuu huko CCM si mwenye kigoda ndio ana maamuzi wenye maamuzi ni walamba asali, mwenye kigoda anaambiwa tu la kufanya.Uko sahihi sana anayefanya maamuzi huko CDM ni Mbowe na hakuna wa kubisha. Je huko CCM kuna anayeweza kupinga atakacho mwenyekiti ili tujue chama sio chake?
Kimsingi waliitishaa kikao ili kumchamba "marehemu"Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni pale wanapotishana wao kwao na kutukanana wazi wazi.
Hoja imeungwa mkonoPolepole alisema hao ni wahuni tu, si umesikia kauli za mzee mhuni muonja asali, huyu ni kibaraka na mwakilishi wa wahuni aliowasema Polepole, CCM inarudi kule ilikokuwa kabla ya Magu, kuzomewa hata ukivaa shati la kijani hata kama ni la mtumba.
Ilikuwa hivyo miaka yote? Au kikao hiki ndio maamuzi hayo yamefanyikaKuna wana ccm wanalalamika kuwa idadi ya wa NEC Tanganyika Kuwa sawa Zanzibar sio sahihi hasa kuangalia idadi ya watu na uwakilishi kwa uwiano
Kumbe walifeli kabla hawajaanzaKimsingi waliitishaa kikao ili kumchamba "marehemu"
Ilikuwa hivyo miaka yote? Au kikao hiki ndio maamuzi hayo yamefanyika
🤣🤣🤣Uko sahihi sana anayefanya maamuzi huko CDM ni Mbowe na hakuna wa kubisha. Je huko CCM kuna anayeweza kupinga atakacho mwenyekiti ili tujue chama sio chake?
Polepole alisema hao ni wahuni tu, si umesikia kauli za mzee mhuni muonja asali, huyu ni kibaraka na mwakilishi wa wahuni aliowasema Polepole, CCM inarudi kule ilikokuwa kabla ya Magu, kuzomewa hata ukivaa shati la kijani hata kama ni la mtumba.
mkuu hongera sana, una muda mwingi wa kupoteza itakuwa ushapata hela zikatosha...yani mpaka unapata muda wa kusoma maandishi ya huyo chawa?Wewe huna unalojua zaidi ya kutafuta uteuzi Kwa kujipendekeza.
Ndio wapo wanaopinga wengi tuu ndio maana ulimeikia JK aliwaambia wanachama hawazuii Kugombea Ila waheshimu kautaratibu kao.
Sasa kama hayatuhusu kwanini walitukanana live?Mambo ya CCM yanakuhusu nn?
🤣🤣🤣🤣mkuu hongera sana, una muda mwingi wa kupoteza itakuwa ushapata hela zikatosha...yani mpaka unapata muda wa kusoma maandishi ya huyo chawa?