Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ya rais kulazimisha wanawake kujiona sawa na wanaume kimsingi ni kumkosoa Mungu alietuumba kwa maumbile tofauti. Kisayansi na ata kidini,huu utofauti wetu kimaumbile ndio unaofanya tutofautiane KIAKILI NA MAJUKUMU.Tangu uhuru mais wote kabla ya mama Samia walikuwa wanaume, lakini sijawahi kusikia Rais kaitisha mkutano wa wanaume tu...
Hata marekani, ulaya na uchina hakuna 50/50, unadhani wajinga?Pamoja na wanaume kumiliki kila kitu wanakufa mapema kuliko wanawake.
Kwa nini wanaume wafe mapema ni biological factors au social factors au both?
Kwangu mimi nionavyo social factorrs ni kiini zaidi.
So pamoja na hawa wanawake kujadili shida zao wasisahau hili kwa sababu wajue kuna siku watabaki wajane. Hii yaweza kuwa tatizo zaidi kuliko 50/50 wanaayopigania!
pointMwanamke lazima atadeka kama akipewa nafasi upendeleo ya kulalamika. Wewe utafanya nini kama mwanaume uko bize mchana kutwa unaendesha daladala kutafuta ugali wa familia huku nyumbani mwanamke wake anatumia mwanya huohuo kuingiza wanaume chumbani kwake kwa kisingizio kuwa mumewe hana nguvu za kiume, au anamwaga chakula, au anaiba hela kupeleka kwenye vikoba vya siri, au anapeleka nyumbani kwao, au anamwagamwaga chakula, au anahonga wanaume wengine, au anataka vijora vya ngoma?
Hahaha mkuu, usawa wa hawa watu sio huo unaouongelea wewe. Wanataka usawa kwenye kupata kazi, kurithi mali na usawa wa kufanya maamuzi.Kelele na madai haya ya wanawake wachache ni mwiba mkali kwa wanawake wa kawaida kwenye jamii. Baba hawapeleki mahitaji na wanakataa kuoa kuyakwepa manyanyaso kutoka kwa wanawake wanaosubiri jikoni waletewe cha kupika. Kupika sio kazi wanaume wanakula magengeni siku hizi ambako hata wauza supu ni wanaume wenzao.
Kuna tatizo kubwa linakuja kama dhana itakuwa wanawake wanaonewa na wanaume wakati ni kinyume chake. Mwanaume anauza madafu, anakoroga zege, anachimba madini na kuwapelekea wanawake nyumbani. Je, waache kufanya hivyo ili wao wakae nyumbani kufagia na kufua ili wanawake waende kutafuta madini na samaki?
Eti Jackline Ntubayabalie nae ghafla kawa bilionea kisa kaolewa.Katika mada mbovu inayotrend muda wote ni hii ya usawa wa jinsia. Unafanya vijana wenye vipaji vyao kama diamond asioe , Zamani nilwalaumu kwa nini hawaoi wakatulia na mke mmoja. Lakini sasa fikiria mwanaume anazalisha mali labda tshs bilioni 5 ndani ya miaka mitano. Muda wote huo mke wake anakuwa nyumbani si ajabu na mahawara zake kijana anapiga shoo usiku wake na mchana ni wake.
Ngoja watofautiane waachane , hapo mwanamke eti sheria inasema alikuwa akimpikia kwa hiyo wamechuma mali pamoja. Dawa ni kuzalisha wanawake tofauti unatoa matunzo huko huko. Halafu mali urithi unaandika ni mama mzazi wako wewe unaehangaika , na taifa halitambui michango yenu inavyozidiana . HONGERA Platinumz una akili sana kwa za urothi ukuandika ni wa watoto wanawake wengine ni wajinga ,anaweza kukutanguliza kaburini abaki anafaidi mali yako kisa alikuhudumia kila kitu.
Ndio maana sikuza karibuni mataifa yaliyoendelea kama Marekani mnaweza kufunga ndoa yenye makubaliano maalum ili mkiachana msigawane mali ambazo mumechuma pamoja. Unaweza ukamjengea nyumba,unampa dola milioni kimi ,na marupurupu mengine almradi msigawane mali sawa ila hakikisha mkiachana haadhiriki.
Hivi zuckerbug wa facebook akigawana sawa na mke wake si hasara kubwa kwa mwanaume? Alijikunja hapati usingizi maabara na darasani halafu mke anakuwa equal share holder kiulaini tu? Hii sheria inastahikli kuangaliwa upya.
Ukiwauliza ni kwanini mwanaume atoe mahari wakati wa kuoana hawana jibu. Wanasahau kuwa hata mtoto wa kiume amezaliwa na kutunzwa, wanasahau kama mume anakwenda kumtunza mtoto wao, wanasahau kuwa kutoa mahari ni njia ya kumilikishwa mtoto wao.Hahaha mkuu, usawa wa hawa watu sio huo unaouongelea wewe. Wanataka usawa kwenye kupata kazi, kurithi mali na usawa wa kufanya maamuzi.
Ila ukiwauliza kwenye kuhudumia familia na kutafuta pesa, wanakwambia ni ya mwanaume wao wabaki usawa kwenye matumizi tu [emoji38][emoji38]
Wanataka usawa kwamba na wao wawe wanarudi nyumbani muda wanaotaka. Wawe wanapewa nafasi za uongozi na wawe wanahudumiwa.
Ila sio wa kumwambia na yeye atoke nje akatafute, hapo nadhani hawapaonagi, na hawapatakagi.
Unamenyeka kazini ili yeye apendeze na ashibe.Ukiwauliza ni kwanini mwanaume atoe mahari wakati wa kuoana hawana jibu. Wanasahau kuwa hata mtoto wa kike amezaliwa na kutunzwa, wanasahau kama mume anakwenda kumtunza mtoto wao, wanasahau kuwa kutoa mahari ni njia ya kumilikishwa mtoto wao.
Umeongea maneno mazito sana hadi nimetokwa na kauchozi ka kuelewa ulichosema.Kelele na madai haya ya wanawake wachache ni mwiba mkali kwa wanawake wa kawaida kwenye jamii. Baba hawapeleki mahitaji na wanakataa kuoa kuyakwepa manyanyaso kutoka kwa wanawake wanaosubiri jikoni waletewe cha kupika. Kupika sio kazi wanaume wanakula magengeni siku hizi ambako hata wauza supu ni wanaume wenzao.
Kuna tatizo kubwa linakuja kama dhana itakuwa wanawake wanaonewa na wanaume wakati ni kinyume chake. Mwanaume anauza madafu, anakoroga zege, anachimba madini na kuwapelekea wanawake nyumbani. Je, waache kufanya hivyo ili wao wakae nyumbani kufagia na kufua ili wanawake waende kutafuta madini na samaki?
Kweli kabisa. Me siwaeleweki kabisa nowadays ajenda zao.Katika kipindi cha "Mahusiano katika familia" kilichorushwa leo na Radio One, mtaalamu wa saikolojia amedai wanaofikisha malalamiko kwake zaidi ya 99% ni wanawake. Na hata kwenye ofisi za Ustawi wa Jamii walalamikaji wengi ni wanawake. Kundi kubwa la hao ni wanawake wa kawaida tu.
Hoja hapa ni jinsi gani mwanamke anaweza kuwezeshwa atimize majukumu yake ya kimaumbile na ulezi wa watoto na si kuwapa upendeleo kwenye nafasi za uongozi.
Hivyo basi juhudi zinazochukuliwa na viongozi wanawake zinajenga chuki na utengano katika jamii kwa kivuli cha "mwanamke anaonewa".