Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Rais wa makundi maalumNilisikia Mwanza ataongea na vijana wa kiume. Hii imekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa makundi maalumNilisikia Mwanza ataongea na vijana wa kiume. Hii imekaaje?
Hii nchi bwana kila rais na maajabu yake.Tangu uhuru Marais wote kabla ya mama Samia walikuwa wanaume, lakini sijawahi kusikia Rais kaitisha mkutano wa wanaume tu.
Kazi yetu ni kuondoa vikwazo vya elimu, mikopo na fursa nyingine kwa wanawake lakini sio kupandikiza chuki kwa wanawake dhidi ya wanaume ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakihemea kwaajili ya familia zao. Nani hajui kwamba wanaume duniani kote ndio wako majeshini, migodini, wakwezi wa minazi, waendesha malori na matrekta nk ili kuhudumia taifa na familia?
Taifa na dunia itangia kwenye shida nyingine kama tukisisitiza kuwa wanawake wanaonewa na wanaume, baadhi ya majukumu ya mwanamke yalitoka kwa Mungu mwenyewe. Usawa hauwezi kuanzia kwenye kazi za uongozi tu za wanawake waliosoma tu, bali usawa uanzie kwenye majukumu ya mtu wa kawaida kama vile ulinzi, uchimbaji, uvuvi, usafirishaji, ujenzi, usafirishaji, utoaji wa mahari, uchungaji mifugo, uchuuzi, nk kazi ambazo hata asiyekwenda shule anazifanya. Kila kitu kiende kwa usawa na sio sawa.
Tunaopiga kelele za usawa ni wale tu wqchache tuliopata nafasi ya kusoma ambao tunataka kupewa nafasi za kukaa ofisini lakini sio usawa kwenye kuchunga ng'ombe porini, kwenda jeshi, kuchimba migodini, kuvua samaki, kuendesha malori, kutoa mahari, nk.
Tusieneze chuki hizi dhidi ya watoto wetu wakiume na baba zao leo maana tutatengeneza tatizo kesho ambalo hata Mungu atashindwa kuweka mkono wake.
Kuna mkutano wapi ngw'ana welumbu Lyane ?Mkutano uko mbioni tujiandae, Ndugai aketuombea ruhusa
HahaaKuna mkutano wapi ngw'ana welumbu Lyane ?
HahahaRais wa makundi maalum