SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Hizo ndo haki sawa wanazozitaka wao sasa. [emoji1][emoji1] Kwamba Cha mwanaume ni cha wote na chao ni chao.Katika mada mbovu inayotrend muda wote ni hii ya usawa wa jinsia. Unafanya vijana wenye vipaji vyao kama diamond asioe , Zamani nilwalaumu kwa nini hawaoi wakatulia na mke mmoja. Lakini sasa fikiria mwanaume anazalisha mali labda tshs bilioni 5 ndani ya miaka mitano. Muda wote huo mke wake anakuwa nyumbani si ajabu na mahawara zake kijana anapiga shoo usiku wake na mchana ni wake.
Ngoja watofautiane waachane , hapo mwanamke eti sheria inasema alikuwa akimpikia kwa hiyo wamechuma mali pamoja. Dawa ni kuzalisha wanawake tofauti unatoa matunzo huko huko. Halafu mali urithi unaandika ni mama mzazi wako wewe unaehangaika , na taifa halitambui michango yenu inavyozidiana . HONGERA Platinumz una akili sana kwa za urothi ukuandika ni wa watoto wanawake wengine ni wajinga ,anaweza kukutanguliza kaburini abaki anafaidi mali yako kisa alikuhudumia kila kitu.
Ndio maana sikuza karibuni mataifa yaliyoendelea kama Marekani mnaweza kufunga ndoa yenye makubaliano maalum ili mkiachana msigawane mali ambazo mumechuma pamoja. Unaweza ukamjengea nyumba,unampa dola milioni kimi ,na marupurupu mengine almradi msigawane mali sawa ila hakikisha mkiachana haadhiriki.
Hivi zuckerbug wa facebook akigawana sawa na mke wake si hasara kubwa kwa mwanaume? Alijikunja hapati usingizi maabara na darasani halafu mke anakuwa equal share holder kiulaini tu? Hii sheria inastahikli kuangaliwa upya.
Sema wanashindwaga tu kuwa straight.