Nadhani haujamuelewa mleta mada alicholenga kulalamikia. Sidhani kama kuna sehemu amesema anaunga mkono wanawake kunyanyaswa.Una chuki binafsi.
Aidha, umepitwa na wakati kwa maana habari ya wanaume kuwa juu ya wanawake ni ya kale sana; kama hatuko sawa asilimia kubwa ya wanaume wanaonewa na wanawake.
Hapa ndipo asili ya mwanaume inapokuja kudhihirika kuwa yy ni tofauti sana na mwanamke. Kumlinganisha ni kuprove the impossible kuwa possible.Jamii yetu tuendelee kuigawanya kwenye makundi ya watoto, vijana na wazee baaasi. Hata wanaume wana matatizo yao pia kama vile ajali za bodabada, ukosefu wa nguvu za kiume, ukosefu wa mahari, kuumia migodini, kuanguka kwenye minazi, kuadhiriwa na mavumbi ya randa nk. Hata wao wana shida, mbona hawaitwi kusikilizwa?
Sisi si ndio tunatoa hela why tusishirikishwe.Pengine walitaka kuongelea namna ya kuboresha taulo za kike je na wewe ulitaka ushiriki huo mkutano??.
Kaka wanawake na wanaume unataka wawe sawa?? Haiwwzekani, kama vyoo tu vipo vya ke na me itakua hayo mengine...! Kuna siku ya wanawake na hamna siku ya wanaume..! Let them enjoy priority..!!Jamii yetu tuendelee kuigawanya kwenye makundi ya watoto, vijana na wazee baaasi. Hata wanaume wana matatizo yao pia kama vile ajali za bodabada, ukosefu wa nguvu za kiume, ukosefu wa mahari, kuumia migodini, kuanguka kwenye minazi, kuadhiriwa na mavumbi ya randa nk. Hata wao wana shida, mbona hawaitwi kusikilizwa?
Wanaume 80% of their earnings huwa zinakwenda kwa wake/mama watoto na watoto wao. Wangetumia 100% ya earnings zao kujihudumia na kufanya bata wanaume wengi wangekuwa mamilionea .Pamoja na wanaume kumiliki kila kitu wanakufa mapema kuliko wanawake.
Kwa nini wanaume wafe mapema ni biological factors au social factors au both?
Kwangu mimi nionavyo social factorrs ni kiini zaidi.
So pamoja na hawa wanawake kujadili shida zao wasisahau hili kwa sababu wajue kuna siku watabaki wajane. Hii yaweza kuwa tatizo zaidi kuliko 50/50 wanaayopigania!
Mwanaume hashindani na sidiria tuendelee na mishe zetu
50% 50%.....ni sera ambayo hata huko mataifa ya magharibi na Asia wameona imezaa matatizo mengi ya kijamii kuliko mafanikio.Hata marekani, ulaya na uchina hakuna 50/50, unadhani wajinga?
wachaga hawatakagi ujinga ,jack ashawekwa pembeni kitamboEti Jackline Ntubayabalie nae ghafla kawa bilionea kisa kaolewa.
Ndo maana ndoa nyingi zinavunjika at an early stage kutokana na hawa mama wakwe kuendelea kuwalisha sumu watoto wao wa kike walioolewa, sasa haya madudu wanataka wayashinikize kwenye utendaji wa serikali na nchi kiujumla...Kinachoendelea kwa sasa ni kisasi cha akina mama kuwapa watoto wa kike sumu za kuwachukia watoto wa kiume na kuishi nao kwa uadui ikiwa kama namna yao ya kudeal na historia za kimanyanyaso walizopitia wao. Ila cha ajabu wanaoharibikiwa na mabinti zao watoto wa kiume wameumbwa kusurvive bila msaada wowote kutoka katika serikali au jamii.
Mama si muislamu anasahau alah ameagiza nini kwa hawa watu
Tangu uhuru Marais wote kabla ya mama Samia walikuwa wanaume, lakini sijawahi kusikia Rais kaitisha mkutano wa wanaume tu.
Kazi yetu ni kuondoa vikwazo vya elimu, mikopo na fursa nyingine kwa wanawake lakini sio kupandikiza chuki kwa wanawake dhidi ya wanaume ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakihemea kwaajili ya familia zao. Nani hajui kwamba wanaume duniani kote ndio wako majeshini, migodini, wakwezi wa minazi, waendesha malori na matrekta nk ili kuhudumia taifa na familia?
Taifa na dunia itangia kwenye shida nyingine kama tukisisitiza kuwa wanawake wanaonewa na wanaume, baadhi ya majukumu ya mwanamke yalitoka kwa Mungu mwenyewe. Usawa hauwezi kuanzia kwenye kazi za uongozi tu za wanawake waliosoma tu, bali usawa uanzie kwenye majukumu ya mtu wa kawaida kama vile ulinzi, uchimbaji, uvuvi, usafirishaji, ujenzi, usafirishaji, utoaji wa mahari, uchungaji mifugo, uchuuzi, nk kazi ambazo hata asiyekwenda shule anazifanya. Kila kitu kiende kwa usawa na sio sawa.
Tunaopiga kelele za usawa ni wale tu wqchache tuliopata nafasi ya kusoma ambao tunataka kupewa nafasi za kukaa ofisini lakini sio usawa kwenye kuchunga ng'ombe porini, kwenda jeshi, kuchimba migodini, kuvua samaki, kuendesha malori, kutoa mahari, nk.
Tusieneze chuki hizi dhidi ya watoto wetu wakiume na baba zao leo maana tutatengeneza tatizo kesho ambalo hata Mungu atashindwa kuweka mkono wake.
Unakuta binti wa miaka 19 au 20 ana hasira za mwanamke wa miaka 30 au 45 juu ya mahusiano na wanaume . Sasa unajiuliza amepitia mahusiano ya ndoa lini. Then unagundua kuna mwanamke mtu mzima mwenye maumivu alimjaza ujinga na kuharibu akili yake.Ndo maana ndoa nyingi zinavunjika at an early stage kutokana na hawa mama wakwe kuendelea kuwalisha sumu watoto wao wa kike walioolewa, sasa haya madudu wanataka wayashinikize kwenye utendaji wa serikali na nchi kiujumla...
Pamoja na wanaume kumiliki kila kitu wanakufa mapema kuliko wanawake.
Kwa nini wanaume wafe mapema ni biological factors au social factors au both?
Kwangu mimi nionavyo social factorrs ni kiini zaidi.
So pamoja na hawa wanawake kujadili shida zao wasisahau hili kwa sababu wajue kuna siku watabaki wajane. Hii yaweza kuwa tatizo zaidi kuliko 50/50 wanaayopigania!
Mkuu tukigoma kuna wapuuzi watatusaliti watawala wake zetu ili kutukomoadawa ni kutokiowa tu,,na ingewezekana wanaume wto tungegoma hata mwaka mzima kutongoza na kutowafanya wanawake iwe kitaa na majumbani,,hapa ote walioowa na wasio na wake ote tugome,,,wataona moto..