Sijawahi kuona mkutano wa Rais na wahudhuriaji wa jinsia moja tu

Hizo ndo haki sawa wanazozitaka wao sasa. [emoji1][emoji1] Kwamba Cha mwanaume ni cha wote na chao ni chao.

Sema wanashindwaga tu kuwa straight.
 

50 kwa 50!! Najiuliza: 1) Endapo ikatokea wagombea nafasi za uwakilishi, hasa zenye viti maalumu, wakapita wengi wanawake, wakaongezewa na wa viti maalum, kwenye hivyo vyombo vya maamuzi itakuwaje? 2) Je, hilo limefikiriwa?
 
Mtoto wa kiume hana wa kumtetea. Kila kitu utasikia ....... mtoto wa kike.
Tunaimba kila biti ya wanaharakati uchwara.
Huko Ufaransa kuna sheria ya kuadhibu mamlaka zinazobagua jinsia ya kiume, kwa kuwa hali imekuwa mbaya.
"To every action, there is equal and opposite reaction ".
 
Kaka wanawake na wanaume unataka wawe sawa?? Haiwwzekani, kama vyoo tu vipo vya ke na me itakua hayo mengine...! Kuna siku ya wanawake na hamna siku ya wanaume..! Let them enjoy priority..!!
Kutenga siku kama hizo ni kuendeleza unyonge na unyanyapaa. Mwanamke sio kiumbe dhaifu wa kuonewa huruma kiasi hicho, mwanamke ana umahiri na udhaifu wake na mwanaume ana umahiri na udhaifu wake, wanapokuwa pamoja ndipo umahiri na udhaifu wao unapoonekana na kuimarishana, kudai kuwa wanawake wanaonewa ni endangered specie sio kweli kabisa.
 
wachaga hawatakagi ujinga ,jack ashawekwa pembeni kitambo
Eti mwanamke kwa kupika jikoni tu ghafla anawapiku wazazi wangu, dada na kaka zangu walionizaa, nilea na kunisomesha kwenye mali zangu.
 
dawa ni kutokiowa tu,,na ingewezekana wanaume wto tungegoma hata mwaka mzima kutongoza na kutowafanya wanawake iwe kitaa na majumbani,,hapa ote walioowa na wasio na wake ote tugome,,,wataona moto..
Hahaha we jamaa unamsimamo, nadhani haijawahi kutokea wanaume kuungana hivi hadi raha
 
Hata vitabu vya dini imeandikuwa kuwa mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu, sasa badala wanawake kudai haki yao ya kuzaa kwa uchungu tu wanataka kuzaa kuzaa kwa uchungu pamoja na kula kwa jasho kwa wakati mmoja. Ndiyo maana siku hizi kuna wengi wa wakina mama wanaokula kwa jasho ambao ni wavuta bangi, mashoga, wanalawitiwa, ni changudoa, hawapendi shule, nk kwakuwa baba na mama wote hawako nyumbani wanasaka pesa na kuacha watoto na dada wa kazi wawalee.
 
Mkutano uko mbioni tujiandae, Ndugai aketuombea ruhusa
 
Mkutano uko mbioni tujiandae, Ndugai aketuombea ruhusa
Tunafanya mzaha lakini liko tatizo kubwa jamii inalitengeneza kwa kukazana kudai wanawake ambao ni mama zetu, dada zetu, watoto wetu, na shangazi zetu wanaonewa na baba zao, watoto wao, wajomba zao, kaka zao na babu zao wenyewe kiasi kwamba watungiwe sheria binafsi wasiguswe, na wapewe mikopo, uongozi, elimu, nafasi Na upendeleo kwenye kila nyanja.

Sheria Na kanuni hizi ndizo zilizochangia kuibuka kwa ushoga, kusagana, ndoa kuvunjika, watu kutokuoa, kushuka kwa idadi ya watu Na kuzuka kwa watoto wengi wa nje ya ndoa. Tatizo hili ni kubwa sana nchi zilizoendelea kiasi cha wasichana wao kuja Afrika kutafuta wanaume wa kuzaa nao, ukifuga rasta tu jiandae kupata mke wa kizungu Na kwenda ulaya Na marekani.
 
Inasikitisha
 
50 kwa 50!! Najiuliza: 1) Endapo ikatokea wagombea nafasi za uwakilishi, hasa zenye viti maalumu, wakapita wengi wanawake, wakaongezewa na wa viti maalum, kwenye hivyo vyombo vya maamuzi itakuwaje? 2) Je, hilo limefikiriwa?
Tumeshafanya tathimini hao wa viti maalum wanarudisha nini kwa wanawake wenzao? ninachoona mimi ni mikogo, mikorogo, na wigi za bei dhidi ya wanawake wenzao.
 
Ukweli maza anapandikiza chuki sn
Uongozi bila maono ni kichekesho. Anatafuta watu wa kuhutubia kwa lazima. Anadhania hayo ndio matatizo ya wawanawake! Hivi amejiuliza hao wanawake anadhania wanaonewa ni Asilimia ngapi na wako wapi? Kama ni kweli wanawake wanapnewa Nchii Ingalikalika? Ameshafanya Utafiti kujua ni wanandoa wangapi wameachana kufuatia hayo Maonevu? Au anatafuta kura za Wajumbe na baadaye wanawake ili ashinde uchaguzi?
 
Umesema la maana sana. Hawa wasomi ndio wanataka upendeleo kwenye vyeo kwa kisingizio cha usawa. Mungu alipanga majukumu ya mwanamke na mwanamume ndio maana mwanamke hata akiwa na uwezo kiasi gani hajisikii kama sawa kumuhudumia mwanamume bila kumdhalilisha kuhusu nafasi yake aliyopewa na mungu. Ndio maana wanaume wanawaepuka hao wenye uwezo kwani mwisho wanaweza kuambiwa na wao wabebe mimba 😂.
Ukweli tuwape nafasi wanawake kufuatana na uwezo wa kila mtu na tusiwabague au kuwanyanyasa.
 
Aache kuongea vitu vyepesi vyepesi. Unapoongea Juu ya Wanawake kama Raisi wa Nchi unatakiwa uongee vitu vya kufikirisha. Aache kuongea lawama za wanawake dhidi ya wanaume wanapokuwa vyumbani. Kama wanawake wanaonewa yeye kafikaje hapo wakati kote alikopitia kulikuwa na wanaume? Wanaume wanamuonea vipi wakati wametimiza mpaka wajibu wa kumfanya azae? Kwani yeye anatakaje hasa? Kwani kuna wanaume huwa wanawateka wwanawake na kulazimisha mahusiano? Unajua hizi kauli za wanawake wanaonewa mara nyingi ni wamama waliofikia Menopause tu? Vinginevyo mbona mabinti wako busy kuwagombania wanaume hao hao?
 
Miaka 5 itaisha ana-promote na wanawake
 
Huku kwenye halmashauri eti kuna mikopo ya vijana na mikopo ya wanawake. Yaani kwenye mikopo ya vijana wanawake wamo na kwenye mikopo ya wanawake wanawake wamo pia tena. Iko siku jambo kubwa litatokea. Chakusikitisha maspika wote wa bunge walikuwa ni wanaume wakati upuuzi kama huu ikipitishwa bungeni. Wabunge wanaume wamekaa kimya wakati treni linaelekea kwenda kukiponda kichwa cha mtoto wa kiume.

Siku moja nilisikitika sana pale mwanamke alipopewa mali zote za mume wake aliyefariki na kuwanyima wazazi na ndugu zake mume amabo walikuwa wakimtegemea mtoto na ndugu yao aliyefariki. Yule mwanamke akazitumia mali zile kuwatunzia wazazi wake na kuwasomesha wadogo zake shule za hela huku wazazi na ndugu wa mwanamume wakipiga miayo kwa njaa baada ya kifo cha ndugu yao. Huu ni upuuzi mkubwa kwa wazazi na ndugu za wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…